Shariff Athman Ali

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 241 to 250 of 257.

  • 12 Jun 2013 in National Assembly: Ni view
  • 12 Jun 2013 in National Assembly: Shukrani, Bw. Naibu Spika wa Muda. Masikitiko makubwa ni kwamba utapata sehemu nyingi za nchi yetu ya Kenya hazipati huduma za afya vile inavyopaswa. Nikizungumzia eneo Bunge langu la Lamu Mashariki, licha ya kwamba kupatikana madaktari ni vigumu, hata hospitali zenyewe, ama hata zahanati zenyewe, hazina madawa. Watu huenda na kurudi; hata ingawa hufika huko akiwa mgonjwa anaambiwa kwamba dawa hakuna. Kwa hiyo, mara kwa mara watu wamekuwa wakisumbuka au kuteseka. Hata huduma za X-ray hazipatikani. Leo Serikali imesema kwamba wanawake watajifungua bure, lakini utapata hakuna sehemu ya akina mama ama akina dada zetu ya kujifungulia katika eneo la Lamu ... view
  • 22 May 2013 in National Assembly: Ahsante, Mhe. Naibu Spika. Ningependa kuchukua fursa hii kukushukuru kwa kunipatia nafasi hii niweze kuichangia Hoja hii. Vile vile, ningependa kumshukuru mhe. John Mbadi kwa kuileta Bungeni Hoja hii muhimu sana inayotuhusu sana sisi watu wa Pwani. view
  • 22 May 2013 in National Assembly: Masikitiko makubwa ni kwamba sekta ya uvuvi katika eneo la Pwani imedharauliwa sana na Serikali kwa sababu tunazoshindwa kuzielewa. Hivi sasa, ukienda kuulizia katika afisi za uvuvi, utapata kwamba licha ya kwamba Pwani ni eneo kubwa sana la uvuvi kwa sababu ya Bahari Hindi, kiasi cha samaki wanaopatikana ni kidogo sana ukilinganisha na kiasi cha samaki wanaopatikana katika Ziwa Victoria na kwingineko. Kusema kweli, hili ni jambo la kushangaza sana. Tukiangazia zaidi, watu wanaofanya kazi hii katika maeneo ya Lamu na kwengineko, na haswa tukiangazia suala la vifaa vya kuhifadhia samaki, kama lilivyozungumziwa; huwezi kuvipata vifaa hivyo katika sehemu hiyo. ... view
  • 22 May 2013 in National Assembly: Mhe. Naibu Spika, maskitiko makubwa ni kwamba tatizo kubwa linaloikabili jamii ya wavuvi katika maeneo ya Lamu na sehemu nyingine za Pwani ni kwamba, jamii hiyo haijawahi kusaidiwa ili iweze kujiendeleza. Utapata watu kutoka nchi zingine kama vile Indonesia na China wanakuja kuvua samaki katika maeneo ya nchi yetu kwa sababu wako na vifaa vya kisasa, yakiwemo maboti mazuri yanayowawezesha kufanya kazi hiyo kwa njia bora zaidi. Wanakuja kuvua samaki katika sehemu ya nchi yetu na kuwapeleka samaki hao kwao kwa faida ya nchi zao na faida zao binafsi. Chombo kinachotumiwa na watu wetu kwa shughuli ya uvuvi hakiwezi kumudu ... view
  • 22 May 2013 in National Assembly: Ni maskitiko makubwa kwamba ndugu zetu wavuvi wana ujuzi kamili wa kuwawezesha kuifanya kazi hiyo lakini hawajapata usaidizi kikamilifu kutoka kwa Serikali yetu kama walivyosaidiwa Wakenya kwenye sekta ya kilimo na sekta nyinginezo. Hivi sasa, samaki wanatoka sehemu ya Lamu na kupelekwa kuuzwa Mombasa. Kuna sehemu inayoitwa Majengo. Huko ndiko wanakouzwa samaki hao – view
  • 15 May 2013 in National Assembly: Ahsante Mhe. Spika wa Muda. Kwanza, ninataka kumshukuru ndugu yangu, Mheshimiwa aliyeleta Hoja hii hapa. Tunafahamu vyema kwamba wazee wetu ni watu ambao wanahitaji kuzingatiwa sana. Hii ni kwa sababu hatungefika hapa leo au hatungefikisha umri huu bila wazee wetu. Hata sisi tutakuwa wazee. view
  • 15 May 2013 in National Assembly: Ahsante Mhe. Spika wa Muda. Kwanza, ninataka kumshukuru ndugu yangu, Mheshimiwa aliyeleta Hoja hii hapa. Tunafahamu vyema kwamba wazee wetu ni watu ambao wanahitaji kuzingatiwa sana. Hii ni kwa sababu hatungefika hapa leo au hatungefikisha umri huu bila wazee wetu. Hata sisi tutakuwa wazee. view
  • 15 May 2013 in National Assembly: Hoja hii inafuatana na Katiba yetu ambayo tuliipitisha kwa kusema kwamba tutawasimamia na kuwasaidia wazee. Jambo hili liko katika Kipengee cha 57 cha Katiba ya Kenya. Kipengee hiki kinasema: “The State shall take measures to ensure the rights of older persons.” Kipengee cha 57(d) kinasema: “to receive reasonable care and assistance from their family and the State.” view
  • 15 May 2013 in National Assembly: Hoja hii inafuatana na Katiba yetu ambayo tuliipitisha kwa kusema kwamba tutawasimamia na kuwasaidia wazee. Jambo hili liko katika Kipengee cha 57 cha Katiba ya Kenya. Kipengee hiki kinasema: “The State shall take measures to ensure the rights of older persons.” Kipengee cha 57(d) kinasema: “to receive reasonable care and assistance from their family and the State.” view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus