Mohamed Faki Mwinyihaji

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 191 to 200 of 2123.

  • 24 Sep 2024 in Senate: Kaunti zinadorora pia katika masuala ya afya. Ule mpango wa Medical Equipment Services (MES)--- view
  • 24 Sep 2024 in Senate: Bw. Spika wa Muda ningeomba unilinde na haya mazungumzo yanayoendelea hapa. Ninaona Sen. Orwoba amesimama karibu na jukwaa. Sen. (Dr.) Murango na Sen. Wamatinga ambao ni wenyekiti--- Nasikitika pia--- view
  • 24 Sep 2024 in Senate: Asante, Bw. Spika wa Muda. Ningeomba pia Sen. Orwoba aweze kuchukua kiti chake. view
  • 24 Sep 2024 in Senate: Thank you. Tukiangalia mambo ya msingi ambayo kaunti zetu zinafaa kufanya kwa sasa yamewekwa nyuma na wanafanya mambo ambayo sio ya msingi. The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposes only.A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and Audio Services,Senate. view
  • 24 Sep 2024 in Senate: Kwa mfano, utapata katika kaunti nyingi, hospitali au zahanati, hazina madawa. Madaktari wanachelewa kulipwa mishahara yao. Wale CHPs ambao wameajiriwa ili wasaidie kupeleka huduma za afya mashinani hawalipwi mishahara yao kwa wakati unaofaa. Hii inamaanisha kwamba huduma zinadorora katika kaunti zetu. Hakuna soko mpya ama ECDE ambazo zinajengwa. Haya yote yanatuonyesha kwamba ugatuzi unapungua kasi kuliko ulivyotarajiwa kukuwa kutoka mwaka wa 2013 mpaka 2022. Kupunguza hizi fedha ambazo zitatarajiwa kuja kwa kaunti zetu zitachangia pakubwa kudorora zaidi kwa huduma katika kaunti zile. Tumezungumzia masuala ya MES. Mradi huu ulikuwa mzuri. Lakini vile vifaa vyote ambavyo vilinunuliwa vinakaribia kufika ukingoni na ... view
  • 18 Sep 2024 in Senate: Thank you, Mr. Deputy Speaker, Sir. I rise on a point of order. view
  • 18 Sep 2024 in Senate: Thank you. No, I had already pressed it. view
  • 18 Sep 2024 in Senate: Thank you. I think Sen. Kinyua should take over. view
  • 18 Sep 2024 in Senate: Thank you, Mr. Speaker, Sir. I rise on a point of order to seek your guidance on an issue that is affecting the House generally. This is in regard to our committee work. Most of the committees are experiencing a lot of quorum issues. Members appear to be a bit disenchanted. Therefore, it is very difficult for the Chairs of those committees to prosecute the matters that are before them. This has mainly been necessitated by the fact that, so far, we have been unable to know from our Chairs what the budgets are for our respective committees. We have ... view
  • 18 Sep 2024 in Senate: already done a quarter of the financial year, July, August, September, and so far, there has been no movement at all. There are reports waiting to be concluded. There are public participation activities that need to be done. All these will require Members to volunteer and attend those meetings. Mr. Deputy Speaker, Sir, I propose that you hold a Kamukunji so that these issues can be discussed by all the Members and the Chairs of those committees. I know you are Chair of the Liaison Committee. However, the committee might not be pushing hard enough so that the interests of ... view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus