Stewart Mwachiru Shadrack Madzayo

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 2101 to 2110 of 2263.

  • 5 May 2015 in Senate: Yes, Mr. Speaker, Sir. Mr. Speaker, Sir, I have discussed with my colleague and we have agreed, with your kind permission, that I respond to it tomorrow. The response is ready but it is being given a final touch. view
  • 5 May 2015 in Senate: Mr. Speaker, Sir, the answer is ready but I kindly seek for permission that I respond to it tomorrow. view
  • 5 May 2015 in Senate: You are not the Speaker. view
  • 5 May 2015 in Senate: Yes, Mr. Speaker, Sir. view
  • 5 May 2015 in Senate: Most obliged, Mr. Speaker, Sir. view
  • 9 Apr 2015 in Senate: Asante sana, Bw. Spika wa Muda, kwa kunipatia nafasi hii ili nichangie Mswada huu. Ninataka kupongeza Kamati ya Fedha kwa sababu wamefanya kazi nzuri kwa kuleta Mswada huu. Mimi ninaunga mkono huu Mswada wa ugawanyaji wa pesa wa 2015. Leo tunaupitisha Mswada huu kwa maunfaa ya serikali zetu za kaunti na si kwa manufaa yetu binafsi; bali ni kwa wananchi wa Kenya. Kwa hivyo, hivi leo inafaa wananchi watambue kazi ya Seneta.Tukipitisha pesa kwenda mashinani, hatutaki zitumiwe vibaya kwa njia yoyote ambayo haitaleta maendeleo kwa wananchi wa Kenya. The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposes ... view
  • 1 Apr 2015 in Senate: Asante sana, Bw. Spika wa Muda. Kwanza nataka kumshukuru mhe Rais kwa kutoa Hotuba katika Bunge ijapokuwa nilikuwa mbali lakini niliisikia. Pia nataka kuwapa Maseneta wenzangu walioniletea rambirambi shukrani zangu. Ningependa pia kuwashukuru ndugu zangu Sen. Boy Juma Boy na Sen. Hassan. Ningependa kusema kwamba ufisadi ni sumu. Ufisadi ni kitu ambacho kimewahi kula familia nyingi. Maisha ya Wakenya iko chini kwa sababu ya ufisadi. Uhuru The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposes only. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate. view
  • 19 Mar 2015 in Senate: Mr. Speaker, Sir, I beg to lay the following Paper on the Table of the House:- A Paper on National Gender and Equality Commission Annual Report 2013/2014. view
  • 19 Mar 2015 in Senate: Mr. Speaker, Sir, I have a Statement on sexual exploitation of young girls in the coast region by tourists. It was sought by Sen. Kisasa. She sought to know the steps the Government is taking to protect young girls from being exploited by tourists along the coast region. Bw. Spika, kwa ruhusa yako, ningependelea nisome hili jibu kwa lugha fasaha ya Kiswahili. view
  • 19 Mar 2015 in Senate: Pole, Bw. Spika, ninaomba msamaha. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus