11 Oct 2022 in Senate:
Wazee wako Kericho wewe.
view
11 Oct 2022 in Senate:
Asante, Bw. Naibu Spika, kwa kunipa fursa ya kuunga mkono Hoja ya Sen. Cherarkey. Bunge hili lilianza kazi hivi karibuni na tumeona kwamba tumekua na vikao ambavyo vimeweza kwenda kwa muda mrefu. Wiki iliyopita tulipokua na kikao cha kwanza, tulikaa hapa mpaka saa moja na nusu. Mhe. Spika Kingi alikaa kwenye kiti kuanzia saa nane na nusu mpaka saa moja unusu usiku tulipohairisha kikao. Hiyo ilikua ni kazi ya ziada kwa Spika kwa sababu alikua peke yake. Leo tumeona ya kwamba umekaa kwenye kiti kuanzia Saa Nane na Nusu mpaka sasa, Saa Kumi na Mbili Unusu. Hii inamaanisha kwamba nyinyi ...
view
6 Oct 2022 in Senate:
On a point of information, Mr. Deputy Speaker, Sir.
view
6 Oct 2022 in Senate:
Mr. Deputy Speaker, Sir, I thought the Nairobi Expressway was a Public Private Partnership (PPP) project and not a Government project.
view
5 Oct 2022 in Senate:
On a point of order, Mr. Deputy Speaker, Sir.
view
5 Oct 2022 in Senate:
Mr. Deputy Speaker, Sir, I will.
view
5 Oct 2022 in Senate:
Mr. Deputy Speaker, Sir, I am not contributing. I am surprised that my learned friend, Sen. Maanzo, a lawyer of repute, can allege in this House that there are bad and good lawyers.
view
4 Oct 2022 in Senate:
Asante, Bw. Spika kwa kunipa fursa ya kuchangia katika swala hili la hoja ya nidhamu. Katika nchi yetu ya Kenya, tumebahatika kuwa na sheria tofauti ambazo zinahusiana na ndoa. Tunaweza kulinganisha maswala yanayomkumba Sen. Ali Roba na wenzake hivi sasa, na ndoa katika jamii. Ndoa ya Kiislamu inampa fursa mwanamume kuoa wake zaidi ya mmoja. Unaweza kuoa hata mpaka wa nne. Lakini ndoa ambayo hufungwa kwa Msajili wa Ndoa, huwa ni mke mmoja na mume mmoja. Mkataba uliofanyika chini ya sheria ya Political Parties, ambao tuliufanyia marekebisho Januari mwaka huu, hapa katika Bunge hili la Seneti, hairuhusu chama kuwa katika ...
view
4 Oct 2022 in Senate:
The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate.
view