Shakila Abdalla

Born

1961

Post

Parliament Buildings
Parliament Rd.
P.O Box 41842 – 00100
Nairobi, Kenya

Telephone

0721382856

All parliamentary appearances

Entries 21 to 30 of 369.

  • 20 Mar 2024 in Senate: Bw. Naibu wa Spika, sharia na sheria hazina tofauti. Ni jinsi tu unavyopenda kutamka. Ukitaka kusema sharia ama sheria, inamaanisha kitu kimoja. Ukitaka kujua zaidi, nione nyuma ya tent nikufunze mengi. Bw. Naibu wa Spika, katika nchi kama Rwanda, boda boda hubeba mtu mmoja na wote huvaa helmet . Hapa Kenya, boda boda inaweza kubeba watu wanne au watano na wakianguka, wote wanafariki kwa sababu hawafuati sheria za kuvaa helmet zinazozuia mtu kuumia endapo atapata ajali. Ni muhimu law enforcement itekelezwe ili kupunguza ajali za barabarani. Utakuta polisi wa trafiki wanachukua hongo barabarani. Akikuta scratch kwa gari lako, anakuuliza mbona ... view
  • 20 Mar 2024 in Senate: Bw. Naibu wa Spika, sharia na sheria hazina tofauti. Ni jinsi tu unavyopenda kutamka. Ukitaka kusema sharia ama sheria, inamaanisha kitu kimoja. Ukitaka kujua zaidi, nione nyuma ya tent nikufunze mengi. Bw. Naibu wa Spika, katika nchi kama Rwanda, boda boda hubeba mtu mmoja na wote huvaa helmet . Hapa Kenya, boda boda inaweza kubeba watu wanne au watano na wakianguka, wote wanafariki kwa sababu hawafuati sheria za kuvaa helmet zinazozuia mtu kuumia endapo atapata ajali. Ni muhimu law enforcement itekelezwe ili kupunguza ajali za barabarani. Utakuta polisi wa trafiki wanachukua hongo barabarani. Akikuta scratch kwa gari lako, anakuuliza mbona ... view
  • 20 Mar 2024 in Senate: Ni Kiswahili tu, Bw. Naibu Spika. view
  • 20 Mar 2024 in Senate: Ni Kiswahili tu, Bw. Naibu Spika. view
  • 14 Feb 2024 in Senate: Asante Bw. Spika wa Muda, kwa kunipa nafasi hii nami pia nichangie katika mjadala huu muhimu wa akina mama. Kwanza, ningependa kuchukua fursa hii nimushukuru Sen. Munyi Mundigi leo kwa kumbuka wamama ikiwa ni Valentine Day . Ijapokuwa sisi Waislamu hatusherekei view
  • 14 Feb 2024 in Senate: , lakini, tunaseme anayekukumbuka ni binadamu. Kwa hivyo, tunasema asante kwa Sen. Munyi Mundigi. Pia, ningependa kusema ni kwamba hakuna mwanamke ama binadamu anayestahili kufa kwa sababu ya mapenzi. Kifo kimepangiwa muda wake na sababu zake. Lakini sababu ya mapenzi haistahili mtu kupoteza maisha yake. Bw. Spika wa Muda, mwanamke ama binadamu yeyote anayepoteza maisha, kitu cha muhimu ni haki ipatikane kwa kufuata sheria. Bw. Spika wa Muda, katika nchi yetu ya Kenya hatuna shida ya sheria. Sheria za Kenya ziko nyingi sana ambazo kwamba zinampatia kila mtu haki kikamilifu. Shida ni kwamba utekelezaji wa sheria ndio changamoto kubwa katika ... view
  • 23 Nov 2023 in Senate: Thank you, Mr. Temporary Speaker, Sir. I rise pursuant to Standing Order No.53(1) to seek a Statement from the Standing Committee on Finance and Budget concerning customs regulations and taxation clearance procedures for travellers returning to Kenya through the Jomo Kenyatta International Airport (JKIA). In the Statement, the Committee should: view
  • 23 Nov 2023 in Senate: Thank you, Mr. Temporary Speaker, Sir. I rise pursuant to Standing Order No.53(1) to seek a Statement from the Standing Committee on Finance and Budget concerning customs regulations and taxation clearance procedures for travellers returning to Kenya through the Jomo Kenyatta International Airport (JKIA). In the Statement, the Committee should: view
  • 23 Nov 2023 in Senate: (1) State the criteria used by custom officials in determining the declaration process for taxable items for passengers returning to Kenya through JKIA. (2) Provide the average turnaround time for clearance of by customs officials upon arrival, clarifying reports indicating that there has been significant delays in passengers’ clearance at customs section, elucidating steps the Kenya Revenue Authority (KRA) is implementing to expedite and streamline these processes. (3) State the criteria used in the review of the monetary threshold for personal items brought into the country by travellers to US$500 as announced on 10th November 2023 by the KRA, stating ... view
  • 23 Nov 2023 in Senate: (1) State the criteria used by custom officials in determining the declaration process for taxable items for passengers returning to Kenya through JKIA. (2) Provide the average turnaround time for clearance of by customs officials upon arrival, clarifying reports indicating that there has been significant delays in passengers’ clearance at customs section, elucidating steps the Kenya Revenue Authority (KRA) is implementing to expedite and streamline these processes. (3) State the criteria used in the review of the monetary threshold for personal items brought into the country by travellers to US$500 as announced on 10th November 2023 by the KRA, stating ... view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus