25 May 2023 in Senate:
Asante, Bw. Naibu wa Spika. Kabla sijachangia maombi ya Taarifa iliyoletwa Bungeni na Sen. Hamida, ningependa kumkumbusha Sen. (Dr.) Khalwale kuwa hili ni Bunge. Mambo ya Bunge ni mambo ya Bunge na mambo ya Rais ni mambo ya Rais. Kwa hivyo, mambo ya Bunge lazima yazungumzwe Bungeni. Ningependa kuchangia Taarifa kuhusiana na kuachiliwa kwa wafungwa wanaotumikia vifungo vidogo vidogo gerezani. Ninawapongeza Maseneta wa Kenya Women Senators Association (KEWOSA) ambao juzi walizuru gereza la kina mama la Langata, ambapo waliwatoa takriban wafungwa 100. Wafungwa hao walikuwa wamefungwa kwa makosa madogo madogo. Bw. Naibu wa Spika, hii sio mara ya kwanza kwa ...
view
25 May 2023 in Senate:
The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposes only.A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate.
view
25 May 2023 in Senate:
Tulitoa zaidi ya wafungwa 100 kutoka gereza lile. Baada ya hapo, Jaji Mutende aliyekuwa akihudumu katika kituo kile, alifanya ziara katika gereza lile, akaangalia zile faili za wafungwa wote waliokuwa na makossa madogo madogo, na wote wakaruhusiwa kwenda nyumbani. Ni kwa sababu ya kazi ambayo Bunge la Seneti lilikua limefanya. Bw. Naibu wa Spika, ni muhimu swala hili liangaliwe kwa undani. Tulipokuwa tunahudumu katika Kamati ya Haki, Sheria na Haki za Binadamu, tulizuru gereza la Industrial Area. Hapo, wafungwa wanaishi katika hali ngumu sana, hususan wale walioko rumande wanaosubiri kesi zao zimalizwe ndio waende nyumbani. Hao wafungwa wanazuiliwa kwa dhamana ...
view
25 May 2023 in Senate:
Bw. Naibu wa Spika, mkumbushe Sen. Gataya Mo Fire, hatuko Runyenjes hapa.
view
25 May 2023 in Senate:
Magereza yetu yote yalijengwa kabla ya uhuru. Kwa muda wa takriban miaka 60, Kenya haijajenga gereza hata moja. Kwa hivyo, nafasi ni ndogo katika magereza yetu na wafungwa wengi wanapata shida. Kwa hivyo, jinsi ya kutatua msongomano katika jela zetu ni swala ambao lazima liangaliwe kwa undani zaidi. Wanaohukumiwa aghalabu wapate afueni kutokana na hali mbaya ya magereza yetu.
view
24 May 2023 in Senate:
Asante, Bw. Naibu Spika, kwa kunipa fursa kuunga mkono Ardhihali ambayo imeletwa Bungeni na Julius Wairiuku Wanjohi kuhusiana na kutotekelezwa kwa maazimio ya kuwaajiri wafanyikazi katika Kaunti ya Nyeri. Bw. Naibu Spika, ni masikitiko kwamba ni miaka 10 sasa na hao wafanyikazi hawajaandikwa kazi na Kaunti ya Nyeri. Kama tunavyojua, stimulus package ilikwisha, Serikali za kaunti zikaanza kazi na hawa wakasahaulika kabisa kutokana na utepetevu wa Serikali ya Kaunti ya Nyeri. Ningependa kuongezea kuwa hawa wakufunzi wanafanya kazi muhimu. Wale wote ambao hawafaulu kwenda kwa taasisi ama chuo kikuu, hujifunza kazi za mikono katika taasisi hizi ambazo wakufunzi hawa wanafanya ...
view
24 May 2023 in Senate:
Mr. Deputy Speaker, Sir, I beg to give Notice of the following Motion - THAT, AWARE THAT rapid urbanization, as experienced in most Kenyan towns contributes to a significant portion of greenhouse gas emissions leading to environmental degradation; FURTHER AWARE THAT factors associated with urbanization, including changes to a more sedentary lifestyle, diet and environment have resulted in an increase in the prevalence of non-communicable diseases such as cardiovascular disease, diabetes, and cancer; APPRECIATING THAT prioritizing sustainability and environmental responsibility creates liveable, healthy and resilient communities for present and future generations; NOW THEREFORE, the Senate urges the:
view
24 May 2023 in Senate:
The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate.
view
24 May 2023 in Senate:
(i) Ministry of Roads and Transport to review the standards for construction of public roads to require the incorporation of dedicated lanes and tracks for exclusive use by non-motorised forms of transport to encourage their use for reduced air and noise pollution and improved overall public health; (ii) Ministry of Environment and Forestry and the Ministry of Roads and Transport, in collaboration with the Council of Governors (CoG) to develop a policy framework to mitigate the impact of climate change by guiding the - (a) dedication of sections of the respective Central Business Districts (CBDs) on specified days as car-free ...
view
23 May 2023 in Senate:
Asante Mhe. Spika. Nimesimama kuunga mkono maombi ya taarifa ya Sen. Chimera kuhusiana na Taarifa ya kwanza. Hili swala la wakaazi wa Ukunda ambao ardhi yao ilichukuliwa kwa sababu ya upanuzi wa uwanja wa ndege wa Ukunda ni swala ambalo limekuwa donda sugu. Ninakumbuka, tulizuru mahali pale mnamo mwaka 2018 tukiwa na Kamati ya Fedha, ikiongonzwa na Sen. M. Kajwang’. Wahusika pia walikuja katika Bunge hili la Senate kueleza masaibu yanayowapata kwa ucheleweshaji wa kulipwa kwa ile ardhi ambayo ilichuliwa. Kwa hivyo, ni jambo ambalo limekuwa donda sugu. Niliona juzi Kiongozi wa Serikali alisema ya kwamba National Land Commission (NLC ...
view