10 Nov 2022 in Senate:
Bw. Spika, unilinde kwa sababu haya mambo ninayozungumzia hapa ni mambo ambayo ni nyeti na yanaathiri sana watu wa Kaunti ya Mombasa. Ni wazi kwamba tunao utafiti ambao umefanyika na hata ikitakikana, ninaweza kuwasilisha stakabadhi hapa jumanne ya kuonyesha athari za Miraa na Muguka. Hatusemi kwamba ni biashara kwa hivyo watu wafanye. Kama ni biashara anzeni kununua nyinyi wenyewe kwanza Kaunti za Meru, Embu na Tharaka Nithi. Uzianeni kwanza kule mpaka iwaenee ndipo mtuletee sisi Kaunti ya Mombasa. Haiwezekani kwamba mmea kama huu ambao unaathiri vijana wetu uruhusiwe kuuzwa kiholela kama unavyouzwa sasa. Ninaunga mkono Kaunti yetu ya Mombasa iongeze ...
view
10 Nov 2022 in Senate:
The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate.
view
10 Nov 2022 in Senate:
Tungependa maswala haya yazungumziwe kisawasawa. Si lawama kwamba tunalipisha kodi nyingi kwa mimea hii. Tunataka ile kodi iongezwe ili mimea hii isiweze kufika kaunti ya Mombasa na kuathiri vijana wetu wa kike na kiume.
view
9 Nov 2022 in Senate:
On a point of order, Mr. Deputy Speaker, Sir.
view
9 Nov 2022 in Senate:
Asante Bw. Naibu wa Spika. Sen. Kavindu Muthama ameongea vizuri sana kwa Kiswahili sanifu lakini amekosea pale aliposema cattle hustling . Ninaona
view
9 Nov 2022 in Senate:
wenyewe wamenyamaza kule.
view
9 Nov 2022 in Senate:
The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate.
view
9 Nov 2022 in Senate:
Wezi wa mifugo ni cattle rustlers na sio hustlers. Hustlers ni ndugu zetu wenye wako kule. Asante .
view