Shariff Athman Ali

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 261 to 270 of 512.

  • 2 Aug 2023 in National Assembly: Bw. Spika wa Muda, mipangilio ya Serikali ni kuwacha Lamu nyuma au ana mipangilio gani ndio haya matatizo ya Al - Shabab yaishe? Kwa sababu kama vijana hawahusishwi katika mipangilio hii ndio inasababisha hayo mambo yanayotokea Lamu. Kisha mwakilisha wadi jana ameshambuliwa na mke wake amefariki. The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor. view
  • 6 Jul 2023 in National Assembly: Asante, Mhe. Spika. Nami naunga mkono hiyo Petition. Ahsante. view
  • 5 Jul 2023 in National Assembly: On a point of order, Hon. Speaker. view
  • 5 Jul 2023 in National Assembly: Itabidi Bi Waziri aangalie map vizuri. view
  • 5 Jul 2023 in National Assembly: Nina hakika hakuna irrigation scheme yoyote Lamu Mashariki. Maji ya Mzima Springs hayawezi kupita Lamu. Hata ikibidi waipitishe kwa lazima, itakuwa gharama kubwa zaidi kuliko kuchukuwa maji kutoka Tana River. Kuna ya kupitisha kwenye bahari. Maji ya Mzima hayawezi kutusaidia kabisa. Weka The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor. view
  • 5 Jul 2023 in National Assembly: mipango tupate maji kutoka Tana River. Mnaweza ambia Kenya Defence Forces (KDF) wachimbe canal watuletee maji. Hilo ndilo litakuwa suluhisho la kudumu. Tangu tupate Uhuru, watu wa Lamu Mashariki hatuna maji. Tumesahaulika. view
  • 5 Jul 2023 in National Assembly: Asante Mhe. Spika wa Muda. Swali langu kwa Waziri ni hili: Mkokoni, Lamu East, awamu ya pili ya upimaji mtamaliza lini? Kitu kinanishangaza ni kuwa Kenya nzima, ni Lamu peke yake kutoka wakati wa ukoloni ndiyo ni Government of Kenya land. Sehemu zingine zote utaona community land . Una mipango gani ya kusuluhisha hili? Kwa sababu hata kule kwingine labda ni ranches. Kule Lamu hakuna kitu kama community land . Kwa kipindi hiki cha Serikali ya Kenya Kwanza naomba hili lifanyike. Ulikuja Lamu tukakaa kwa kikao kizuri lakini hatujapata majibu. Tunaomba majibu kwa muda wa mapema. Asante. view
  • 5 Jul 2023 in National Assembly: Point of Information. view
  • 5 Jul 2023 in National Assembly: The Cabinet Secretary. view
  • 5 Jul 2023 in National Assembly: Inaitwa Mkokoni. Huko ni area ya Wabajuni. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus