16 Nov 2023 in Senate:
Pesa zitakazokusanywa zitafikia mkulima ili kuondoa wakiritimba ambao wanapangia pesa ya mkulima pasipo kumhusisha. Jambo la pili ni Warehouse Receipt System. Usimamizi wa kahawa katika maghala baada ya kuchunwa na kuwasilishwa. Mkulima anapopata mnunuzi wa kahawa hata kama ametoka nje ya nchi, lazima kuwe na idhini na makaratasi ambayo itapigwa sahihi kuhakikisha kwamba amekubaliana na bei ya kahawa na pia amekubali kuuza kahawa yake. Mswada huu umependekeza njia mbili za kuuza kahawa. Mkulima anawezawasilisha kahawa katika soko la kahawa la Nairobi Coffee Exchange. Pia anaweza kuuza kahawa moja kwa moja hadi nchi za ngámbo. Kwenye njia hizi mbili, pesa itapitia ...
view
16 Nov 2023 in Senate:
The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate.
view
16 Nov 2023 in Senate:
The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate.
view
16 Nov 2023 in Senate:
ina zaidi ya aina mia nne ya kahawa. Hapa nchini kuna zaidi ya aina 10 za kahawa. Wameendelea kiasi ya kwamba wanawezazalisha miche ya kahawa ambayo inalingana na urefu wako, ili usiwe na shida wakati unaenda kuchuna kahawa. Ili tufike hapa tunapendekeza kuwa na CRI na kuondoa kahawa chini ya
view
16 Nov 2023 in Senate:
ina zaidi ya aina mia nne ya kahawa. Hapa nchini kuna zaidi ya aina 10 za kahawa. Wameendelea kiasi ya kwamba wanawezazalisha miche ya kahawa ambayo inalingana na urefu wako, ili usiwe na shida wakati unaenda kuchuna kahawa. Ili tufike hapa tunapendekeza kuwa na CRI na kuondoa kahawa chini ya
view
16 Nov 2023 in Senate:
Wakati kahawa, majani chai na mazao mengine yaliwekwa ndani ya AFA, tulifanya makosa kwani mazao ilididimia. Tumetoa kahawa kutoka kwa AFA na kuiweka chini ya Coffee Board of Kenya (CBK), ili iangaliwe vizuri vile inafaa. Hivi sasa kahawa imewekwa kwenye kikundi kimoja na dania, kalela na mchicha. AFA haijaangalia kahawa vizuri. Mswada huu unaashiria iwapo umepewa leseni ya kusaga na kuuza kahawa kama
view
16 Nov 2023 in Senate:
Wakati kahawa, majani chai na mazao mengine yaliwekwa ndani ya AFA, tulifanya makosa kwani mazao ilididimia. Tumetoa kahawa kutoka kwa AFA na kuiweka chini ya Coffee Board of Kenya (CBK), ili iangaliwe vizuri vile inafaa. Hivi sasa kahawa imewekwa kwenye kikundi kimoja na dania, kalela na mchicha. AFA haijaangalia kahawa vizuri. Mswada huu unaashiria iwapo umepewa leseni ya kusaga na kuuza kahawa kama
view
16 Nov 2023 in Senate:
, haufai kupewa leseni ya kuwa agent ama broker wa kahawa. Ni kwa sababu tuligundua cartels ambao walikuwa wameingia katika kahawa, walikuwa wanadanganya wao ndio wanunuzi---
view
16 Nov 2023 in Senate:
, haufai kupewa leseni ya kuwa agent ama broker wa kahawa. Ni kwa sababu tuligundua cartels ambao walikuwa wameingia katika kahawa, walikuwa wanadanganya wao ndio wanunuzi---
view
16 Nov 2023 in Senate:
Bw. Spika wa Muda, unajua Seneta wa Wajir, Sen. Abass, hajui kuongea kwa sauti ya chini. Kwa hivyo, siwezi kuchangia akiwa anaongea. Tuligundua kwamba cartels ndio bado walikuwa wasaga kahawa na pia kujifanya
view