Davis Wafula Nakitare

Born

7th May 1943

Post

P. O. Box 126 Endebess

Email

nakitare@africaonline.co.ke

Telephone

0722489317

Telephone

0735669729

All parliamentary appearances

Entries 81 to 90 of 973.

  • 13 Nov 2024 in Senate: Is he in order to allege that I am talking based on tribal lines? I am an hon. Senator speaking out of cognisance of pedagogy. view
  • 13 Nov 2024 in Senate: Bw. Spika, nashukuru sana kwa kunipa nafasi hii. Wakenya wanatazama kwa makini sana yale yanayojiri katika Bunge hili. Jana katika vyombo vya The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposes only.A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and Audio Services,Senate. view
  • 13 Nov 2024 in Senate: habari tuliona viongozi shupavu wa Seneti wakitetea kaunti ili fedha siziwe chini ya Kshs400 bilioni. Haiwezekani kuwalisha mamba na baadaye watule sisi. Haiwezekani tukeshe kila kuchao tukitetea wananchi wa kaunti zetu ili wapate pesa ilhali kuna viongozi ambao wana dhana kwamba sisi ni kama wanaosukuma rukwama kwa niaba ya watu wetu. Hatutakubali. Sen. Dullo amesema kwamba sekta ya afya imedorora. Wengine hapa wametuambia kwamba sekta za kilimo na elimu zimedorora, ilihali tukiita viongozi hao katika kamati zetu hawaji. Wanajipiga vifua na kubwata maneno yasiyoeleweka. Wakati umefika tuonane jicho kwa jicho. Kule mashinani, tunasema mundu khu mundu . view
  • 13 Nov 2024 in Senate: Bw. Spika, haitawezeka kuwa Wakenya ambao wanadai kila siku ushuru unapanda lakini unaporudi katika mikono ya magavana, wao ni kufurahia na tunapowaita wanasema wako katika safari za ng’ambo. Mimi najua ng’ambo ni sayuni peke yake. Iwapo wanataka kwenda sayuni, tuonane baadaye. Kunao wanaohudumia Wakenya na ni lazima waje wabebe misalaba yao na kwa vinywa vyao wakiri dhambi zao. Iwapo wana makosa, lazima wabebwe hobela hobela na kuwekwa korokoroni. view
  • 13 Nov 2024 in Senate: Naambia magavana popote walipo kwamba tunafungua ukurasa mpya wa ugatuzi Kenya hii. Kama hawanioni wataambiwa tuliyoyasema. Unapopewa pesa nyingi, uwajibikaji ni wa hali ya juu. Tutawaandama kushoto na kulia, kwenye handaki na mlimani, kote tutafika ili ugatuzi--- Sisi ni wasanii wa nyimbo za mavoka, halmashauri tunasema, “tutaanguka na wao”. Tukishaanguka nao, “ tutafinish kumalo ”. Hiyo ndiyo lugha vijana mashinani wanaelewa. Kwamba ni lazima ugatuzi ufanye kazi na magavana wawajibike. Ndugu yangu wa Migori, ni lazima tufanye kazi. view
  • 13 Nov 2024 in Senate: Asante. view
  • 27 Oct 2024 in Senate: Mr. Deputy Speaker, Sir, when I wanted to say something, you stopped me from saying it, and someone said, I do not know how to use buttons. I want to concur with Sen. Onyonka that as a teacher by profession, the Ministry and the curriculum being implemented have a big problem. There are big gaps based on policy implementation, the curriculum itself, the training of teachers and the funding of the programme. If we do not step into the gap now, our whole generation is going to limp in the dark. It is important to take what Sen. Onyonka is ... view
  • 27 Oct 2024 in Senate: When you look at me, I am competent enough to take care of my animals at home such as the chicken and also milk my animals. I am also able to make my own table and chairs and to spin my pullover. That tells you that all of us here who were a product of 8- 4-4, are not here by fault or default. We are here by design. The system was efficient and that is why we are spewing wisdom and facts to this country. Therefore, allow us to shape the future and destiny of our children in the ... view
  • 27 Oct 2024 in Senate: ---and noise making. view
  • 27 Oct 2024 in Senate: If this curriculum is going to entertain noise-making, then we would rather go back to the 8-4-4 system. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)