Stewart Mwachiru Shadrack Madzayo

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 121 to 130 of 2263.

  • 18 Sep 2024 in Senate: Asante, Bw. Naibu Spika. Ningetaka kumuuliza Waziri kama anaelewa kwamba wote waliopata majeraha na kuumia wakati wa kile kitendo cha ugaidi kwenye nyumba ya ubalozi wa Marekani walikuwa Wakenya na wananchi ya Kiamerika. Je, Waziri ana habari kuwa wananchi wote wa Amerika walilipwa fidia, majeraha yao kuhudumiwa hospitalini na kuwa walitunzwa vizuri na nchi yao? Kwanza--- view
  • 18 Sep 2024 in Senate: Asante Bw. Spika wa Muda. Aliyoyasema mwisho ni ukweli. view
  • 18 Sep 2024 in Senate: The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate. view
  • 18 Sep 2024 in Senate: Kwanza, naunga mkono Hoja hii ya kugeuza Kalenda yetu ya Seneti. Kunazo sababu zinazofanya tugeuze Kalenda hii. Kwanza, ile tarehe iliyowekwa ya Seneti Mashinani imebadilika hadi mwezi wa Kumi na Moja. Vile vile, Maseneta watapata nafasi ya kujiandaa kusafiri kuenda Busia kwa ratiba ya Seneti Mashinani. Natoa ushauri kwamba ni lazima tuzingatie seriousness katika Bunge la Seneti. Kuna hizi tabia tunazozianza za kutoa hoja za nidhamu wakati Seneta mwezako anapoongea na pengine hujapenda anachoongea. Seneta anasimama ama kubofya kile kidude kilichoko mbele yake na kusema anataka kutoa hoja ya nidhamu. Hoja ya nidhamu ninavyoielewa kwa wakati nimekuwa hapa ndani na ... view
  • 18 Sep 2024 in Senate: Bw. Spika wa Muda, ninaunga mkono ndugu yangu aliyeleta hii Hoja ya kusema tugeuze Kalenda na itakua ya matumizi zaidi. Asante. view
  • 17 Sep 2024 in Senate: Mr. Temporary Speaker, Sir, I second. view
  • 20 Aug 2024 in Senate: Yes, I do. view
  • 20 Aug 2024 in Senate: Yes, I do. view
  • 20 Aug 2024 in Senate: Asante Bw. Spika. Gavana Kawira, swali langu ni moja tu kuhusu yule mshauri wako kwa mambo ya sheria anayeitwa Linda Gakii Kiome. Ulimuajiri kazi kama mshauri wako wa mambo ya sheria tarehe ishirini na nane, mwezi wa tatu, mwaka wa elfu mbili ishirini na tatu. Mwaka mmoja kamili baadaye, tarehe ishirini na sita, mwezi wa tatu, mwaka wa elfu mbili ishirini na nne, ulimpatia barua ya kumuachisha kazi. Je, baina yako na yeye, kulikuwa na kukosana, tabu, ama kutoelewena fulani ndio sababu akasema kwamba sio yeye aliyeandika ile barua, bali ile barua iliyoandikwa, si wewe uliyetia sahihi. Nataka kujua hayo ... view
  • 19 Aug 2024 in Senate: Asante Bw. Spika. Naunga mkono Hoja hii kwa sababu ni Hoja muhimu inayoikumba Seneti. Mara nyingi baada ya kwenda likizo tunaitwa turudi kwa sababu ya mambo ya dharura yanayotendeka katika nchi na yanahitaji Seneti kupeana mwelekeo. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus