Shariff Athman Ali

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 271 to 280 of 515.

  • 5 Jul 2023 in National Assembly: Point of Information. view
  • 5 Jul 2023 in National Assembly: The Cabinet Secretary. view
  • 5 Jul 2023 in National Assembly: Inaitwa Mkokoni. Huko ni area ya Wabajuni. view
  • 5 Jul 2023 in National Assembly: Inaitwa Mkokoni mji wa wangwana. view
  • 21 Jun 2023 in National Assembly: Asante Bw. Spika wa Muda. Hii pesa ya usawazishaji, kutoka kwa jina lenyewe, inaonyesha ni kusawazisha. Lakini vile mambo yashatokea, afadhali nusu shari kuliko shari kamili. view
  • 21 Jun 2023 in National Assembly: Ni muhimu hii pesa ije hata kama ni kidogo. Bora tuipate itumike vizuri. Hii pesa muda wake usije ukaisha kabla haijatumika. Sisi miradi yetu ikija kule iwe ni miradi itakumbukwa na hata vizazi vijavyo. Kuna sehemu nyingine kama vile Lamu Mashariki ambayo ilipata pesa hii ya usawazishaji. Pesa ilikuwa ya kujenga barabara lakini hiyo barabara tukiitafuta leo haiko. Zaidi ya Ksh1 milioni zilitumika. Tunaomba pesa hii itumike vizuri. Haki pia itendeke. Kila Wadi ipate haki yake. Isiwe wadi nyingine kama Basuba Ward inaambiwa kuna mambo ya usalama basi siku zote haifanyiwi miradi kwa sababu ya mambo ya usalama. Ikiwa hivyo, ... view
  • 2 May 2023 in National Assembly: Asante Mhe. Spika wa Muda kwa kunipatia nafasi ili nichangie hii Ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Mfuko wa Fedha. Katika hii Ripoti, nimeona Lamu Mashariki haiko lakini Lamu Magharibi iko. Nina masikitiko kwani naona kuna matatizo mengi na fedha hizi huwa ni za kusaidia wanyonge kule. Wale ambao hawajiwezi hata haziwasaidii. Fedha hizi zikiwa haziangaliwi vizuri, wale wanyonge wanazidi kuwa wanyonge. Mimi naunga mkono hii Ripoti kama Mkaguzi Mkuu alivyosema. Nimeshangazwa sana kama Kaunti ya Lamu. Upande wa Lamu Magharibi umefanyiwa ukaguzi na Lamu The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of ... view
  • 2 May 2023 in National Assembly: Mashariki haujafanyiwa. Imekuwa shida kwetu kwani Lamu Mashariki imekuwa nyuma sana kwa miaka mingi kwa sababu hawa wakaguzi wakienda wanaambiwa kule kuna Al Shabaab, bahari chafu na huwa hakuna bahari chafu wala Al Shabaab. Huwa ni kigezo tu cha kuwafanya wasiende kukagua. Na wakiendelea hivyo huwa wanaleta shida. Shida ni kama sasa hivi mimi nimeingia nikifika kwangu kazi ni nyingi za kufanywa na pesa nayo iko lakini nikiangalia zile kazi nilizonazo kama zingefanywa nyuma ingekuwa rahisi kwangu. Kwa mfano, saa hii wanaambiwa upande wa NG-CDF wapande miti. Miti hiyo itapandwa vipi na sasa shule zote za Lamu Mashariki hazina kuta, ... view
  • 2 May 2023 in National Assembly: wakaribishwe kule wakague. Lakini pia matatizo yale pia yasionekane ni ya sasa hivi. Uzuri utajulikana ni akina nani ndio waliofanya makosa katika miaka iliyopita. Hao wakija kule watasaidia maanake kuna matatizo ambapo saa zingine bursary inatumika kisiasa, saa zingine bursary haiendi kwa watarajiwa, na saa zingine kuna shule ambazo kuna wakora ambapo inakubidi ukague pesa ya bursary moja kwa moja mpaka ukosane na walimu. Kama hufanyi hivyo, imekuwa ni kama biashara. Ninataka huyo Auditor-General kwa hii Ripoti yake pia ahakikishe amekagua vizuri hizi shule. Shule pia zina matatizo mengi. Kwa hii NG-CDF, tulipoingia, wale walio na wadi tatu wamepunguziwa. Ni ... view
  • 2 May 2023 in National Assembly: visiwa, inakuwa ngumu kutengeneza kwa sababu gharama ziko juu sana. Wengine pia hutumia gharama kama hizo kuiba na inakuwa juu kushinda huku. Shukran, Mhe. Spika wa Muda. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus