18 Oct 2023 in National Assembly:
. Kwa hivyo, usalama wa ndege zote za Kenya uangaliwe vizuri. Tunapoongea kuhusu bei, hujalazimishwa kupanda ndege. Masuala ya bei ni tofauti na usalama. Je, shida ni bei au usalama? Ukiongeza maneno ya bei hapo, inaleta shida. I willdeclare my interest . I am from the aviation industry .
view
18 Oct 2023 in National Assembly:
. Kwa hivyo, usalama wa ndege zote za Kenya uangaliwe vizuri. Tunapoongea kuhusu bei, hujalazimishwa kupanda ndege. Masuala ya bei ni tofauti na usalama. Je, shida ni bei au usalama? Ukiongeza maneno ya bei hapo, inaleta shida. I willdeclare my interest . I am from the aviation industry .
view
18 Oct 2023 in National Assembly:
Ahsante, Bi. Spika. Ningeomba Bunge litilie mkazo upande wa air safety, na liwe general . Lisilenge tu kampuni moja lakini kampuni zote kwa sababu sisi tunazitumia zote. It will not be fair kuangalia tu kampuni moja.
view
18 Oct 2023 in National Assembly:
Ahsante, Bi. Spika. Ningeomba Bunge litilie mkazo upande wa air safety, na liwe general . Lisilenge tu kampuni moja lakini kampuni zote kwa sababu sisi tunazitumia zote. It will not be fair kuangalia tu kampuni moja.
view
18 Oct 2023 in National Assembly:
Hon. Deputy Speaker, I beg to give notice of the following Motion: THAT, aware that Article 239 provides for the National Security Organs, including the Kenya Defence Forces; further aware that, the Kenya Defence and Kenya Special Forces play an indispensable role in promoting and safeguarding national security in accordance with the Constitution; recognizing that, members of the Forces face life-threatening risks as they carry out their duties to protect our citizens, particularly in high-risk and volatile areas; noting that there is currently no token of appreciation for the remarkable dedication, service and sacrifices made by the Kenya Defence and ...
view
18 Oct 2023 in National Assembly:
Hon. Deputy Speaker, I beg to give notice of the following Motion: THAT, aware that Article 239 provides for the National Security Organs, including the Kenya Defence Forces; further aware that, the Kenya Defence and Kenya Special Forces play an indispensable role in promoting and safeguarding national security in accordance with the Constitution; recognizing that, members of the Forces face life-threatening risks as they carry out their duties to protect our citizens, particularly in high-risk and volatile areas; noting that there is currently no token of appreciation for the remarkable dedication, service and sacrifices made by the Kenya Defence and ...
view
12 Oct 2023 in National Assembly:
Asante, Mhe Spika wa Muda. Mswada huu ni muhimu sana kwa sababu utatusaidia kushughulikia changamoto nyingi zilizoko upande wa afya. Tuna changamoto nyingi. Kwa mfano, michango kwa ajili ya bili za hosipitali na kupunguza watu kusafiri kwenda nchi jirani kama Tanzania na India kwa ajili ya kutafuta matibabu. Huwa tunafanya michango kwa watu ili waweze kusafiri nchi hizo. Matibabu ya nchi hizo siyo eti ni bora kuliko Kenya. Kenya ina madaktari wazuri na hosipitali nzuri. Shida ni kwamba gharama ya matibabu iko juu. Mswada huu utatusaidia kuondoa hisia wakati watu wanapotaka kuzika maiti ya watu wao lakini hawawezi kwa sababu ...
view
12 Oct 2023 in National Assembly:
Asante, Mhe Spika wa Muda. Mswada huu ni muhimu sana kwa sababu utatusaidia kushughulikia changamoto nyingi zilizoko upande wa afya. Tuna changamoto nyingi. Kwa mfano, michango kwa ajili ya bili za hosipitali na kupunguza watu kusafiri kwenda nchi jirani kama Tanzania na India kwa ajili ya kutafuta matibabu. Huwa tunafanya michango kwa watu ili waweze kusafiri nchi hizo. Matibabu ya nchi hizo siyo eti ni bora kuliko Kenya. Kenya ina madaktari wazuri na hosipitali nzuri. Shida ni kwamba gharama ya matibabu iko juu. Mswada huu utatusaidia kuondoa hisia wakati watu wanapotaka kuzika maiti ya watu wao lakini hawawezi kwa sababu ...
view