Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 41 to 50 of 424.

  • 3 Dec 2024 in Senate: Asante sana. view
  • 26 Nov 2024 in Senate: Bw. Spika wa Muda, niko na shida ya koo. Kwa sasa, sitaweza. view
  • 26 Nov 2024 in Senate: Asante sana, Bw. Spika wa Muda. Kwanza ningetaka ni muarifu Sen. Madzayo kwamba--- view
  • 26 Nov 2024 in Senate: Nataka tu kuku--- view
  • 26 Nov 2024 in Senate: Asante sana, Bw. Spika wa Muda. Basi nitataja tu na niseme ya kwamba, kuna Mswada muhimu sana ambao tumekuwa tukiuzunguka kama Kamati ya Kilimo, Mifugo na Uchumi wa Baharini katika Seneti. Tushaenda Kwale mpaka Lamu, na ninadhani tutakapo malizana na ule Mswada itakuwa ni rahisi sana kuhakikisha ya kwamba korosho, macadamia, ufuta, nazi na vitu kama hizo zinatiliwa maanani. Hii ni kwa sababu, sheria ambayo iko kwa sasa, inafaa kufuatiliwa. Ujuavyo, wakati Mswada huu utakuja katika Bunge la Seneti, tutauunga mkono. Kwanza ningetaka niongee mambo mawili ama matatu. Kwanza ni kwamba, Katiba yetu inaruhusu Rais kuja kutoa Taarifa katika Bunge ... view
  • 26 Nov 2024 in Senate: iweze kufungua kwa sababu mbolea isha nunuliwa na iko pale, iweze kupewa mkulima. Hii ni kwa sababu ikiwekwa pale, itakuwa haina maana. Ujuavyo, changirizi ya chungu huua hata ndovu. Shida tulizo nazo ndogo ndogo zile za mkulima ambaye amecheleweshwa kupewa mbolea ambayo serikali ishanunua na kupeleka mahali pale, ndio inasababisha yule mkulima kujiandaa na kutoa chakula ambayo inatosha, anarudi nyuma. Kwa hivyo, kama wale ambao wako katika taasisi husika yaani Cereals Produce Board (CPB), kama wangeweza kulainisha ili wakulima wapate voucher na mtu apewa mbolea ambayo wanahitaji, ingekuwa vyema zaidi. Kwa sababu, unapoenda pale unapata yule mtu ambaye anataka mifuko ... view
  • 26 Nov 2024 in Senate: kama kuna njia inginee yeyote ya kuhakisha viwanda vyetu vimejengwa ama kusambaza stima umefanywa, ifanywa na mtu ambaye tunajua ni msafi, ambaye hata tuletea hasara. Kwa mambo ya elimu, pale ninapotoka Kirinyaga kuna shule inaitwa Muslim view
  • 26 Nov 2024 in Senate: pale Sagana. Kwa muda mrefu sana imefikisha hadhi ya kupewa JuniorSecondary ambayo kwa sasa wamekuwa cleared . Nilikuwa nimetuma barua hata kwa waziri na kwa sababu mambo ambayo inasemwa, mwenye kuenda pale kufanya kazi ya mkono ni hao mawaziri na makatibu katika zile wizara. Pia ni vizuri waangalie na kuhakisha ya kwamba zile shule zinahitaji kupandishwa hadhi zipandishwe ili watoto wasikuwe wakienda safari ndefu sana kuenda kutafuta Elimu. Nikimalizia, nitasema kwamba mimi kama Mwenyekiti wa Kamati ya Kilimo, Mifugo na Uchumi wa Baharini katika kamati ya Seneti, mkulima ni mtu wa maana sana. Tunahitaji mkulima asubuhi tunapotafuta staftahi. Saa nne ... view
  • 20 Nov 2024 in Senate: Asante sana, Bw. Spika. Ningependa kuongea dakika moja kuhusu Taarifa zilizoulizwa na Sen. Mundingi na Sen. Nyutu. Kwanza, polisi ni muhimi sana katika nchi hii ingawa watu wengi wanalalamika na pia nyuki hapigwi busu, polisi pia ni watu. Ukiangalia polisi wanaohamishwa kutoka mahali pamoja kupelekwa pengine, wako na familia zinazovunjika. Polisi anapochukua mtaji na kuweka katika ujenzi wa nyumba mahali pamoja, halafu anatolewa na kupelekwa mahali pengine anapofaa kulipa kodi, inaleta gharama ya ziada ambayo polisi wengi wameshindwa kukimu. The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained ... view
  • 20 Nov 2024 in Senate: Ndio maana mara nyingi unaona polisi wengi wakiwa na matatizo ya kiakili. Hilo ni jambo la maana sana. Polisi wanapohamishwa kutoka sehemu moja kupelekwa nyengine, wanafaa kuridhika na mahali wanapopelekwa na wapewe ridhaa ya kukaa mahali pale. Jambo la pili ni kuhusu Taarifa iliyoulizwa na Seneta wa Kaunti ya Murangá. Katika kikao kilichoisha katika Kamati ya Ukulima, Uvuvi na Uchumi Samawati ambacho mimi ni Mwenyekiti, tulikaa na Waziri na kumwambia kwamba angeongeza makataa ili macadamia iuzwe kwa nchi za ng’ambo. Lakini tangu makataa ilipoisha tarehe mbili, mwezi wa kumi na moja, hakuna jambo limefanyika hadi sasa. Bw. Spika, wakulima wanafaa ... view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus