Mohamed Faki Mwinyihaji

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 1511 to 1520 of 2123.

  • 17 Sep 2020 in Senate: Asante, Bw. Spika, kwa kunipa fursa kuchangia Taarifa ambayo imeombwa Bungeni na Seneta wa Machakos, Sen. (Dr.) Kabaka. The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate. view
  • 17 Sep 2020 in Senate: Bw. Spika, KMC ni shirika ambalo kwa muda mrefu limefanya bishara na kuhudumia wakenya. Katika Kaunti ya Mombasa tulikuwa na depot kubwa ambamo kulikuwa na wanyama kutoka Somalia wakisafirishwa kwenda masoko ya nje. Kwa muda wa zaidi ya miaka kumi, hatujaona shughuli yoyote ikiendelea katika KMC, Mombasa. Bw. Spika, swala la kuipeleka KMC kwa Wizara ya Ulinzi ni jambo ambalo linafaa kukemewa. Jambo hili limefanywa kinyume na sheria. KMC ni shirika lililoundwa kisheria; kulikuwa na mswada wa kisheria uliopitishwa ili kuunda KMC. Haiwezi chukuliwa kienyenji na kupelekwa katika Wizara ya Ulinzi bila taarifa yoyote ya kisheria. Bw. Spika, tunajua ya ... view
  • 17 Sep 2020 in Senate: na leo tunazungumzia maswala ya KMC. Yote inaashiria ya kwamba tuna ukiukaji mkubwa wa sheria katika nchi yetu ya Kenya. Kenya ina Katiba na sheria ambazo zinafaa zifuatwe na wote ambao wanahusika na mamlaka ya nchi. Itakuwa ni kupuuza na kudharau mamlaka yetu kama Bunge litakataa kuchunguza na kukemea swala kama hili ambapo tunaona ukiukaji wa sheria unaendelea kuongezeka. Asante, Bw. Spika. view
  • 17 Sep 2020 in Senate: seconded. view
  • 17 Sep 2020 in Senate: Asante, Bi. Spika wa Muda kwa kunipa fursa hii. Ninawapongeza Team Kenya kwa umoja wetu na kwa kazi nzuri ambayo tulifanya kuhakikisha kwamba tumeleta usawa katika ugavi wa rasilmali. Umoja wetu ndiyo ulikuwa nguvu yetu na sote tulisimama pamoja kidete kuhakikisha hakuna kaunti ambayo inapoteza pesa zozote. Pili, ninapongeza Kamati ya Maseneta kumi na wawili ambao walikaa pamoja tena baada ya kushindwa kupata muafaka kwa muda wa mikutano 19, lakini wamekaa pamoja wakapata muafaka. Ndiyo maana leo kila mtu anayetoka ana furaha. Hata wengine wanaweza kwenda kulala na viatu bila kuvivua. Sisi ni Maseneta wa Jamhuri ya Kenya, wala sio ... view
  • 16 Sep 2020 in Senate: Madam Deputy Speaker, the Chairperson of the Standing Committee on Justice, Legal Affairs and Human Rights had handed over the Statement to me to read on his behalf because the matter concerns the Sessional Committee on Delegated Legislation. CONSIDERATION OF VARIOUS REGULATIONS RELATING TO THE COVID-19 PANDEMIC view
  • 16 Sep 2020 in Senate: Madam Deputy Speaker, I rise pursuant to Standing Order No.51(1)(a) of the Senate, to make a Statement relating to matters to which the Committee is responsible, namely, consideration by the Standing Committee on Justice and Legal Affairs and Human Rights of various regulations relating to the Covid-19 pandemic. The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate. view
  • 16 Sep 2020 in Senate: Madam Deputy Speaker, at the sitting of the Senate held on 21st April, 2020, the Senate Deputy Leader of the Majority laid on the Table of the Senate: The Public Health Declaration of Formidable Epidemics Disease Order, 2020; the Public Health Prevention, Control and Suppression of Covid-19 Rules, 2020; the Public Health Covid-19 Restriction of Movement of Persons and Related Measures, 2020. Annexed to the letter were Public Health Covid-19 Restriction of Movement of Persons and Related Measures Orders in respect of the Nairobi Metropolitan area; the Mombasa County and Kwale County. These Rules and Orders are referred to in ... view
  • 16 Sep 2020 in Senate: To illustrate: (1) The Public Health Declaration of Formidable Epidemic Diseases Order 2020 was published on 27th of March, vide Legal Notice No.37 of 2020, and submitted to the Clerk of the Senate on 16th April, 2020. This was 21 days from the date the Order was published. (2) The Public Health Prevention, Control and Suppression of Covid-19 Rules, 2020 were published on 3rd of April vide Legal Notice No. 46 of 2020 and submitted to the Clerk of the Senate on 16th April, 2020. This was 14 days from the date the rules were published. (3) The Public Health ... view
  • 16 Sep 2020 in Senate: in its response to the Committee, no public participation or consultations were undertaken regarding that Order. (2) With regard to Public Health Prevention Control and Suppression of Covid-19 Rules 2020, which were published on 3rd April, 2020, the Cabinet Secretary advised that emails were sent to specific stakeholders for their input to the rules on 2nd April with a requirement that they submit their comments thereon by 10.00 a.m. on 3rd April. Such organizations that were invited to comment on the rules submitted to the Committee said that they received the said emails on the evening of 2nd April and ... view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus