Mohamed Faki Mwinyihaji

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 721 to 730 of 2110.

  • 13 Apr 2023 in Senate: Bw. Spika wa Muda, asante kwa kunipa fursa hii, kuchangia Muswada wa ugawaji wa fedha baina ya Serikali kuu na Serikali za ugatuzi. Bw. Spika wa Muda, kwanza kabisa, napinga Mswada huu kama ulivyoletwa katika Bunge hii. Mswada huu unasema kwamba, pesa ambazo zitatoka katika Serikali kuu na kuja kwa serikali za kaunti ni shilingi 385.425 bilioni. Ukiangilia hii shilingi 370 bilioni ni zile zilizotolewa mwaka wa 2022/2023. Kwa hivyo, hakuna chochote ambacho kimeongezeka, isipokuwa shilingi 15 bilioni, ambazo wamesema ni mapato waliyoyafanyia marekebisho. Bw. Spika wa Muda, ukiangalia swala la mlipuko wa bei za bidhaa, kwa mfano, mafuta; mwaka ... view
  • 12 Apr 2023 in Senate: On a point of order, Mr. Speaker, Sir. view
  • 12 Apr 2023 in Senate: I want to comment on the Statement. view
  • 12 Apr 2023 in Senate: Thank you, Mr. Speaker, Sir. view
  • 12 Apr 2023 in Senate: Asante, Mhe. Spika, kwa kunipa fursa hii kutoa maoni yangu juu ya ripoti zilizowasilishwa na kamati mbili muhimu; Kamati ya Ardhi na Kamati ya Leba . Kuhusiana na Kamati ya Leba, ni ukweli, maendeleo ambayo yamefanyika ni mazuri kwa Kamati na Bunge letu la Seneti. Lakini ni masikitiko kwamba imechukua muda kidogo kuweza kukamilisha ile ripoti inayohusiana na shida wanazopitia wafanyikazi wetu ambao wako katika nchi za Uarabuni, hususan Saudi Arabia na nchi zingine za Ghuba. Safari ilifanywa mwezi wa Januari tarehe 7 na kufikia sasa ni karibu miezi mitatu imepita na hatujaweza kukamilisha ripoti hiyo. Kuna mambo mengi ambayo ... view
  • 12 Apr 2023 in Senate: Asante, Bw. Naibu Spika, kwa kunipa fursa hii kuchangia Mswada ambao umeletwa Bungeni na Sen. Mungatana, MGH, Seneta wa Kaunti ya Tana River, kule ambako mamba wanashindana na wananchi kwa huduma za maji. Mswada huu ni muhimu sana ikizingatiwa kwamba Katiba yetu ya mwaka 2010 iliweka bayana haki za jamii - social rights na haki za kiuchumi - economic rights . Kifungu cha 43 cha Katika ya Kenya kinatoa wazi haki hizo, zikiwemo haki ya afya bora pamoja na haki za kimsingi za kuzaa, haki ya kuwa na nyumba ama makaazi ya kuishi, haki ya kuwa na hali ya juu ... view
  • 12 Apr 2023 in Senate: The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate. view
  • 12 Apr 2023 in Senate: Bw. Naibu Spika, tukiangalia wakulima, hivi majuzi Serikali ilileta mfumo wa kuleta mbolea. Ijapokuwa ni jambo nzuri, ni jambo la kushangaza kwamba Serikali yetu imetoka hapa mpaka nchi ya Zambia kuenda kuwasaidia wakulima nchini humo kuzalisha mahindi mengi ili walete Kenya wakati hatujaweza kuwahudumia wakulima wetu kikamilifu. Badala ya kuwa na vipimo vya kupima Zambia, tutaleta mahindi ama tutaleta mazao kiasi gani, tuwe na vipimo vyetu hapa Kenya ili kuona kwamba wakulima wetu wote wanazalisha chakula cha kutosha ili kulisha nchi yetu ya Kenya. Katika maswala ya maji, kunajengwa mabwawa kila mara lakini tatizo sugu la maji bado halijatatuliwa. Kwa ... view
  • 12 Apr 2023 in Senate: Ndio, Bw. Naibu Spika. view
  • 12 Apr 2023 in Senate: Kwa Kiingereza, tunaweza kusema ni puppets wa Serikali zilizoko. Na hii haikuanza sasa---. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus