29 Nov 2023 in National Assembly:
Kama kule kwetu Lamu Mashariki, wazee wetu walifanya kazi ngumu sana. Maanake kazi za kule ni kwenda baharini. Uende baharini ukavute juya. Kuvuta juya ni unavuta kamba mpaka mikono inashika ngudi. Wazee wale wanahitaji matibabu mengi tofauti tofauti. Lakini wazee wetu kusema kweli walifanya kazi nzito na wanafaa kupata matibabu. Hasa wale watu wangu wa Lamu Mashariki hawapati matibabu kwa sababu hospitali ya rufaa ambayo iko karibu kwetu ni Hospitali ya Kenyatta. Utoke mzee wa Kiunga, Ishakani, Mkokoni, Ndahau, Kiwayu na Chandani, hiyo nimesema ni wadi moja. Watoke kule mwisho waje hospitali ya rufaa inaitwa Level 6 na ni hapa ...
view
29 Nov 2023 in National Assembly:
Kuna desturi za watu wengine au utamaduni ambapo wazee wanaonekana kama washamaliza kazi yao na hawafai tena. Hizo ni laana na Serikali inafaa iangalie jambo hilo kwa karibu. Kuna wale watoto ambao hawaangalii wazazi wao. Hayo mambo ya kusema mzee ni mchawi inastahili hatua na adhabu kali. Mambo hayo yanatokea sehemu zingine. Mtu amekuzaa, amekulea, amekufanyia mambo yote, kisha waja kusema ni mchawi kwa sababu The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor.
view
29 Nov 2023 in National Assembly:
Kuna desturi za watu wengine au utamaduni ambapo wazee wanaonekana kama washamaliza kazi yao na hawafai tena. Hizo ni laana na Serikali inafaa iangalie jambo hilo kwa karibu. Kuna wale watoto ambao hawaangalii wazazi wao. Hayo mambo ya kusema mzee ni mchawi inastahili hatua na adhabu kali. Mambo hayo yanatokea sehemu zingine. Mtu amekuzaa, amekulea, amekufanyia mambo yote, kisha waja kusema ni mchawi kwa sababu The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor.
view
29 Nov 2023 in National Assembly:
pengine wataka ardhi yake, ama pengine watoto wake wamekushinda. Tunataka Serikali iweke mikakati ya kusaidia hao wazee. Mtu akiyafanya mambo kama hayo, liwe funzo kwa wengine wasiweze kuyafanya tena. Inasikitisha. Pale kwetu, sisi tunafundishwa kuheshimu wazee wa wengine na majirani zaidi hata kushinda wako. Kisha upate mtu anamuita mzee mchawi. Yeye ndiye mchawi. Itabidi baraza hili liangalie mbinu, bali na mambo ya matibabu. Itabidi baraza hili litumike kama
view
29 Nov 2023 in National Assembly:
pengine wataka ardhi yake, ama pengine watoto wake wamekushinda. Tunataka Serikali iweke mikakati ya kusaidia hao wazee. Mtu akiyafanya mambo kama hayo, liwe funzo kwa wengine wasiweze kuyafanya tena. Inasikitisha. Pale kwetu, sisi tunafundishwa kuheshimu wazee wa wengine na majirani zaidi hata kushinda wako. Kisha upate mtu anamuita mzee mchawi. Yeye ndiye mchawi. Itabidi baraza hili liangalie mbinu, bali na mambo ya matibabu. Itabidi baraza hili litumike kama
view
29 Nov 2023 in National Assembly:
) kwa wanawake. Washtaki na wafuatilie kesi moja ili iwe funzo kwa wengine na wazee wetu wapate heshima na kuishi vyema.
view
29 Nov 2023 in National Assembly:
) kwa wanawake. Washtaki na wafuatilie kesi moja ili iwe funzo kwa wengine na wazee wetu wapate heshima na kuishi vyema.
view
29 Nov 2023 in National Assembly:
Bwana Spika wa Muda, wakati mmoja nilienda Singapore, na wazee huko hutunzwa vizuri. Madereva wa taxi wote walikuwa ni wazee. Si vyema kumwambia mzee wa miaka 60 ambaye amestaafu kukaa katika nyumba za wazee na kungoja kutunzwa. Kwa nini tusiwape moyo wazee hawa kwa kuwawezesha kufanya mambo mengine mengi baada ya kustaafu? Wazee wakipangiwa mambo ya kufanya katika maisha ya uzeeni, basi watakuwa na maisha bora. Nilitangulia kusema kuwa wazee ni baraka. Binadamu hustaafu, lakini tumbo halistaafu. Tuweze kuweka mikakati ya kuwawezesha wazee kufanya kazi ndogo ndogo. Sisi huambiwa kuwa baada ya miaka 60, watu hukaa na kungoja kifo. Kifo ...
view
29 Nov 2023 in National Assembly:
Bwana Spika wa Muda, wakati mmoja nilienda Singapore, na wazee huko hutunzwa vizuri. Madereva wa taxi wote walikuwa ni wazee. Si vyema kumwambia mzee wa miaka 60 ambaye amestaafu kukaa katika nyumba za wazee na kungoja kutunzwa. Kwa nini tusiwape moyo wazee hawa kwa kuwawezesha kufanya mambo mengine mengi baada ya kustaafu? Wazee wakipangiwa mambo ya kufanya katika maisha ya uzeeni, basi watakuwa na maisha bora. Nilitangulia kusema kuwa wazee ni baraka. Binadamu hustaafu, lakini tumbo halistaafu. Tuweze kuweka mikakati ya kuwawezesha wazee kufanya kazi ndogo ndogo. Sisi huambiwa kuwa baada ya miaka 60, watu hukaa na kungoja kifo. Kifo ...
view
29 Nov 2023 in National Assembly:
Ahsante Bwana Spika wa Muda.
view