18 Oct 2023 in National Assembly:
Ahsante, Bi. Spika. Ningeomba Bunge litilie mkazo upande wa air safety, na liwe general . Lisilenge tu kampuni moja lakini kampuni zote kwa sababu sisi tunazitumia zote. It will not be fair kuangalia tu kampuni moja.
view
18 Oct 2023 in National Assembly:
Hon. Deputy Speaker, I beg to give notice of the following Motion: THAT, aware that Article 239 provides for the National Security Organs, including the Kenya Defence Forces; further aware that, the Kenya Defence and Kenya Special Forces play an indispensable role in promoting and safeguarding national security in accordance with the Constitution; recognizing that, members of the Forces face life-threatening risks as they carry out their duties to protect our citizens, particularly in high-risk and volatile areas; noting that there is currently no token of appreciation for the remarkable dedication, service and sacrifices made by the Kenya Defence and ...
view
18 Oct 2023 in National Assembly:
Hon. Deputy Speaker, I beg to give notice of the following Motion: THAT, aware that Article 239 provides for the National Security Organs, including the Kenya Defence Forces; further aware that, the Kenya Defence and Kenya Special Forces play an indispensable role in promoting and safeguarding national security in accordance with the Constitution; recognizing that, members of the Forces face life-threatening risks as they carry out their duties to protect our citizens, particularly in high-risk and volatile areas; noting that there is currently no token of appreciation for the remarkable dedication, service and sacrifices made by the Kenya Defence and ...
view
12 Oct 2023 in National Assembly:
Asante, Mhe Spika wa Muda. Mswada huu ni muhimu sana kwa sababu utatusaidia kushughulikia changamoto nyingi zilizoko upande wa afya. Tuna changamoto nyingi. Kwa mfano, michango kwa ajili ya bili za hosipitali na kupunguza watu kusafiri kwenda nchi jirani kama Tanzania na India kwa ajili ya kutafuta matibabu. Huwa tunafanya michango kwa watu ili waweze kusafiri nchi hizo. Matibabu ya nchi hizo siyo eti ni bora kuliko Kenya. Kenya ina madaktari wazuri na hosipitali nzuri. Shida ni kwamba gharama ya matibabu iko juu. Mswada huu utatusaidia kuondoa hisia wakati watu wanapotaka kuzika maiti ya watu wao lakini hawawezi kwa sababu ...
view
12 Oct 2023 in National Assembly:
Asante, Mhe Spika wa Muda. Mswada huu ni muhimu sana kwa sababu utatusaidia kushughulikia changamoto nyingi zilizoko upande wa afya. Tuna changamoto nyingi. Kwa mfano, michango kwa ajili ya bili za hosipitali na kupunguza watu kusafiri kwenda nchi jirani kama Tanzania na India kwa ajili ya kutafuta matibabu. Huwa tunafanya michango kwa watu ili waweze kusafiri nchi hizo. Matibabu ya nchi hizo siyo eti ni bora kuliko Kenya. Kenya ina madaktari wazuri na hosipitali nzuri. Shida ni kwamba gharama ya matibabu iko juu. Mswada huu utatusaidia kuondoa hisia wakati watu wanapotaka kuzika maiti ya watu wao lakini hawawezi kwa sababu ...
view
11 Oct 2023 in National Assembly:
Asante, Mhe. Naibu wa Spika, kwa kunipa nafasi nami nichangie. Kati ya sehemu zilizoathirika na mambo ya mihadarati, Lamu ni zaidi. Utasikitika ukifika Lamu uone jinsi vijana wameathirika. Mihadarati pia inachangia utovu wa usalama na inaathiri uchumi wa Lamu. Wale vijana wanaotumia mihadarati wanahitajika wawe na Ksh1,400 kwa siku. Kama hawana kazi, inawabidi waibe ndiposa wapate dawa hizo. Wanaenda kuibia wenye mashamba haswa wakulima wa minazi ambao mwishowe hawapati kuvuna. Wafugaji mbuzi na kuku pia wanaibiwa. Athari ni kwa wale wanaotumia mihadarati na pia wale ambao hawatumii. Wale wanaotumia mihadarati hawawezi hata kuoa na inakuwa shida kubwa. Vituo vya ukarabati ...
view
11 Oct 2023 in National Assembly:
Asante, Mhe. Naibu wa Spika, kwa kunipa nafasi nami nichangie. Kati ya sehemu zilizoathirika na mambo ya mihadarati, Lamu ni zaidi. Utasikitika ukifika Lamu uone jinsi vijana wameathirika. Mihadarati pia inachangia utovu wa usalama na inaathiri uchumi wa Lamu. Wale vijana wanaotumia mihadarati wanahitajika wawe na Ksh1,400 kwa siku. Kama hawana kazi, inawabidi waibe ndiposa wapate dawa hizo. Wanaenda kuibia wenye mashamba haswa wakulima wa minazi ambao mwishowe hawapati kuvuna. Wafugaji mbuzi na kuku pia wanaibiwa. Athari ni kwa wale wanaotumia mihadarati na pia wale ambao hawatumii. Wale wanaotumia mihadarati hawawezi hata kuoa na inakuwa shida kubwa. Vituo vya ukarabati ...
view
11 Oct 2023 in National Assembly:
wanapata changamoto kumpeleka mtu Lamu ijapokuwa ni karibu. Ninampongeza Mjumbe aliyeleta Hoja hii kwa jambo hili la maana sana. Wanaotumia mihadarati wanaweza kutumika vibaya kama hatuwabadilishi. Tunaishi kwenye boundary ya Somalia. Ni rahisi mtu anayetumia mihadarati kutumika vibaya na wanakua vulnerable . Wanaweza tumika vibaya mpaka tushangae. Saa zingine pia unaona kama hili jambo haliangaliwi. Wananchi kule wanafikiria kuwa wanaletewa mihadarati, na kila anayeuza mihadarati anajulikana, lakini hakuna hatua inachukuliwa. Sisi tunaletewa mihadarati ilhali wengine wanasaidiwa. Imekuwa labda ni kama ni kusudi Serikali inafanya. Lakini, alhamdulillah, ninamshukuru mwenyezi Mungu kuwa kuna mikakati hii Serikali inachukua. Ninawapongeza. Hakika hii ikipelekwa kwa ...
view