Shariff Athman Ali

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 241 to 250 of 515.

  • 11 Oct 2023 in National Assembly: Asante, Mhe. Naibu wa Spika, kwa kunipa nafasi nami nichangie. Kati ya sehemu zilizoathirika na mambo ya mihadarati, Lamu ni zaidi. Utasikitika ukifika Lamu uone jinsi vijana wameathirika. Mihadarati pia inachangia utovu wa usalama na inaathiri uchumi wa Lamu. Wale vijana wanaotumia mihadarati wanahitajika wawe na Ksh1,400 kwa siku. Kama hawana kazi, inawabidi waibe ndiposa wapate dawa hizo. Wanaenda kuibia wenye mashamba haswa wakulima wa minazi ambao mwishowe hawapati kuvuna. Wafugaji mbuzi na kuku pia wanaibiwa. Athari ni kwa wale wanaotumia mihadarati na pia wale ambao hawatumii. Wale wanaotumia mihadarati hawawezi hata kuoa na inakuwa shida kubwa. Vituo vya ukarabati ... view
  • 11 Oct 2023 in National Assembly: Asante, Mhe. Naibu wa Spika, kwa kunipa nafasi nami nichangie. Kati ya sehemu zilizoathirika na mambo ya mihadarati, Lamu ni zaidi. Utasikitika ukifika Lamu uone jinsi vijana wameathirika. Mihadarati pia inachangia utovu wa usalama na inaathiri uchumi wa Lamu. Wale vijana wanaotumia mihadarati wanahitajika wawe na Ksh1,400 kwa siku. Kama hawana kazi, inawabidi waibe ndiposa wapate dawa hizo. Wanaenda kuibia wenye mashamba haswa wakulima wa minazi ambao mwishowe hawapati kuvuna. Wafugaji mbuzi na kuku pia wanaibiwa. Athari ni kwa wale wanaotumia mihadarati na pia wale ambao hawatumii. Wale wanaotumia mihadarati hawawezi hata kuoa na inakuwa shida kubwa. Vituo vya ukarabati ... view
  • 11 Oct 2023 in National Assembly: wanapata changamoto kumpeleka mtu Lamu ijapokuwa ni karibu. Ninampongeza Mjumbe aliyeleta Hoja hii kwa jambo hili la maana sana. Wanaotumia mihadarati wanaweza kutumika vibaya kama hatuwabadilishi. Tunaishi kwenye boundary ya Somalia. Ni rahisi mtu anayetumia mihadarati kutumika vibaya na wanakua vulnerable . Wanaweza tumika vibaya mpaka tushangae. Saa zingine pia unaona kama hili jambo haliangaliwi. Wananchi kule wanafikiria kuwa wanaletewa mihadarati, na kila anayeuza mihadarati anajulikana, lakini hakuna hatua inachukuliwa. Sisi tunaletewa mihadarati ilhali wengine wanasaidiwa. Imekuwa labda ni kama ni kusudi Serikali inafanya. Lakini, alhamdulillah, ninamshukuru mwenyezi Mungu kuwa kuna mikakati hii Serikali inachukua. Ninawapongeza. Hakika hii ikipelekwa kwa ... view
  • 11 Oct 2023 in National Assembly: wanapata changamoto kumpeleka mtu Lamu ijapokuwa ni karibu. Ninampongeza Mjumbe aliyeleta Hoja hii kwa jambo hili la maana sana. Wanaotumia mihadarati wanaweza kutumika vibaya kama hatuwabadilishi. Tunaishi kwenye boundary ya Somalia. Ni rahisi mtu anayetumia mihadarati kutumika vibaya na wanakua vulnerable . Wanaweza tumika vibaya mpaka tushangae. Saa zingine pia unaona kama hili jambo haliangaliwi. Wananchi kule wanafikiria kuwa wanaletewa mihadarati, na kila anayeuza mihadarati anajulikana, lakini hakuna hatua inachukuliwa. Sisi tunaletewa mihadarati ilhali wengine wanasaidiwa. Imekuwa labda ni kama ni kusudi Serikali inafanya. Lakini, alhamdulillah, ninamshukuru mwenyezi Mungu kuwa kuna mikakati hii Serikali inachukua. Ninawapongeza. Hakika hii ikipelekwa kwa ... view
  • 11 Oct 2023 in National Assembly: , itasaidia sana. Maanake King Fahad Hospital Level 5 imewekwa Methadone na imesaidia, lakini watu wangu wa Lamu Mashariki hawajapata Methadone . Nimekuwa nikiimba na kwenda kila upande husika lakini Methadone haijafika hospitali ya Faza. Methadone ikifika … view
  • 11 Oct 2023 in National Assembly: , itasaidia sana. Maanake King Fahad Hospital Level 5 imewekwa Methadone na imesaidia, lakini watu wangu wa Lamu Mashariki hawajapata Methadone . Nimekuwa nikiimba na kwenda kila upande husika lakini Methadone haijafika hospitali ya Faza. Methadone ikifika … view
  • 11 Oct 2023 in National Assembly: Asante, Mhe. Naibu Spika . Well guided . view
  • 11 Oct 2023 in National Assembly: Asante, Mhe. Naibu Spika . Well guided . view
  • 11 Oct 2023 in National Assembly: ni dawa ambayo ukipewa hospitalini ukunywe, inatoa ile hamu ya kula mihadarati. Lakini mpaka uwe karibu na hiyo hospitali. Ikiwa kama hospitali ya King Fahad imewekwa, mtu wa Lamu Mashariki hawezi toka akaja huku. Sasa inawekwa kwa hospitali ile ya karibu. Ni nzuri na inasaidia hata kushinda rehabilitation centres . Inategemea umetumia drugs namna gani ili daktari akupe dosage . Unaikunywa kulingana na vile daktari anasema. Kama unaikunywa mara mbili, unakunywa asubuhi na unaambiwa urudi jioni. Au kama dose yako ni ya mara moja, unarudi siku ya pili. Inasaidia sana. Hizi rehabilitation centres pia, zisifanywe tu za kulala. Tunafanya zile ... view
  • 11 Oct 2023 in National Assembly: ni dawa ambayo ukipewa hospitalini ukunywe, inatoa ile hamu ya kula mihadarati. Lakini mpaka uwe karibu na hiyo hospitali. Ikiwa kama hospitali ya King Fahad imewekwa, mtu wa Lamu Mashariki hawezi toka akaja huku. Sasa inawekwa kwa hospitali ile ya karibu. Ni nzuri na inasaidia hata kushinda rehabilitation centres . Inategemea umetumia drugs namna gani ili daktari akupe dosage . Unaikunywa kulingana na vile daktari anasema. Kama unaikunywa mara mbili, unakunywa asubuhi na unaambiwa urudi jioni. Au kama dose yako ni ya mara moja, unarudi siku ya pili. Inasaidia sana. Hizi rehabilitation centres pia, zisifanywe tu za kulala. Tunafanya zile ... view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus