Shariff Athman Ali

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 251 to 257 of 257.

  • 15 May 2013 in National Assembly: Mheshimiwa ameelezea usaidizi ambao wazee wetu wanaweza kupata. Moja ni kuwa wazee wa umri wa miaka 60 na zaidi wahudumiwe katika hospitali zetu bila malipo yoyote. Hii ni kwa sababu mzee ataenda hospitalini, aambiwe alipe shilingi mia mbili na hajui atoe hizo pesa wapi. Ningeomba tulizingatie suala hili sana. view
  • 15 May 2013 in National Assembly: Mheshimiwa ameelezea usaidizi ambao wazee wetu wanaweza kupata. Moja ni kuwa wazee wa umri wa miaka 60 na zaidi wahudumiwe katika hospitali zetu bila malipo yoyote. Hii ni kwa sababu mzee ataenda hospitalini, aambiwe alipe shilingi mia mbili na hajui atoe hizo pesa wapi. Ningeomba tulizingatie suala hili sana. view
  • 15 May 2013 in National Assembly: Vile vile, zile Kshs.4,000 ambazo Serikali inawapatia wazee, itakuwa vyema kama tutahakikisha kwamba zinamfikia kila mzee popote alipo. Hii ni kwa sababu view
  • 15 May 2013 in National Assembly: Vile vile, zile Kshs.4,000 ambazo Serikali inawapatia wazee, itakuwa vyema kama tutahakikisha kwamba zinamfikia kila mzee popote alipo. Hii ni kwa sababu view
  • 9 May 2013 in National Assembly: .: Asante, mhe. Mwenyekiti. Nataka niseme kwamba kuunga mkono view
  • 24 Apr 2013 in National Assembly: Asante Naibu Spika. Ninaitwa Shariff Athman Ali. Ningependa kuchukua fursa hii kukupongeza wewe pamoja na Spika kwa kuchaguliwa katika nafasi zenu. Vile vile, ninataka kuchukua fursa hii kuwashukuru watu wa Lamu Mashariki kwa kunichagua kuwawakilisha katika Bunge hili la kumi na moja. Kulingana na Hotuba ya Rais iliyotolewa hapa wiki iliyopita, kwa kweli, ni Hotuba ya kupendeza. Kama unavyosikia Wabunge wenzangu--- Kila anayeinuka anaipendekeza Hotuba hii. Lakini ajabu kubwa iliyoko ni kwamba mpaka dakika hii yote yaliyozungumziwa--- Bali na kwamba Rais mstaafu Mwai Kibaki alianzisha CDF bado malalamiko mashinani yako. Vijana wanasoma chini ya miti. Hayo ni masikitiko makubwa na ... view
  • 24 Apr 2013 in National Assembly: Ukiangalia maswala ya ardhi, mpaka hivi sasa hili ni tatizo kubwa, na limezungumziwa na wapwani wenzangu. Swala hili linaihusu Lamu pia. Ningependa jambo hili lichukuliwe kwa uzito sana ili tusionekana kama ni nyimbo twaimba, ama ni hadithi tunatoa. Ni lazima tuonyeshe uzito wa maswala haya. Ni masikitiko na aibu kubwa katika nchi hii kuwa baada ya miaka 50 ya Uhuru, ama utawala wetu, bado kuna Wakenya ambao hawana maji, na kuna vijana ambao wanasomea chini ya miti kwa sababu hawana madarasa. Haya ni maswala ambayo ni lazima tuyape kipaumbele na kuyazingatia vilivyo. Kinachostahili hapa ni kuhakisha kwamba haya mambo yametekelezwa ... view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus