Shariff Athman Ali

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 211 to 220 of 512.

  • 14 Nov 2023 in National Assembly: Asante, Mhe. Spika. Kuna sababu maeneo bunge mengine huitwa maeneo ya ugumu. Hawa Wabunge wakisikia hivyo, wanafikiria zile pesa au faida watakazozipata. Ninakubali na ninaamini kuwa Kenya yote ni eneo la ugumu ama hardship area . Lakini, kuna wale ambao wana matatizo zaidi. Hili Bunge linafaa lifanye usawa kwa Wakenya wote. Pengine, Wabunge hawajui maana ya maeneo ya ugumu kwa vile hawakai huko na hawaelewi wengine wanapata matatizo gani. The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor. view
  • 14 Nov 2023 in National Assembly: Mhe. Spika, ninakuomba utembeze Wabunge, hasa Lamu East. Mwalimu anayefunza Lamu East ananunua maji lita ishirini kwa Ksh50. Huwezi kumfananisha na mwalimu anayefunza Nairobi au kaunti nyingine. Mtu aliye Kiunga analipa Ksh8,200 ndiyo apate kitambulisho. Nilivyoona Wakenya wanalalamika kulipishwa Ksh2,000 kupata kitambulisho, nilisema ni sawa walipe kama tunavyolipa sisi. Ninaweza kufanya hesabu rahisi. Ukitoka Ishakani, pikipiki ni Ksh300 mpaka Kiunga. Kutoka Kiunga hadi Mkokoni kwa gari ni Ksh700. Kutoka Mkokoni, upande boti hadi Mokowe ulipe Ksh3,000. Kutoka huko, upande pikipiki mpaka kwa ofisi ya vitambulisho ulipe Ksh100. Hiyo hujalala au kula. Huwezi enda siku moja na urudi. Hiyo ndiyo inamaanisha ... view
  • 14 Nov 2023 in National Assembly: Mhe. Spika, ninakuomba utembeze Wabunge, hasa Lamu East. Mwalimu anayefunza Lamu East ananunua maji lita ishirini kwa Ksh50. Huwezi kumfananisha na mwalimu anayefunza Nairobi au kaunti nyingine. Mtu aliye Kiunga analipa Ksh8,200 ndiyo apate kitambulisho. Nilivyoona Wakenya wanalalamika kulipishwa Ksh2,000 kupata kitambulisho, nilisema ni sawa walipe kama tunavyolipa sisi. Ninaweza kufanya hesabu rahisi. Ukitoka Ishakani, pikipiki ni Ksh300 mpaka Kiunga. Kutoka Kiunga hadi Mkokoni kwa gari ni Ksh700. Kutoka Mkokoni, upande boti hadi Mokowe ulipe Ksh3,000. Kutoka huko, upande pikipiki mpaka kwa ofisi ya vitambulisho ulipe Ksh100. Hiyo hujalala au kula. Huwezi enda siku moja na urudi. Hiyo ndiyo inamaanisha ... view
  • 8 Nov 2023 in National Assembly: Ahsante, Mhe. Naibu Spika. Kwa sababu ya umoja wa watu wa Lamu, ninaomba kujibiwa maswali ya pili na tatu kwa maandishi. Nimeshajibiwa swali la kwaza katika vyombo vya habari. Pia, Rais na Waziri Kindiki wamevalia njuga swali letu la kutengwa au marginalisation . Ndio maana tunapata barabara ya kwanza. Rais alikuja kuweka barabara ya kihistoria siku ya Jumamosi. Katika miaka sitini, hatujawahi kupata even one inch ya barabara, lakini Rais alikuja kutuwekea barabara. Waziri Kindiki anang’ang’ana sana na mambo ya marginalisation au jamii zilizotengwa. Hayo yatasaidia katika usalama. Wale wanaotumia kutengwa na kugawanywa kwa watu wa Lamu katika siasa hawataweza ... view
  • 8 Nov 2023 in National Assembly: Ahsante, Mhe. Naibu Spika. Kwa sababu ya umoja wa watu wa Lamu, ninaomba kujibiwa maswali ya pili na tatu kwa maandishi. Nimeshajibiwa swali la kwaza katika vyombo vya habari. Pia, Rais na Waziri Kindiki wamevalia njuga swali letu la kutengwa au marginalisation . Ndio maana tunapata barabara ya kwanza. Rais alikuja kuweka barabara ya kihistoria siku ya Jumamosi. Katika miaka sitini, hatujawahi kupata even one inch ya barabara, lakini Rais alikuja kutuwekea barabara. Waziri Kindiki anang’ang’ana sana na mambo ya marginalisation au jamii zilizotengwa. Hayo yatasaidia katika usalama. Wale wanaotumia kutengwa na kugawanywa kwa watu wa Lamu katika siasa hawataweza ... view
  • 8 Nov 2023 in National Assembly: Mhe. Naibu Spika, nikiuliza hili swali, litatenganisha watu wa Lamu sana. Sitaki tuonekane kama ni sisi dhidi ya wao. Itakaa ni kama ni vita baina ya sisi na wao, na litachangia zaidi utovu wa usalama. Ningeomba Waziri ajibu swali langu la pili na la tatu kwa maandishi. Swali la kwanza limepitwa na wakati, kwa sababu Waziri mwenyewe amewahi kulijibu katika vyombo vya habari. Ahsante. view
  • 8 Nov 2023 in National Assembly: Mhe. Naibu Spika, nikiuliza hili swali, litatenganisha watu wa Lamu sana. Sitaki tuonekane kama ni sisi dhidi ya wao. Itakaa ni kama ni vita baina ya sisi na wao, na litachangia zaidi utovu wa usalama. Ningeomba Waziri ajibu swali langu la pili na la tatu kwa maandishi. Swali la kwanza limepitwa na wakati, kwa sababu Waziri mwenyewe amewahi kulijibu katika vyombo vya habari. Ahsante. view
  • 18 Oct 2023 in National Assembly: Hon. Speaker, pursuant to Standing Order 43, I wish to make a General Statement with regard to the alleged claims of ethnic cleansing in Lamu County. On Thursday, 5th October 2023, during her Maiden Speech in the House, the Women Representative of Lamu County, Hon. Muthoni Marubu, made allegations implying that the ongoing incidences of insecurity in Lamu County were a disguise for ethnic cleansing perpetrated by the indigenous people on the Agikuyu community in the region. I wish to put it on record that residents of Lamu County, including those from Iraq and Mkokoni sub-locations, who comprise persons from ... view
  • 18 Oct 2023 in National Assembly: Hon. Speaker, pursuant to Standing Order 43, I wish to make a General Statement with regard to the alleged claims of ethnic cleansing in Lamu County. On Thursday, 5th October 2023, during her Maiden Speech in the House, the Women Representative of Lamu County, Hon. Muthoni Marubu, made allegations implying that the ongoing incidences of insecurity in Lamu County were a disguise for ethnic cleansing perpetrated by the indigenous people on the Agikuyu community in the region. I wish to put it on record that residents of Lamu County, including those from Iraq and Mkokoni sub-locations, who comprise persons from ... view
  • 18 Oct 2023 in National Assembly: Finally, I sympathise with those affected by the attacks and call upon all the Members of this House to unite in the fight against insecurity in Lamu and other vulnerable parts of the country. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus