Stewart Mwachiru Shadrack Madzayo

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 1631 to 1640 of 2266.

  • 6 Jun 2019 in Senate: Asante sana Bi. Spika wa Muda kwa kunipa nafasi kuchangia katika taarifa hii kuhusu mfumo wa elimu iliyoletwa na ndugu yetu Sen. Khaniri. Wahenga walisema; ndovu wawili wakipigana, nyasi ndio huumia. Kwa ukosefu wa Prof. Magoha kukaa na ndugu hon. Sosion, kujadiliana na kupata msimamo wa kuwa elimu katika nchi hii ni muhimu zaidi kwa watoto wetu katika shule za msingi, ni jambo la kusikitisha. Prof. Magoha anaelewa kwamba katiba ya Kenya inasema kwamba ikiwa kuna mjadala wa aina yeyote, ni lazima watu wakae, waelezane, waelewane ili wapate njia ya kuenda mbele. Wazungu wanaita consultation . Jambo la kusikitisha ni ... view
  • 6 Jun 2019 in Senate: Bi. Spika, hata wewe ni profesa na ulienda shule lakini haukuwa unabeba vitabu vingi kama wanafunzi wa sasa. Wakati wetu, tulikuwa tunabeba vitabu kama sita au saba. Mwanafunzi alikuwa anafanya mtihani wa kitaifa katika masomo saba kisha anajiunga na shule ya pili kabla ajiunge na chuo kikuu. Bi. Spika, hivi sasa, watoto wetu wamepatwa na mzigo mkubwa. Wanalazimika kubeba magunia migongoni wakienda shuleni. Ni jukumu la Prof. Magoha kuona kwamba mzigo wa watoto wanaoenda shule umepunguzwa na sio kupigana na chama cha walimu. view
  • 29 May 2019 in Senate: On a point of order, Mr. Deputy Speaker, Sir. I did not want to interject when my sister was talking about a very important matter, but what comes to my attention is, she referred to all the contributors. Incidentally, mine was done in Kiswahili and l do not know whether my sister really got my points, because all these points she is referring to, Sen. Mutula Kilonzo Jnr., can confirm that they were related to whatever she is submitting. I did not hear her say that my brother spoke in Kiswahili, and although interpretation might be difficult, but l think ... view
  • 29 May 2019 in Senate: She is not obliged, but out of---. view
  • 29 May 2019 in Senate: Thank you, Mr. Deputy Speaker, Sir. view
  • 29 May 2019 in Senate: l am obliged, Mr. Deputy Speaker, Sir. view
  • 29 May 2019 in Senate: On a point of order, Mr. Deputy Speaker, Sir. You have said that there should be no comments, but I thought your brothers who have been sitting there have made it a tradition that after a Senator reads out his or her Statement, then other Senators can also ride on it. You are now killing that tradition. view
  • 29 May 2019 in Senate: Mr. Deputy Speaker, Sir, I am obliged. view
  • 29 May 2019 in Senate: Yes, Mr. Deputy Speaker, Sir. This idea of interdicting a teacher who basically has aired his opinion as a Kenyan and secondly, in the course of his performance as a representative of a worker, is the height of impunity on the part of whoever gave these orders for the teachers to be interdicted. You realise that this is now prevalent and is affecting all KNUT officials across the country. It is a huge complain. At The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, ... view
  • 29 May 2019 in Senate: the end of the day, these teachers are made to come out on the streets simply because they have been interdicted and an economic death has visited their home. Mr. Deputy Speaker, Sir, it is a very important point that my brother, Sen. Wambua, has brought out. I also want to enjoin myself with the sentiments of Sen. Mutula Kilonzo Jnr. Let us invite Prof. Magoha to come and explain; if an employee working in his capacity as a representative of a worker goes to his office or in a meeting and says: ―This programme has not been given sufficient ... view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus