Shariff Athman Ali

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 241 to 250 of 512.

  • 11 Oct 2023 in National Assembly: wanapata changamoto kumpeleka mtu Lamu ijapokuwa ni karibu. Ninampongeza Mjumbe aliyeleta Hoja hii kwa jambo hili la maana sana. Wanaotumia mihadarati wanaweza kutumika vibaya kama hatuwabadilishi. Tunaishi kwenye boundary ya Somalia. Ni rahisi mtu anayetumia mihadarati kutumika vibaya na wanakua vulnerable . Wanaweza tumika vibaya mpaka tushangae. Saa zingine pia unaona kama hili jambo haliangaliwi. Wananchi kule wanafikiria kuwa wanaletewa mihadarati, na kila anayeuza mihadarati anajulikana, lakini hakuna hatua inachukuliwa. Sisi tunaletewa mihadarati ilhali wengine wanasaidiwa. Imekuwa labda ni kama ni kusudi Serikali inafanya. Lakini, alhamdulillah, ninamshukuru mwenyezi Mungu kuwa kuna mikakati hii Serikali inachukua. Ninawapongeza. Hakika hii ikipelekwa kwa ... view
  • 11 Oct 2023 in National Assembly: , itasaidia sana. Maanake King Fahad Hospital Level 5 imewekwa Methadone na imesaidia, lakini watu wangu wa Lamu Mashariki hawajapata Methadone . Nimekuwa nikiimba na kwenda kila upande husika lakini Methadone haijafika hospitali ya Faza. Methadone ikifika … view
  • 11 Oct 2023 in National Assembly: , itasaidia sana. Maanake King Fahad Hospital Level 5 imewekwa Methadone na imesaidia, lakini watu wangu wa Lamu Mashariki hawajapata Methadone . Nimekuwa nikiimba na kwenda kila upande husika lakini Methadone haijafika hospitali ya Faza. Methadone ikifika … view
  • 11 Oct 2023 in National Assembly: Asante, Mhe. Naibu Spika . Well guided . view
  • 11 Oct 2023 in National Assembly: Asante, Mhe. Naibu Spika . Well guided . view
  • 11 Oct 2023 in National Assembly: ni dawa ambayo ukipewa hospitalini ukunywe, inatoa ile hamu ya kula mihadarati. Lakini mpaka uwe karibu na hiyo hospitali. Ikiwa kama hospitali ya King Fahad imewekwa, mtu wa Lamu Mashariki hawezi toka akaja huku. Sasa inawekwa kwa hospitali ile ya karibu. Ni nzuri na inasaidia hata kushinda rehabilitation centres . Inategemea umetumia drugs namna gani ili daktari akupe dosage . Unaikunywa kulingana na vile daktari anasema. Kama unaikunywa mara mbili, unakunywa asubuhi na unaambiwa urudi jioni. Au kama dose yako ni ya mara moja, unarudi siku ya pili. Inasaidia sana. Hizi rehabilitation centres pia, zisifanywe tu za kulala. Tunafanya zile ... view
  • 11 Oct 2023 in National Assembly: ni dawa ambayo ukipewa hospitalini ukunywe, inatoa ile hamu ya kula mihadarati. Lakini mpaka uwe karibu na hiyo hospitali. Ikiwa kama hospitali ya King Fahad imewekwa, mtu wa Lamu Mashariki hawezi toka akaja huku. Sasa inawekwa kwa hospitali ile ya karibu. Ni nzuri na inasaidia hata kushinda rehabilitation centres . Inategemea umetumia drugs namna gani ili daktari akupe dosage . Unaikunywa kulingana na vile daktari anasema. Kama unaikunywa mara mbili, unakunywa asubuhi na unaambiwa urudi jioni. Au kama dose yako ni ya mara moja, unarudi siku ya pili. Inasaidia sana. Hizi rehabilitation centres pia, zisifanywe tu za kulala. Tunafanya zile ... view
  • 11 Oct 2023 in National Assembly: za mitaani kama out patients . Zimekuwa zikifanya kazi vizuri sana Mombasa. Tunawapongeza sana kwa hiyo kazi ya rehabilitation centres za out patient . Asante, Mhe. Naibu Spika. view
  • 11 Oct 2023 in National Assembly: za mitaani kama out patients . Zimekuwa zikifanya kazi vizuri sana Mombasa. Tunawapongeza sana kwa hiyo kazi ya rehabilitation centres za out patient . Asante, Mhe. Naibu Spika. view
  • 28 Sep 2023 in National Assembly: Hon. Speaker, pursuant to the provisions of Standing Order 44(2)(c), I wish to request for a Statement from the Chairperson of the Departmental Committee on Environment, Forestry and Mining regarding hazardous spillage caused by Zarara Oil and Gas Company in Pate Island, Lamu. The National Environmental Management Authority (NEMA) cleared Zarara Oil and Gas Ltd. for well drilling operations in Lamu, aimed at exploring natural gas deposit. Subsequently, Zarara Oil and Gas Company initiated exploration activities on Pate Island. But later announced cessation of operations citing absence of commercially viable gas resources. While the company may have withdrawn from Lamu, ... view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus