17 Nov 2022 in Senate:
Bw. Spika, niko na hoja ya nidhamu. Hoja yangu nikwamba Seneta wa Kaunti ya Nandi, anazungumzia ripoti ya Ruaraka iliyoletwa katika Bunge la Kumi na Mbili. Yeye ni mmoja kati ya wale Maseneta waliopiga kura kuangusha Ripoti hiyo. Je, ni haki kuzungumzia Ripoti ambayo yeye mwenyewe alikuwa ni mmoja wa wale ambao walipiga kura kuangusha?
view
17 Nov 2022 in Senate:
Mgogoro huu wa shamba la Ruaraka ulichunguzwa na Kamati iliyoongozwa na Seneta wa Homa Bay, Sen. M. Kajwang’. Baadhi ya mapendekezo kwenye Ripoti ya Kamati ilikuwa wale wote walihusika katika malipo ya ile ardhi ya Ruaraka wachunguzwe na wafunguliwe mashtaka kutokana na ulipaji wa pesa taslimu billioni moja na laki tano za Kenya kwa ardhi ya serikali.
view
17 Nov 2022 in Senate:
The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate.
view
17 Nov 2022 in Senate:
Walikuwa ni aliyekuwa wakati huo Waziri wa Wizara ya Masuala ya Ndani na Uratibu wa Serikali, Mhe. Matiang’i, Bw. Swazuri na mfanyibiashara mmoja ambaye alikuwa akiitwa Mburu
view
17 Nov 2022 in Senate:
Wakati huo, Sen. Cherarkey alikuwa upande wa serikali. Walisema kuwa hawatakubali Ripoti ambayo inahusisha Waziri kupita katika Bunge hili, kisha wakaiangusha. Akubali kuwa alipiga kura ama asikubali. Ikiwa hatakubali rekodi ya Bunge inaweza kuitishwa ili tuone jinsi alivyopiga kura.
view
17 Nov 2022 in Senate:
Point of Order, Mr. Deputy Speaker, Sir!
view
17 Nov 2022 in Senate:
Bw. Naibu wa Spika, nimesikia ndugu yangu Sen. (Dr.) Khalwale, akisema kwamba kaunti ambazo zimetengwa hazijakubalika. Swala la awamu ya pili ya kaunti ambazo zimetajwa kutengwa, lililetwa katika hili Bunge Muhula uliokwisha. Kaunti hizo ziliongezeka ninafikiri 14 hadi 32 au 34. Hizo ndizo sasa zinatambulika kama marginalized counties. Kwa hivyo, Sen. (Dr.) Khalwale anapoteza Bunge hili anaposema kuwa kaunti zilizotengwa hazijakubalika. Inafaa arekebishe swala hili.
view
17 Nov 2022 in Senate:
Thank you Mr. Deputy Speaker, Sir, for giving me this opportunity to support the County Governments Additional Allocations No.2 Bill of 2022.
view
17 Nov 2022 in Senate:
The release of more resources to counties cannot be gainsaid. These resources are long overdue. We are now into the second quarter of the FY 2022/2023. Already, there is some delay in terms of release of these resources. The delay has been partly because when we passed this Bill in the Senate and it was taken to the National Assembly, they delayed to pass it before adjourning sine die . Therefore, the Bill lapsed upon the adjournment of the Parliament sometime in June this year.
view
17 Nov 2022 in Senate:
These funds are meant to cover several programmes run by county governments. The resources address various programmes of intervention in the development of our counties and the country in general. Programmes such as climate change resilience are very important in our counties. Mr. Deputy Speaker, Sir, as we all know, there was this climate conference in Egypt last week, where issues of conservation of our climate and the environment in general were discussed. Some of the resources which are being covered by this Bill, will go into mitigating some of the climate change experiences that our country is undergoing.
view