Mohamed Faki Mwinyihaji

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 391 to 400 of 2112.

  • 20 Mar 2024 in Senate: kuongeza bei ya bidhaa katika nchi yetu kwa sababu benki nyingi zitakuwa zinakopesha Serikali pesa kuliko kukopesha wananchi ambapo itakuwa shida kupata malipo hayo. Sen. Sifuna alichangia kwa kusema kwamba tumepuuza mapendekezo ya Institute view
  • 20 Mar 2024 in Senate: lakini hayo sio kweli kwa sababu tumeweza kujadili mapendekezo yote na kuyaweka katika Ripoti ile na kwamba hatukuweza kulichukua pendekezo hilo kama pendekezo la Kamati sio kwa lengo la kuyapuuza mapendekezo ambayo yametolewa. Suala la ufadhili wa kutoka kwa watu binafsi yaani public-private partnership ni suala ambalo tumejadili hata katika Bunge lililopita. Wakati tulipokuwa tunaangalia mabadiliko ya debt ceiling yaani mabadiliko ya juu ya deni, tuliangalia masuala ambayo Serikali ilikuwa imependekeza. Mojawapo ya pendekezo ambalo lilitolewa na Serikali ni kwamba walikuwa wamepitisha sheria ya ile public private partnership na ya kwamba sasa miradi ya Serikali inapelekwa katika misingi ya public-private ... view
  • 20 Mar 2024 in Senate: lakini hayo sio kweli kwa sababu tumeweza kujadili mapendekezo yote na kuyaweka katika Ripoti ile na kwamba hatukuweza kulichukua pendekezo hilo kama pendekezo la Kamati sio kwa lengo la kuyapuuza mapendekezo ambayo yametolewa. Suala la ufadhili wa kutoka kwa watu binafsi yaani public-private partnership ni suala ambalo tumejadili hata katika Bunge lililopita. Wakati tulipokuwa tunaangalia mabadiliko ya debt ceiling yaani mabadiliko ya juu ya deni, tuliangalia masuala ambayo Serikali ilikuwa imependekeza. Mojawapo ya pendekezo ambalo lilitolewa na Serikali ni kwamba walikuwa wamepitisha sheria ya ile public private partnership na ya kwamba sasa miradi ya Serikali inapelekwa katika misingi ya public-private ... view
  • 20 Mar 2024 in Senate: Bw. Spika wa Muda, ningeomba kuwa tuahirishe kupigiwa kura kwa suala hili kuambatana na Kifungu cha 66(3) cha Kanuni za Kudumu za Seneti. view
  • 20 Mar 2024 in Senate: Bw. Spika wa Muda, ningeomba kuwa tuahirishe kupigiwa kura kwa suala hili kuambatana na Kifungu cha 66(3) cha Kanuni za Kudumu za Seneti. view
  • 19 Mar 2024 in Senate: Thank you, Mr. Speaker. Sir. I beg to lay the following Paper on the Table of the Senate today, 19th March, 2024- Report on Inaugural High-Level Joint Session of the Council of Governors (CoG) and the Senate held from 15th -18th June, 2023 in Naivasha, Nakuru County. view
  • 19 Mar 2024 in Senate: Thank you, Mr. Speaker. Sir. I beg to lay the following Paper on the Table of the Senate today, 19th March, 2024- Report on Inaugural High-Level Joint Session of the Council of Governors (CoG) and the Senate held from 15th -18th June, 2023 in Naivasha, Nakuru County. view
  • 19 Mar 2024 in Senate: Thank you, Mr. Speaker. Sir. I beg to lay the following Paper on the Table of the Senate, today, 19th March, 2024- The County Government's Additional Allocations Cash Disbursement Schedule for the Financial Year 2023/2024. Thank you. view
  • 19 Mar 2024 in Senate: Thank you, Mr. Speaker. Sir. I beg to lay the following Paper on the Table of the Senate, today, 19th March, 2024- The County Government's Additional Allocations Cash Disbursement Schedule for the Financial Year 2023/2024. Thank you. view
  • 19 Mar 2024 in Senate: Thank you, Mr. Speaker, Sir. I beg to give notice of the following Motion- The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus