Mohamed Faki Mwinyihaji

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 991 to 1000 of 2123.

  • 14 Jun 2022 in Senate: Madam Temporary Speaker, I second. view
  • 14 Jun 2022 in Senate: Madam Temporary Speaker, I beg to report that the Committee of the Whole has considered the SACCO Societies (Amendment) Bill (National Assembly Bill No. 55 of 2021) and seeks leave to sit again tomorrow. view
  • 14 Jun 2022 in Senate: Madam Temporary Speaker, I second. view
  • 14 Jun 2022 in Senate: Madam Temporary Speaker, I beg to report that the Committee of the Whole has considered the Sustainable Waste Management Bill (National Assembly Bill No. 22 of 2021) and seeks leave to sit again tomorrow. view
  • 14 Jun 2022 in Senate: Madam Temporary Speaker, I second. view
  • 18 May 2022 in Senate: Bw. Spika wa Muda, mwenzangu Sen. Khaniri amezungumzia nafsi badala ya nafasi. Nafsi na nafasi ni vitu viwili tofauti. Kaunti ya Vihiga imepata nafasi nyingi kuleta wafanyakazi wake hapa Bunge kusoma. Kwa hivyo, sio nafsi, ni nafasi. view
  • 18 May 2022 in Senate: Asante Bw. Spika wa Muda kwa kunipa fursa hii kujiunga pamoja na wewe na Seneta wenzangu wahudumu wa maktaba kutoka kaunti zilizotajwa. Maktaba ni kiungo muhimu cha elimu na vile vile cha taasisi tofauti tofauti ili kuweza kujua tunatoka wapi na tunaenda wapi. Yale watakayo soma hapa itasaidia pakubwa kuweza kutengeneza maktaba na makavazi mazuri kwa vizazi vijavyo. Hapa Bungeni tuna utalaamu mwingi na vitabu na stakabadhi nyingi ambazo zitasaidia pakubwa kutuelimisha sisi kama Maseneta na watu wengine kuhusiana na taratibu za Bunge na mambo mengine kama hayo. Kwa hivyo, kusoma kwao na kuhudhuria kwao vikao hivi itasaidia pakubwa kuweza ... view
  • 18 May 2022 in Senate: The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate. view
  • 18 May 2022 in Senate: Asante, Bw. Spika wa Muda, kwa kunipa nafasi hii., Najiunga na Sen. Cherargei katika maombi yake ya taarifa kuhusiana na barabara ya Mombasa Road. Zabuni ya ile barabara ya moja kwa moja yaani Nairobi Express Way, ni tofauti na zabuni ya kurekebisha barabara ambayo ilikuwako hapo awali; Mombasa Road. Haiwezekani kwamba zabuni hiyo itolewe bila ya kufuata sheria. Sheria inasema kwamba zabuni zozote za barabara zinazohusu fedha nyingi ni lazima ziende kwa mipango yote ya zabuni. Kwa mfano, kutangazwa kwa kandarasi ili yeyote ambaye ana uwezo wa kufanya kazi ile aweze kupewa nafasi ya kuifanya. Bw. Spika wa Muda, hii ... view
  • 18 May 2022 in Senate: Mr. Temporary Speaker, Sir, the Controller of Budget Regulations 2021, were published by the Controller of Budget on the 3rd of December, 2021 pursuant to Section 25 of the Controller of Budget Act. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus