Mohamed Faki Mwinyihaji

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 371 to 380 of 2112.

  • 27 Mar 2024 in Senate: ago during the Kibaki administration. They are fairly new and modern houses. I wonder why the Government is demolishing such units at a time when people do not have houses. Thank you. view
  • 27 Mar 2024 in Senate: Asante Bw. Spika wa Muda. Swali langu ni kuhusu kupotea kwa umeme katika Kaunti ya Mombasa haswa wakati huu wa mwezi mtukufu wa Ramadhan. Limekuwa jambo la kawaida umeme kupotea mara kwa mara katika Kaunti ya Mombasa na maeneo ya karibu haswa tunapokuwa tunafanya ibada za usiku. Wengi wanashindwa kuhudhuria ibaada hizo kwa sababu ya ukosefu wa umeme na vile vile kiusalama si rahisi mtu kutoka nyumbani ikiwa mataa barabarani yamezimika kwa sababu ya ukosefu wa umeme. Je, waziri ana mipango gani ya kuhakikisha kuwa kwa siku 14 ambazo zimebaki za mwezi huu mtukufu tutakuwa na umeme na sio katika ... view
  • 21 Mar 2024 in Senate: Madam Temporary Speaker, I second. view
  • 20 Mar 2024 in Senate: Thank you, Mr. Speaker, Sir. I beg to give notice of the following Motion- THAT, AWARE THAT the Sacco Societies (Non-Deposit Taking Levy) Order, 2023 Legal Notice No. 178 of 2023 was tabled in the Senate on 15th November, 2023 and referred to the Select Committee on Delegated Legislation for consideration; RECOGNIZING THAT this Order relates to imposition of a levy on non-deposit taking SACCO societies; COGNIZANT THAT Section 5 of the Statutory Instruments Act (Cap 2A, Laws of Kenya) requires that before a regulation-making authority makes a statutory instrument that has a direct or substantial indirect effect on business, ... view
  • 20 Mar 2024 in Senate: Thank you, Mr. Speaker, Sir. I beg to give notice of the following Motion- THAT, AWARE THAT the Sacco Societies (Non-Deposit Taking Levy) Order, 2023 Legal Notice No. 178 of 2023 was tabled in the Senate on 15th November, 2023 and referred to the Select Committee on Delegated Legislation for consideration; RECOGNIZING THAT this Order relates to imposition of a levy on non-deposit taking SACCO societies; COGNIZANT THAT Section 5 of the Statutory Instruments Act (Cap 2A, Laws of Kenya) requires that before a regulation-making authority makes a statutory instrument that has a direct or substantial indirect effect on business, ... view
  • 20 Mar 2024 in Senate: Thank you, Mr. Speaker, Sir. I stand pursuant to Standing Order No.52(1) to make a Statement on a matter of general topic of concern, namely, the escalating incidents of road accidents in the country which has led to an alarming number of deaths and injuries among our citizens. Mr. Speaker, Sir, the statistics are sobering. The 2023 economic survey reports rising road accident fatalities to 4,690 in 2023 from 4,579 in 2022, indicating a distressing increase of approximately 2.4 per cent. However, there is a silver lining on this. In its recent report, the National Transport and Safety Authority (NTSA) ... view
  • 20 Mar 2024 in Senate: Thank you, Mr. Speaker, Sir. I stand pursuant to Standing Order No.52(1) to make a Statement on a matter of general topic of concern, namely, the escalating incidents of road accidents in the country which has led to an alarming number of deaths and injuries among our citizens. Mr. Speaker, Sir, the statistics are sobering. The 2023 economic survey reports rising road accident fatalities to 4,690 in 2023 from 4,579 in 2022, indicating a distressing increase of approximately 2.4 per cent. However, there is a silver lining on this. In its recent report, the National Transport and Safety Authority (NTSA) ... view
  • 20 Mar 2024 in Senate: I thank you. view
  • 20 Mar 2024 in Senate: I thank you. view
  • 20 Mar 2024 in Senate: Thank you, Mr. Deputy Speaker. I will be very brief. Ningependa kuchangia Taarifa ambayo umeileta hapa kama Seneta wa Meru kuhusu kutekwa nyara na hatimaye kuuwawa kwa mwanablogu Snipper. Ni jambo la kusikitisha kwamba hivi sasa ambapo tunayo Serikali ya Kenya Kwanza iliyo mpya, watu bado wanauliwa kiholela. Hili jambo la kuuwa watu kiholela limekuwa likitokea na serikali zilizopita, ila sasa donda hili sugu halijaweza kutibiwa na wananchi wa Kenya kuishi kwa amani kama Katiba inavyosema. Majuzi pia kuna mtu mmoja mjini Mombasa aliyeitwa Yusuf Swaleh Ahmed Kandereni au Candy Rain aliyekuwa ni mfanyibiashara Mombasa. Alitekwa nyara na polisi nyumbani ... view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus