23 Jun 2020 in Senate:
Bi. Naibu Spika, ufujaji wa pesa ni jambo ambalo liko wazi. Jana maafisa wa Kenya Medical Practitioners, Pharmacists and Dentists Union (KMPDU) walikuwa wanalalamika ya kwamba kaunti tano hazijalipa mishahara ya madaktari pamoja na wahudumu wa afya wakati huu tunapambambana na Korona. Ni vipi tutaweza kupambana na Korona ikiwa wafanyikazi hawalipwi mishahara? Daktari anafanya kazi katika hali ambayo ni ngumu. Anajihatarisha maisha yake na ya familia yake. Kwa mfano, anapewa barakoa moja. Hiyo ndiyo anaenda nayo nyumbani jioni. Kesho asubuhi anapewa ya pili. Bi. Naibu Spika, hili ni swala ambalo Kamati hii inaweze kuchunguza kwa undani na kuhakikisha pesa hazifujwi. ...
view
23 Jun 2020 in Senate:
Asante, kwa kunipa fursa hii.
view
23 Jun 2020 in Senate:
Asante Bi. Spika wa Muda kwa kunipa fursa hii kuchangia Taarifa iliyoletwa Bungeni na Sen. Sakaja, Seneta wa Nairobi. Bi. Spika wa Muda, Serikali yetu imekuwa ikivunja sheria kwa sababu kila hati miliki ya ardhi inatolewa kulingana na sheria. Kwa hivyo, haiwezi kupokonywa yule mmiliki bila kufuata sheria. Wakati Waziri anatoa taarifa katika vyombo vya Habari kwamba atavunja ama kuweka ua katika nyumba za watu ambao wana hati zao, ina maana kwamba Serikali inasababisha kupuuzwa ama kuvunjwa kwa sheria, na hilo ni swala ambalo hatungeweza kulikubali kama Bunge, kuendelea kufanyika. Kila mtu anafaa apewe fursa ya kutetea ile hati ameweza ...
view
23 Jun 2020 in Senate:
zao, ina maana kwamba sisi tutakuwa tunaishi kama masquatter kwa muda mrefu ambao utakuwa na malengo ya Katiba mpya hayataweza kufikiwa. Naunga mkono Taarifa hii na ile Kamati husika ihakikishe kwamba swala hili linafuatiliwa kwa haraka ili watu wasije wakapoteza makaazi, kama vile wamepoteza huko Kariobangi na kwingineko.
view
23 Jun 2020 in Senate:
Thank you, Madam Temporary Speaker. Upon consultation with the Members of the Committee, I wish to defer this Motion to a later date. The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate.
view
23 Jun 2020 in Senate:
Thank you, Madam Temporary Speaker. First of all, you had made a ruling that the matter is deferred until tomorrow. I do not know whether that ruling has been rescinded because, in your first ruling, you said that it is deferred until tomorrow. The reason why we are seeking a deferral is the fact that there was no Seconder for the Motion. I had consulted Sen. Cherargei, who is the Chairperson of the Committee, but he indicated to me that he had already been de-whipped. I consulted Sen. Orengo, and he indicated to me that he is opposed to the ...
view
23 Jun 2020 in Senate:
Thank you, Madam Temporary Speaker. I beg to move the Motion- THAT, taking into consideration the recommendation of the Standing Committee on Justice, Legal Affairs and Human Rights, in its report on the proposed appointment of Hon. Rachel Ameso Amolo as a member of the Public Service Commission (PSC), laid on the Table of the House the Senate on Tuesday, 16th June, pursuant to Standing Order 71, and COGNIZANT of the provisions of Article 127 (2) (d) of the Constitution, and Section 9 of the Parliamentary Service Act (2019) ---
view
23 Jun 2020 in Senate:
Madam Temporary Speaker, I am entitled to be heard in silence.
view
23 Jun 2020 in Senate:
COGNIZANT of the provisions of Article 127 (2) (d) of the Constitution, and Section 9 of the Parliamentary Service Act (2019) and Section 3 and 8 of the Public Appointments (Parliamentary) Approval Act (2011), the Senate rejects the proposed appointment of Hon. Rachel Ameso Amolo as a non-Member of Parliament commissioner to the Parliamentary Service Commission (PSC). Madam Temporary Speaker, the PSC is established---
view
23 Jun 2020 in Senate:
Madam Temporary Speaker, if I may, the fact that it is still a law in our statutory books, we are bound to follow it until it is annulled. The PSC is stablished under Article 127 of the Constitution and is responsible for among other functions, providing services and facilities to ensure the efficient and effective functioning of Parliament. Article 127 (2)(d) of the Constitution provides that the Commission consists among others, one man and one woman appointed by Parliament from among persons who are experienced in public affairs, but are not members of Parliament. At the Sitting of the Senate ...
view