Mohamed Faki Mwinyihaji

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 681 to 690 of 2110.

  • 23 May 2023 in Senate: The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate. view
  • 23 May 2023 in Senate: Swala hilo ni kwamba tunapita mipaka ya sheria kwa sababu sheria inasema ya kwamba, maswala ya kutathmini, yaani valuation, ni swala ambalo litafanywa na NLC. Ikiwa Rais wa nchi atasema ya kwamba ameikataza NLC wakati sheria inairuhusu NLC ifanye kazi hiyo, ina maana ya kwamba anaingilia kazi za tume huru katika nchi yetu ya Kenya. Tunaomba NLC iharakishe ulipaji wa watu hawa na sehemu yoyote nyinyine ambayo ardhi imechukuliwa na watu hawajalipwa, walipwe kwa haraka. Hata hivyo, tunapinga vikali kauli ya Rais kusema ya kwamba NLC hawataweza tena kutathmini ardhi ambazo zinachukuliwa kwa miradi ya Serikali. Asante, Bw. Spika. view
  • 23 May 2023 in Senate: On a point of order, Mr. Speaker, Sir. view
  • 23 May 2023 in Senate: Mr. Speaker, Sir, the honourable Senator for Nandi is misleading the House in saying that the counties are going to get Kshs425 billion in conditional grants. What the Division of Revenue Act (DORA) says is that the counties are going to share Kshs385.425 billion. There was nothing like Kshs425 billion in the DORA that was passed by this House and assented to by the President, I think three weeks ago. Thank you, Mr. Speaker, Sir. view
  • 4 May 2023 in Senate: On a point of information. view
  • 4 May 2023 in Senate: Mr. Speaker, Sir, I would like to inform the Senator for Nandi that Mombasa has a storey market. Kongowea Market has a storey facility. So, there is no problem in Mombasa. view
  • 3 May 2023 in Senate: Asante, Bw. Naibu Spika kwa kunipa fursa hii ili nitoe mchango wangu kuhusu ripoti ya Kamati ya Ugatuzi na Mahusiano kati ya Serikali za Kaunti na Serikali Kuu. Ninampongeza Sen. Mo Fire maarufu Mwenda Gataya, kwa kuwasilisha suala hili mbele ya Kamati ya Bunge la Seneti. Ni masikitiko kuwa Kaunti ya Tharaka Nithi imekaa zaidi ya miaka 10 bila pahali mwafaka ambapo Bunge la Kaunti linaweza kuketi na kujadili masala yake. Ni masikitiko makubwa. Haya yamechangiwa pakubwa na utepetevu katika tume ya kupambana na ufisadi nchini. Badala ya kuchunguza ufisadi ili wahusika wapelekwe mahakamani, wao wenyewe wanajihusisha katika visa vya ... view
  • 3 May 2023 in Senate: The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate. view
  • 3 May 2023 in Senate: Sen. Cherarkey, katika mazungumzo yake, amesema kwamba Serikali imetoa Kshs385 billioni katika mwaka wa 2023/2024 kwa mgao wa fedha. Tukiangalia makadilio ambayo Serikali ilipeleka Bungeni ya mwaka wa 2023/2024, wanatarajia kukusanya zaidi ya Kshs2.571 trillioni ambazo ni ongezeko la asilimia 17. Haiwezekani kwamba Serikali itapata ongezeko la asilimia 17 katika mapato yake, halafu itoe chini ya asilimia tano ya zile pesa ambazo itakusanya katika mwaka wa 2023/2024 wa kifedha. Sen. Cherarkey anatupotosha mawazo kwa kusema kwamba tayari Serikali imetoa pesa nyingi tukilinganisha na pesa ambazo zitakusanywa na Serikali katika muhula huu. Pesa hizi zote zinakusanywa katika kaunti zetu. Hakuna mahali ... view
  • 3 May 2023 in Senate: Asante Bw. Spika wa Muda, kwa kunipa fursa hii kuchangia hoja ambayo imeletwa Bungeni na Sen. Chute, Seneta wa Marsabit. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus