Mohamed Faki Mwinyihaji

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 711 to 720 of 2110.

  • 25 Apr 2023 in Senate: Asante, Bw. Naibu Spika. view
  • 25 Apr 2023 in Senate: Asante, Bw. Naibu Spika, kwa kunipa fursa hii kuchangia taarifa ambayo imeletwa Bungeni na Sen. Mteule, Sen. Miraj. Kabla ya janga la COVID-19, mwaka wa 2020, ndege nyingi zilikuwa zinakuja Mombasa, kwa mfano, Turkish Airlines, Qatar Airways na nyingi nyinginezo zilizokuwa zikileta abiria na kufanya biashara katika Mji wa Mombasa. Bali na Jomo Kenyatta hapa Nairobi, MIA ni mojawapo ya vile viwanja vikubwa viwili ambavyo vina uwezo wa kuchukua ndege zote zinazoweza kuruka ulimwenguni. Ni masikitiko kwamba kutokana na ukosefu wa ndege hizo, biashara katika kaunti ya Mombasa na kaunti jirani imedorora kwa sababu ya ukosefu wa wageni wanaokuja kutalii ... view
  • 25 Apr 2023 in Senate: The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate. view
  • 25 Apr 2023 in Senate: kwamba uwanja ule haukai bure na Kenya Airways pekee yake au ndege mbili au tatu ambazo ni za kukodi zinakuja moja moja kutoka Ulaya. Iwapo ndege hizi zitaruhusiwa, Turkish, Qatar na Emirates zilizokuwa zinakuja, zikiruhusiwa zitasaidia pakubwa kuinua biashara katika ukanda mzima wa Pwani. Ukanda wa pwani unafika hadi sehemu za Kitui na kwengine ambako hamna viwanja kama hivi. Tungependa swala hili liingiliwe kwa undani zaidi kwa sababu hakuna lengo la Kenya Airways kupata hasara kila mwaka kwa sababu hamna ndege nyingine zinatua pale ilhali uwanja ni mkubwa na unaeza kuhimili ndege aina yeyote katika ulimwengu huu. Asante. view
  • 18 Apr 2023 in Senate: Asante, Bw. Spika, kwa kunipa fursa hii. Nilileta Kauli hapa kuhusu kusitishwa kwa huduma za umeme katika Coast General Teaching and Referral Hospital katika Kaunti ya Mombasa. Hadi leo, sijapata ripoti yoyote wala Mwenyekiti wa Kamati ya Afya hakuitaji Kauli hiyo katika ripoti yake ya miezi sita tangu Kamati ilipoanza kazi mwezi wa Oktoba mwaka jana. view
  • 18 Apr 2023 in Senate: Asante, Bwana Spika, kwa kunielekeza. Nilileta Kauli hapa katika Seneti kuhusu kukatwa kwa nguvu za umeme katika Hospitali kuu ya Pwani yani Coast General and Referral Hospital . Niliomba Taarifa ile ninafikiri mwanzo wa mwezi wa tatu na hadi leo sijapata ripoti yoyote kuhusu mikakati ambayo Kamati imefanya ili kuchunguza na kuupata ukweli kuhusu kusisitshwa huduma katika hospitali kuu. Ni muhimu kwa sababu nguvu za umeme zinahitajika katika hospitali hususan katika vile vitengo vya wagonjwa mahututi, watoto waliozaliwa kabla ya umri wao na sehemu zingine zinazohitaji nguvu za umeme. Ningependa Mwenyekiti wa Kamati, atoe shauku kuwa hakuweka Kauli ile chini ... view
  • 13 Apr 2023 in Senate: On a point of order, Mr. Speaker, Sir. view
  • 13 Apr 2023 in Senate: Mr. Speaker, Sir, the Vice Chairperson of the Committee on Finance and Budget, Sen. Tabitha Keroche, tabled the Committee’s Report yesterday. Procedurally, we should be debating the Bill together with the Committee’s report, so view
  • 13 Apr 2023 in Senate: The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate. view
  • 13 Apr 2023 in Senate: that by the conclusion of debate, we will be in a position to vote on the amendments that will be proposed. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus