Shariff Athman Ali

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 161 to 170 of 512.

  • 7 Dec 2023 in National Assembly: vianze, na Lamu iwe na mgawanyiko kati ya Waislamu na Wakristo. Mungu alitusaidia. Yule aliyechoma kanisa akashikwa. Kanisa mbili zilichomwa wakati mmoja. view
  • 7 Dec 2023 in National Assembly: Ninataka niwaelezee wenzangu jinsi mambo ya Lamu yanavyoendelea. Waziri Kindiki ni mchapa kazi na anajua kazi yake. Achunguze maneno yangu na kuangalia mambo ya Lamu. Kuna shida zaidi kule Lamu. Tulipokuwa wachanga, kulikuwa na Shifta War . Tulikuwa tunajua kuwa ni lazima tunyamaze tunapopita mahali fulani. Hatungeweza kuzungumza tukiwa kwenye basi. Sehemu hizo ndiko watu wanakoishi wakati huu, na Al Shabaab wanapatikana huko. view
  • 7 Dec 2023 in National Assembly: Ninataka niwaelezee wenzangu jinsi mambo ya Lamu yanavyoendelea. Waziri Kindiki ni mchapa kazi na anajua kazi yake. Achunguze maneno yangu na kuangalia mambo ya Lamu. Kuna shida zaidi kule Lamu. Tulipokuwa wachanga, kulikuwa na Shifta War . Tulikuwa tunajua kuwa ni lazima tunyamaze tunapopita mahali fulani. Hatungeweza kuzungumza tukiwa kwenye basi. Sehemu hizo ndiko watu wanakoishi wakati huu, na Al Shabaab wanapatikana huko. view
  • 7 Dec 2023 in National Assembly: Ninajua kuwa Serikali ina uwezo wa kuchunguza na kufuatilia mambo haya. Wakati wa Shifta War, Wabajuni walioishi barani walifukuzwa wakiambiwa kuna vita. Ugaidi umebadilisha jina kule Lamu lakini mambo haya yapo na yamekuwa yakituathiri. Ni lazima tuhakikishe kwamba wanaotunga sheria hawazitumii kuwagandamiza watu wengine. Hatutaki Mkenya yeyote aumie. Tunataka aishi popote bora watu waheshimiane na wasitumie ugaidi. Wakati watu wanauana wenyewe kwa wenyewe, wasiseme ni ugaidi. view
  • 7 Dec 2023 in National Assembly: Ninajua kuwa Serikali ina uwezo wa kuchunguza na kufuatilia mambo haya. Wakati wa Shifta War, Wabajuni walioishi barani walifukuzwa wakiambiwa kuna vita. Ugaidi umebadilisha jina kule Lamu lakini mambo haya yapo na yamekuwa yakituathiri. Ni lazima tuhakikishe kwamba wanaotunga sheria hawazitumii kuwagandamiza watu wengine. Hatutaki Mkenya yeyote aumie. Tunataka aishi popote bora watu waheshimiane na wasitumie ugaidi. Wakati watu wanauana wenyewe kwa wenyewe, wasiseme ni ugaidi. view
  • 7 Dec 2023 in National Assembly: Mwanzo, jambo hilo linawapatia popularity na wao hutaka kujulikana kwa media . Wahalifu wote kutoka Kiambu na kaunti nyingine wanaenda kujificha huko. Kuna mmoja alishikwa kule Salama, Lamu baada ya kujificha kwa miaka minane. Alikuwa most wantedcriminal huku na akakimbilia kule Lamu. The Directorate of Criminal Investigations (DCI) imeshika mtu kule, lakini isiwe ni magaidi tu. Kuna wahalifu wanaokimbia viziwani na kwenda Kisauni kwa sababu kuna Wabajuni wengine ambao wamejificha kule. Kuna wahalifu wanaojificha kule Salama, Wida na kwingineko. Ninaomba Serikali iingilie kati na kushughulikia jambo hili kwa kina na kutumia nguvu zote kulitatua. Limetuathiri zaidi na ninataka likome. view
  • 7 Dec 2023 in National Assembly: Mwanzo, jambo hilo linawapatia popularity na wao hutaka kujulikana kwa media . Wahalifu wote kutoka Kiambu na kaunti nyingine wanaenda kujificha huko. Kuna mmoja alishikwa kule Salama, Lamu baada ya kujificha kwa miaka minane. Alikuwa most wantedcriminal huku na akakimbilia kule Lamu. The Directorate of Criminal Investigations (DCI) imeshika mtu kule, lakini isiwe ni magaidi tu. Kuna wahalifu wanaokimbia viziwani na kwenda Kisauni kwa sababu kuna Wabajuni wengine ambao wamejificha kule. Kuna wahalifu wanaojificha kule Salama, Wida na kwingineko. Ninaomba Serikali iingilie kati na kushughulikia jambo hili kwa kina na kutumia nguvu zote kulitatua. Limetuathiri zaidi na ninataka likome. view
  • 6 Dec 2023 in National Assembly: Hon. Speaker, I, the undersigned, on behalf of the residents of Lamu East Constituency, draw the attention of the House to the following: THAT, Boni-Lungi is an area of land between Dodori and Boni National Reserves in Lamu East Constituency measuring approximately 39,925.7 hectares, and is inhabited by over 480 households of the Aweer Community; THAT, Article 56 of the Constitution obliges the Government to put in place affirmative action programmes for minorities and marginalised groups. Further, the National Land Policy calls for protection of land rights from unjust and illegal dispossession of both vulnerable and minority communities; THAT, vide ... view
  • 30 Nov 2023 in National Assembly: Asante, Mhe. Spika, kwa kunipatia nafasi hii niwakaribishe wasichana wangu wa shule ya Upili ya Pate. Ninashukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujalia kufika hapa. Ninawashukuru familia nzima ya Pate Girls. Wao kuletwa hapa ni mfumo tuliouweka Lamu Mashariki – kwamba anayeongoza, iwe shule ya msingi au ya upili, watakuja kutembea Nairobi. Mwaka wa 2022, Pate Girls walikuwa number one Lamu East. Ndio maana wamekuja hapa leo. Nilikuwa nimeng’ang’ana nitimize ahadi yangu kabla hatujapata majibu ya 2023. Tuombe Mungu waje hapa tena; na kama si wao, waje wengine. view
  • 30 Nov 2023 in National Assembly: Asante, Mhe. Spika, kwa kunipatia nafasi hii niwakaribishe wasichana wangu wa shule ya Upili ya Pate. Ninashukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujalia kufika hapa. Ninawashukuru familia nzima ya Pate Girls. Wao kuletwa hapa ni mfumo tuliouweka Lamu Mashariki – kwamba anayeongoza, iwe shule ya msingi au ya upili, watakuja kutembea Nairobi. Mwaka wa 2022, Pate Girls walikuwa number one Lamu East. Ndio maana wamekuja hapa leo. Nilikuwa nimeng’ang’ana nitimize ahadi yangu kabla hatujapata majibu ya 2023. Tuombe Mungu waje hapa tena; na kama si wao, waje wengine. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus