1 Dec 2015 in Senate:
Bw. Spika wa Muda, ningependa kuuliza taarifa kutumia Kanuni ya Seneti No.45, kutoka kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Kilimo kuhusiana na maswala yafuatayo:- 1. Je, ni kwa nini mtambo wa Shirika la Kenya Cashew Nuts Limited, uliokuwa mikononi mwa chama cha ushirika, yaani Kilifi Cooperative Society, ulipewa Millennium Management Limited? 2. Je, ni nani aliyechukuwa alisimia 35 za hisa za wakulima wa Kaunti ya Kilifi? Je, hisa hizo za wakulima ziko wapi kufikia sasa? 3. Je, wakulima hao watarejeshewa lini hisa hizo, kwa sababu bado wako hai na wanaishi katika hali ya walalahoi? 4. Je, hayo mageuzi ya ununuzi wa ...
view
24 Nov 2015 in Senate:
Mr. Speaker, Sir, I would like to be given at least up to next week on Thursday.
view
24 Nov 2015 in Senate:
Mr. Speaker, Sir, most obliged.
view
3 Nov 2015 in Senate:
Bw. Naibu Spika, asante kwa kunipa nafasi hii. Ninaungana na wenzangu kuwakaribisha viongozi wa Kaunti ya Homa Bay. Wako hapa leo kwa minajili ya kuelewa jinsi ya kuendeleza serikali ya mashinani. Ni jambo la muhimu kwamba viongozi wa Homa Bay wamefika hapa na natumai watajifunza mambo mengi. Hatimaye, watakaporudi nyumbani, watakuwa vielelezo vya uongozi huko kwao. Nawahimiza kwamba ufisadi usipelekwe katika serikali za kaunti. Ninahakika kwamba kuja kwao hapa watajifunza mengi. Bw. Naibu Spika, sina la ziada ila kukushukuru kwa kuruhusu viongozi wa Kaunti ya Homa Bay kuja hapa kuungana nasi ili waweze kujifunza jinsi ya kuendeleza serikali za kaunti.
view
13 Oct 2015 in Senate:
Mr. Speaker, Sir, I have the response to the question raised by my colleague, Sen. Chelule---
view
13 Oct 2015 in Senate:
Mr. Speaker, Sir, thank you very much for your guidance. I am obliged. The question that was asked was whether the government was aware whether the youth, women, and persons with disabilities face challenges in executing government tenders that are won, due to lack of collateral required by financial institutions to secure the loans. The response is that the Government is aware of the financial challenges faced by these people in executing government tenders that they win. It is in this regard that the government has taken the following measures to ensure that this category groups continue bidding and supplying ...
view
13 Oct 2015 in Senate:
Fund Oversight Board has received 55,456 applications from groups and institutions. In the last two financial years, out of the Kshs5354,400,000 disbursed to the 290 constituencies, the Board has approved Kshs4,240,400,000 for funding, to the groups or institutions that meet the eligibility criteria as provided in the Public Finance Benefit called Uwezo Fund. The Funds have benefited 42,801 groups countrywide out of which 26,838 are women groups, 14,986 are youth groups and 977 are groups of people living with disabilities as shown. The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposes only. A certified version of this ...
view
13 Oct 2015 in Senate:
Thank you, Mr. Chairman. This document---
view
13 Oct 2015 in Senate:
Mr. Speaker, Sir, I am sorry. I stand guided. This document has been here even before the Session started this afternoon. I have been having it with me. I asked her if she wanted to have a look at it and if she had any question. Today, this afternoon, it was lying with the Clerk-at-the-Table there. She should have walked in, picked it up and familiarized herself. So, I do not think that she can pass the buck to this other side.
view
13 Oct 2015 in Senate:
Mr. Speaker, Sir, the two Senators who spoke earlier; Sen. Abdirahman and Sen. Njoroge are Members of my Committee on Labour and Social Welfare. They should have raised these questions and they should know better. The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposes only. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate.
view