Stewart Mwachiru Shadrack Madzayo

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 1661 to 1670 of 2266.

  • 10 Apr 2019 in Senate: imefaulu. Asante sana, Bw. Spika wa Muda. The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate. view
  • 20 Mar 2019 in Senate: On a point of order, Mr. Speaker, Sir. view
  • 20 Mar 2019 in Senate: Mr. Speaker, Sir, is the distinguished Senator for Machakos County, Sen. (Dr.) Kabaka, whom I respect so much in order to start canvassing this matter before it is even ventilated by the Joint Committee of Parliament? If he wants to air those views, my suggestion is that he table them before the Joint Committee of Parliament and not on the Floor of this House. view
  • 20 Mar 2019 in Senate: Asante, Spika kwa kunipa nafasi hii. Kwanza, daktari aliyefariki anatoka katika eneo la Pwani. Nikiwa mhusika, ningependa kutoa rambi rambi kwa familia iliyompoteza huyu daktari. view
  • 20 Mar 2019 in Senate: The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposes only. Acertified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate. view
  • 20 Mar 2019 in Senate: Bw. Spika, chama cha madaktari walikuwa wamekataa mkataba huu na kusema kwamba hawaukubali kabisa, lakini Serikali ikaonelea ni lazima iendelee nao. Hatimaye ikafaulu na ikaona ya kwamba lazima wale madaktari waje. Walikuja na wakakaribishwa kitajiri, kama vile wenzangu wamesema. Mtu akikataa na umlazimishe, basi Waswahili husema: “Mwenda tezi na omo marejeo ni ngamani.” Hii ndio faida tunayoipata hivi sasa, kuona ya kwamba sisi kama wakenya tulikuwa wapumbavu, tukaingia katika mkataba ambao haufai na hatimaye, tumempoteza daktari mmoja. Wizara ya Afya inayoongozwa na Cecily Kariuki ndio iliwafanya wale madaktari waende kule. Je, Waziri huyu amesema nini mpaka leo kuhusu kifo cha ... view
  • 20 Mar 2019 in Senate: Mimi na ndugu yangu, Sen. Wambua, hatuwezi kulala kwenye chumba kimoja; hairihusiwi kiafrika. Itakuwaje madaktari, ambao ni watu waliohitimu na wameenda kufanya masomo ya juu, wanaishi katika hali ambayo si ya binadamu? Si kiafrika kwa wanaume watatu kulala kwenye room moja. Kama watu wa Cuba hufanya hivyo, hapa kwetu Kenya haiwezekani mimi na ndugu yangu, Sen. (Eng.) Hargura, kulala kwenye room moja. Kwa hiyo, tunasema, heshima, lazima ilegeshwe na heshima. Ikiwa mkataba huu hauna heshima, sioni faida Serikali ya Kenya iendelee kuwa na mkataba huu baina ya sisi na wenyeji wa Cuba. Wale madaktari walio kule Cuba, kabla hatujapoteza mtu ... view
  • 19 Mar 2019 in Senate: On a point of order, Mr. Speaker, Sir. view
  • 19 Mar 2019 in Senate: Bw. Spika, kwanza nataka kumshukuru ndugu yangu, Seneta Khaniri, kwa Statement aliyoleta. Katika maeneo ninayotoka ya Kilifi na pwani kwa ujumla, kuna watu wa tabaka mbalimbali. Kwa hivyo, cheti cha kuzaliwa ni cha umuhimu sana. Jambo la kwanza ambalo ningependa kusema ni kwamba Serikali inafaa kuondoa ada ya vyeti vya kuzaliwa. Kupata cheti cha kuzaliwa inafaa kuwa ni haki ya kila Mkenya. Wakati mtu anapozaliwa, hakuna haja ya kuandika barua ya kuomba cheti cha kuzaliwa. view
  • 19 Mar 2019 in Senate: Utoaji wa vyeti vya kuzaliwa umekuwa chombo cha kutafuta pesa miongoni mwa wafanyakazi wa afisi zinazotoa huduma hiyo. Mara nyingi, utapata mtu anaitishwa “kitu kidogo” ili fomu yake ipitishwe. Hii ni tabia inayoendelezwa na maafisa wanaofanya kazi katika ofisi za kutoa vyeti vya kuzaliwa, kwa sababu ufisadi umekithiri na hiyo imekuwa biashara kubwa. Hali hiyo inaathiri jamaa zetu ambao, kama nilivyosema hapo awali, ni ndugu zetu wa dini ya Kiislamu. Wengi wa wale ninaowakilisha ni Waislamu. Hii ni kumaanisha kwamba si rahisi mtoto wa Kiislamu kupata cheti cha kuzaliwa ikilinganishwa na mtoto wa Kikristo. The electronic version of the Senate ... view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus