30 Dec 2022 in Senate:
The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate.
view
30 Dec 2022 in Senate:
The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate.
view
30 Dec 2022 in Senate:
Pili, ningependa kumwambia Gavana Kawira ambaye yuko hapa mbele yetu na pia bunge la kaunti kuwa sio kwamba mmoja ameshinda na mwengine ameshindwa. Mumeletwa pamoja na kuzinduliwa kwamba mmechaguliwa kutumikia wananchi wa Meru na wa Kenya kwa jumla. Kwa hivyo, hapa hakuna mshindi. Walioshindwa ni wakaazi wa Meru amabao wamekosa huduma kwa muda wa miezi minne sasa.
view
30 Dec 2022 in Senate:
Pili, ningependa kumwambia Gavana Kawira ambaye yuko hapa mbele yetu na pia bunge la kaunti kuwa sio kwamba mmoja ameshinda na mwengine ameshindwa. Mumeletwa pamoja na kuzinduliwa kwamba mmechaguliwa kutumikia wananchi wa Meru na wa Kenya kwa jumla. Kwa hivyo, hapa hakuna mshindi. Walioshindwa ni wakaazi wa Meru amabao wamekosa huduma kwa muda wa miezi minne sasa.
view
30 Dec 2022 in Senate:
Bw. Spika, kuenda mbele, tunafaa kuangalia kama tunaweza kurekebisha sheria ili kabla ya watu kuenda katika maswala ya kubanduliwa uongozini, kuwe na taratibu zinazofatwa Kwa mfano, waweze kupitia tume ya
view
30 Dec 2022 in Senate:
Bw. Spika, kuenda mbele, tunafaa kuangalia kama tunaweza kurekebisha sheria ili kabla ya watu kuenda katika maswala ya kubanduliwa uongozini, kuwe na taratibu zinazofatwa Kwa mfano, waweze kupitia tume ya
view
30 Dec 2022 in Senate:
(IGRTC) na wajaribu kutatua matatizo yao kupitia mazungumzo au arbitration wakishindwa, waende katika swala la mwisho la
view
30 Dec 2022 in Senate:
(IGRTC) na wajaribu kutatua matatizo yao kupitia mazungumzo au arbitration wakishindwa, waende katika swala la mwisho la
view
20 Dec 2022 in Senate:
Asante Bw. Spika kwa kunipa fursa hii kuchangia Hoja ya kuchagua Kamati Maalumu ya kuchunguza madai yaliyoletwa katika Seneti hii na Bunge la Kaunti ya Meru. Kifungu cha 80(1) ya Kanuni za Kudumu zetu kinasema kwamba Seneti inaweza kwenda kwa njia ya Kamati ya Seneti Nzima ama kwa njia ya Kamati Maalumu ya kuweza kuchunguza madai haya. Kuna kile tunaita umuhimu katika njia zote mbili katika kuchunguza suala hili. Mpaka sasa, nafikiri yaliyoletwa mbele ya Seneti hii ni madai tu. Wakati Seneti Nzima au Kamati itakapokaa, ndiyo ule ushahidi wa kuthibithisha madai yale utafikishwa mbele ya Kamati ile ama Seneti ...
view
22 Nov 2022 in Senate:
Madam Temporary Chairperson, I second.
view