18 Oct 2023 in National Assembly:
Finally, I sympathise with those affected by the attacks and call upon all the Members of this House to unite in the fight against insecurity in Lamu and other vulnerable parts of the country.
view
18 Oct 2023 in National Assembly:
Ahsante, Mhe. Naibu Spika. Ningependa kuchangia ombi hili. Usalama wa ndege na abiria wake ni muhimu. Hakuna mtu anayetaka ukosefu wa usalama. Ndege na maisha ya binadamu ni ghali. Kwa hivyo, kila mtu anayeitumia ndege na hata wale wasioitumia wanataka usalama wa ndege na abiria wake uangaliwe.
view
18 Oct 2023 in National Assembly:
Ahsante, Mhe. Naibu Spika. Ningependa kuchangia ombi hili. Usalama wa ndege na abiria wake ni muhimu. Hakuna mtu anayetaka ukosefu wa usalama. Ndege na maisha ya binadamu ni ghali. Kwa hivyo, kila mtu anayeitumia ndege na hata wale wasioitumia wanataka usalama wa ndege na abiria wake uangaliwe.
view
18 Oct 2023 in National Assembly:
(KCAA) hutoa Certificate of Airworthiness kwa mashirika ya ndege. Certificate hiyo hutolewa upya baada ya muda fulani. Kwa hivyo, kama kuna matatizo ya ndege, inamaanisha kuwa tatizo liko na KCAA wala siyo shirika la ndege. Hii ni kwa sababu KCAA wako na inspectors ambao lazima wafanye inspection na kuenda angani na ndege hiyo kabla wapeane license . Ninataka kushauri kuwa tuweke wataalamu katika hiyo Public Petitions Committee watakaosaidia kuchunguza hiyo Petition kwa sababu kuna masuala ya kiufundi ambayo mtaalamu anaweza kuyafahamu. Kwa mfano, kama kuna combustion katika ndege, lazima itoe moshi. Ikiwa hakuna moshi, inamaanisha kuwa hakuna combustion . Pia, ...
view
18 Oct 2023 in National Assembly:
(KCAA) hutoa Certificate of Airworthiness kwa mashirika ya ndege. Certificate hiyo hutolewa upya baada ya muda fulani. Kwa hivyo, kama kuna matatizo ya ndege, inamaanisha kuwa tatizo liko na KCAA wala siyo shirika la ndege. Hii ni kwa sababu KCAA wako na inspectors ambao lazima wafanye inspection na kuenda angani na ndege hiyo kabla wapeane license . Ninataka kushauri kuwa tuweke wataalamu katika hiyo Public Petitions Committee watakaosaidia kuchunguza hiyo Petition kwa sababu kuna masuala ya kiufundi ambayo mtaalamu anaweza kuyafahamu. Kwa mfano, kama kuna combustion katika ndege, lazima itoe moshi. Ikiwa hakuna moshi, inamaanisha kuwa hakuna combustion . Pia, ...
view
18 Oct 2023 in National Assembly:
, turboprop na aina nyinginezo. Unaweza kuwa umezoea zile ndege za Kenya Airways ambazo hazitoi moshi na ukatarajia kuwa ukitumia zile turboprop, hazitatoa moshi pia. Lazima jambo hilo liangaliwe vizuri. Tukizungumzia usalama, incident inaweza kutokea kwa sababu ndege ni machine . Kama incident moja ya sauti imetokea kwa sababu ndege ni machine, ushauri wangu ni kuwa Kamati iangalie ndege zote za Kenya, hususan general aviation, kwa sababu hata ndege ya Kenya Airways ishawahi pata shida ikielekea Mombasa na Wabunge walikuwa mle ndani. Mbona hatusemi kuwa Kenya Airways ilikuwa na shida? Hii inaonekana ni kama tuna target
view
18 Oct 2023 in National Assembly:
, turboprop na aina nyinginezo. Unaweza kuwa umezoea zile ndege za Kenya Airways ambazo hazitoi moshi na ukatarajia kuwa ukitumia zile turboprop, hazitatoa moshi pia. Lazima jambo hilo liangaliwe vizuri. Tukizungumzia usalama, incident inaweza kutokea kwa sababu ndege ni machine . Kama incident moja ya sauti imetokea kwa sababu ndege ni machine, ushauri wangu ni kuwa Kamati iangalie ndege zote za Kenya, hususan general aviation, kwa sababu hata ndege ya Kenya Airways ishawahi pata shida ikielekea Mombasa na Wabunge walikuwa mle ndani. Mbona hatusemi kuwa Kenya Airways ilikuwa na shida? Hii inaonekana ni kama tuna target
view
18 Oct 2023 in National Assembly:
. Kwa hivyo, usalama wa ndege zote za Kenya uangaliwe vizuri. Tunapoongea kuhusu bei, hujalazimishwa kupanda ndege. Masuala ya bei ni tofauti na usalama. Je, shida ni bei au usalama? Ukiongeza maneno ya bei hapo, inaleta shida. I willdeclare my interest . I am from the aviation industry .
view
18 Oct 2023 in National Assembly:
. Kwa hivyo, usalama wa ndege zote za Kenya uangaliwe vizuri. Tunapoongea kuhusu bei, hujalazimishwa kupanda ndege. Masuala ya bei ni tofauti na usalama. Je, shida ni bei au usalama? Ukiongeza maneno ya bei hapo, inaleta shida. I willdeclare my interest . I am from the aviation industry .
view
18 Oct 2023 in National Assembly:
Ahsante, Bi. Spika. Ningeomba Bunge litilie mkazo upande wa air safety, na liwe general . Lisilenge tu kampuni moja lakini kampuni zote kwa sababu sisi tunazitumia zote. It will not be fair kuangalia tu kampuni moja.
view