Shariff Athman Ali

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 171 to 180 of 512.

  • 30 Nov 2023 in National Assembly: Ninachukua fursa hii niwasihi watoto wangu wazuri. Ninajua maeneo tunayotoka. Mnaskia vile Wabunge wanavyozungumzia mambo ya maeneo magumu. Nyinyi mnajua maeneo magumu ina maanisha nini. Ni nyinyi wenyewe mubadilishe kule. Sisi tunang’ang’ana. Elimu ndiyo itatufanya sisi tuyabadilishe yasiwe maeneo magumu. view
  • 30 Nov 2023 in National Assembly: Ninachukua fursa hii niwasihi watoto wangu wazuri. Ninajua maeneo tunayotoka. Mnaskia vile Wabunge wanavyozungumzia mambo ya maeneo magumu. Nyinyi mnajua maeneo magumu ina maanisha nini. Ni nyinyi wenyewe mubadilishe kule. Sisi tunang’ang’ana. Elimu ndiyo itatufanya sisi tuyabadilishe yasiwe maeneo magumu. view
  • 29 Nov 2023 in National Assembly: Ahsante Bw. Spika wa Muda kwa kunipatia nafasi hii ili nichangie hili Baraza la Kitaifa la Wazee. Wazee ni baraka. Tunaelewa vizuri kwamba wazee wamefanya kazi na kustaafu. Lakini wao wamestaafu kwa sababu ya miaka tu, lakini tumbo halijastaafu. Tumbo lataka kuangaliwa vile vile kila siku. Kuna haja kubwa ya wazee kuangaliwa na kupangiwa mipango mizuri ili wawe baraka kwetu; isiwe ni usumbufu kwetu. view
  • 29 Nov 2023 in National Assembly: Ahsante Bw. Spika wa Muda kwa kunipatia nafasi hii ili nichangie hili Baraza la Kitaifa la Wazee. Wazee ni baraka. Tunaelewa vizuri kwamba wazee wamefanya kazi na kustaafu. Lakini wao wamestaafu kwa sababu ya miaka tu, lakini tumbo halijastaafu. Tumbo lataka kuangaliwa vile vile kila siku. Kuna haja kubwa ya wazee kuangaliwa na kupangiwa mipango mizuri ili wawe baraka kwetu; isiwe ni usumbufu kwetu. view
  • 29 Nov 2023 in National Assembly: Wazee ni watu ambao wamefanya kazi na wamepoteza nguvu zao. Wanafaa kuangaliwa vizuri. Yaweza kuwa watoto wana muda wa kuangalia wazee, na yaweza kuwa watoto wakorofi au wale ambao hawakupata mafunzo vizuri au wakashikana na mambo mengine wasiangalie wazazi wao. Itakuwa jukumu la Serikali kuangalia hao Wazee. Isiwe wamewekwa kwenye vipembe ama wamefungiwa kwenye manyumba. Wazee wakati huo ndio tunaona wengine wanatembea. Ukienda Masaai Mara, na nimefanya kazi Masaai Mara kwa miaka 13, wageni wengi ni wazee. Wakati huo ndipo wamekuja kutembea. Pengine wamekuja na wajukuu wao au wamekuja wenyewe vizere viwili kutembea. Huku kwetu mambo kama hayo huyapati. Unapata ... view
  • 29 Nov 2023 in National Assembly: Wazee ni watu ambao wamefanya kazi na wamepoteza nguvu zao. Wanafaa kuangaliwa vizuri. Yaweza kuwa watoto wana muda wa kuangalia wazee, na yaweza kuwa watoto wakorofi au wale ambao hawakupata mafunzo vizuri au wakashikana na mambo mengine wasiangalie wazazi wao. Itakuwa jukumu la Serikali kuangalia hao Wazee. Isiwe wamewekwa kwenye vipembe ama wamefungiwa kwenye manyumba. Wazee wakati huo ndio tunaona wengine wanatembea. Ukienda Masaai Mara, na nimefanya kazi Masaai Mara kwa miaka 13, wageni wengi ni wazee. Wakati huo ndipo wamekuja kutembea. Pengine wamekuja na wajukuu wao au wamekuja wenyewe vizere viwili kutembea. Huku kwetu mambo kama hayo huyapati. Unapata ... view
  • 29 Nov 2023 in National Assembly: Kama kule kwetu Lamu Mashariki, wazee wetu walifanya kazi ngumu sana. Maanake kazi za kule ni kwenda baharini. Uende baharini ukavute juya. Kuvuta juya ni unavuta kamba mpaka mikono inashika ngudi. Wazee wale wanahitaji matibabu mengi tofauti tofauti. Lakini wazee wetu kusema kweli walifanya kazi nzito na wanafaa kupata matibabu. Hasa wale watu wangu wa Lamu Mashariki hawapati matibabu kwa sababu hospitali ya rufaa ambayo iko karibu kwetu ni Hospitali ya Kenyatta. Utoke mzee wa Kiunga, Ishakani, Mkokoni, Ndahau, Kiwayu na Chandani, hiyo nimesema ni wadi moja. Watoke kule mwisho waje hospitali ya rufaa inaitwa Level 6 na ni hapa ... view
  • 29 Nov 2023 in National Assembly: Kama kule kwetu Lamu Mashariki, wazee wetu walifanya kazi ngumu sana. Maanake kazi za kule ni kwenda baharini. Uende baharini ukavute juya. Kuvuta juya ni unavuta kamba mpaka mikono inashika ngudi. Wazee wale wanahitaji matibabu mengi tofauti tofauti. Lakini wazee wetu kusema kweli walifanya kazi nzito na wanafaa kupata matibabu. Hasa wale watu wangu wa Lamu Mashariki hawapati matibabu kwa sababu hospitali ya rufaa ambayo iko karibu kwetu ni Hospitali ya Kenyatta. Utoke mzee wa Kiunga, Ishakani, Mkokoni, Ndahau, Kiwayu na Chandani, hiyo nimesema ni wadi moja. Watoke kule mwisho waje hospitali ya rufaa inaitwa Level 6 na ni hapa ... view
  • 29 Nov 2023 in National Assembly: Kuna desturi za watu wengine au utamaduni ambapo wazee wanaonekana kama washamaliza kazi yao na hawafai tena. Hizo ni laana na Serikali inafaa iangalie jambo hilo kwa karibu. Kuna wale watoto ambao hawaangalii wazazi wao. Hayo mambo ya kusema mzee ni mchawi inastahili hatua na adhabu kali. Mambo hayo yanatokea sehemu zingine. Mtu amekuzaa, amekulea, amekufanyia mambo yote, kisha waja kusema ni mchawi kwa sababu The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor. view
  • 29 Nov 2023 in National Assembly: Kuna desturi za watu wengine au utamaduni ambapo wazee wanaonekana kama washamaliza kazi yao na hawafai tena. Hizo ni laana na Serikali inafaa iangalie jambo hilo kwa karibu. Kuna wale watoto ambao hawaangalii wazazi wao. Hayo mambo ya kusema mzee ni mchawi inastahili hatua na adhabu kali. Mambo hayo yanatokea sehemu zingine. Mtu amekuzaa, amekulea, amekufanyia mambo yote, kisha waja kusema ni mchawi kwa sababu The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus