7 Dec 2023 in National Assembly:
Sisi watu wa Lamu tunapendana, na wale wanaoishi Lamu watakwambia hivyo. Kanisa lilipochomwa, uchunguzi ulifanywa na kubainika kuwa aliyelichoma ni Murithi Robert. Tukio hilo lilirekodiwa kwenye Occurrence Book (OB) Number 371/170/23. Mtu huyo alishikwa, akafunguliwa mashtaka na kufungwa miaka minane gerezani. Mbona mtu achome kanisa? Ili Wakristo waone kuwa Waislamu wamechoma kanisa, waende kuchoma msikiti ndio vita The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor
view
7 Dec 2023 in National Assembly:
Sisi watu wa Lamu tunapendana, na wale wanaoishi Lamu watakwambia hivyo. Kanisa lilipochomwa, uchunguzi ulifanywa na kubainika kuwa aliyelichoma ni Murithi Robert. Tukio hilo lilirekodiwa kwenye Occurrence Book (OB) Number 371/170/23. Mtu huyo alishikwa, akafunguliwa mashtaka na kufungwa miaka minane gerezani. Mbona mtu achome kanisa? Ili Wakristo waone kuwa Waislamu wamechoma kanisa, waende kuchoma msikiti ndio vita The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor
view
7 Dec 2023 in National Assembly:
vianze, na Lamu iwe na mgawanyiko kati ya Waislamu na Wakristo. Mungu alitusaidia. Yule aliyechoma kanisa akashikwa. Kanisa mbili zilichomwa wakati mmoja.
view
7 Dec 2023 in National Assembly:
vianze, na Lamu iwe na mgawanyiko kati ya Waislamu na Wakristo. Mungu alitusaidia. Yule aliyechoma kanisa akashikwa. Kanisa mbili zilichomwa wakati mmoja.
view
7 Dec 2023 in National Assembly:
Ninataka niwaelezee wenzangu jinsi mambo ya Lamu yanavyoendelea. Waziri Kindiki ni mchapa kazi na anajua kazi yake. Achunguze maneno yangu na kuangalia mambo ya Lamu. Kuna shida zaidi kule Lamu. Tulipokuwa wachanga, kulikuwa na Shifta War . Tulikuwa tunajua kuwa ni lazima tunyamaze tunapopita mahali fulani. Hatungeweza kuzungumza tukiwa kwenye basi. Sehemu hizo ndiko watu wanakoishi wakati huu, na Al Shabaab wanapatikana huko.
view
7 Dec 2023 in National Assembly:
Ninataka niwaelezee wenzangu jinsi mambo ya Lamu yanavyoendelea. Waziri Kindiki ni mchapa kazi na anajua kazi yake. Achunguze maneno yangu na kuangalia mambo ya Lamu. Kuna shida zaidi kule Lamu. Tulipokuwa wachanga, kulikuwa na Shifta War . Tulikuwa tunajua kuwa ni lazima tunyamaze tunapopita mahali fulani. Hatungeweza kuzungumza tukiwa kwenye basi. Sehemu hizo ndiko watu wanakoishi wakati huu, na Al Shabaab wanapatikana huko.
view
7 Dec 2023 in National Assembly:
Ninajua kuwa Serikali ina uwezo wa kuchunguza na kufuatilia mambo haya. Wakati wa Shifta War, Wabajuni walioishi barani walifukuzwa wakiambiwa kuna vita. Ugaidi umebadilisha jina kule Lamu lakini mambo haya yapo na yamekuwa yakituathiri. Ni lazima tuhakikishe kwamba wanaotunga sheria hawazitumii kuwagandamiza watu wengine. Hatutaki Mkenya yeyote aumie. Tunataka aishi popote bora watu waheshimiane na wasitumie ugaidi. Wakati watu wanauana wenyewe kwa wenyewe, wasiseme ni ugaidi.
view
7 Dec 2023 in National Assembly:
Ninajua kuwa Serikali ina uwezo wa kuchunguza na kufuatilia mambo haya. Wakati wa Shifta War, Wabajuni walioishi barani walifukuzwa wakiambiwa kuna vita. Ugaidi umebadilisha jina kule Lamu lakini mambo haya yapo na yamekuwa yakituathiri. Ni lazima tuhakikishe kwamba wanaotunga sheria hawazitumii kuwagandamiza watu wengine. Hatutaki Mkenya yeyote aumie. Tunataka aishi popote bora watu waheshimiane na wasitumie ugaidi. Wakati watu wanauana wenyewe kwa wenyewe, wasiseme ni ugaidi.
view
7 Dec 2023 in National Assembly:
Mwanzo, jambo hilo linawapatia popularity na wao hutaka kujulikana kwa media . Wahalifu wote kutoka Kiambu na kaunti nyingine wanaenda kujificha huko. Kuna mmoja alishikwa kule Salama, Lamu baada ya kujificha kwa miaka minane. Alikuwa most wantedcriminal huku na akakimbilia kule Lamu. The Directorate of Criminal Investigations (DCI) imeshika mtu kule, lakini isiwe ni magaidi tu. Kuna wahalifu wanaokimbia viziwani na kwenda Kisauni kwa sababu kuna Wabajuni wengine ambao wamejificha kule. Kuna wahalifu wanaojificha kule Salama, Wida na kwingineko. Ninaomba Serikali iingilie kati na kushughulikia jambo hili kwa kina na kutumia nguvu zote kulitatua. Limetuathiri zaidi na ninataka likome.
view
7 Dec 2023 in National Assembly:
Mwanzo, jambo hilo linawapatia popularity na wao hutaka kujulikana kwa media . Wahalifu wote kutoka Kiambu na kaunti nyingine wanaenda kujificha huko. Kuna mmoja alishikwa kule Salama, Lamu baada ya kujificha kwa miaka minane. Alikuwa most wantedcriminal huku na akakimbilia kule Lamu. The Directorate of Criminal Investigations (DCI) imeshika mtu kule, lakini isiwe ni magaidi tu. Kuna wahalifu wanaokimbia viziwani na kwenda Kisauni kwa sababu kuna Wabajuni wengine ambao wamejificha kule. Kuna wahalifu wanaojificha kule Salama, Wida na kwingineko. Ninaomba Serikali iingilie kati na kushughulikia jambo hili kwa kina na kutumia nguvu zote kulitatua. Limetuathiri zaidi na ninataka likome.
view