Stewart Mwachiru Shadrack Madzayo

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 1671 to 1680 of 2266.

  • 19 Mar 2019 in Senate: Ni aibu kumtaka mtoto ambaye wazazi wake ni Wakenya alete cheti cha kuzaliwa cha babu yake. Kwa nini mtu atake cheti cha kuzaliwa cha nyanya yangu? Ni sawa ukitaka nikuletee cheti cha kuzaliwa cha mamangu na babangu, lakini sio vizuri kuanza kuulizwa aliyemzaa babu yako ni nani na anatoka wapi. Sisi sote sio wenyeji wa nchi ya Kenya. Historia inatuonyesha kwamba watu wengi walikuja wakakutana hapa, na sote sasa ni watu tunaoishi katika nchi ya Kenya. Kwa hivyo, ni makosa kwa serikali yetu kufanya biashara kwa kutumia cheti cha kuzaliwa. Ukienda kutafuta cheti, utaambiwa ulipe Kshs100 au Kshs200 na usipokuwa ... view
  • 19 Mar 2019 in Senate: Ndugu yangu anasema ya kwamba kunaitwa kichochoroni, lakini sio kichochoroni; ni kule mashambani. Itakuwa matusi kama mimi nitapewa cheti, na mtu mwingine ambaye amezaliwa huko hawezi kupewa kwa sababu ya dini yake. Itakuwa makosa kwa sababu Katiba yetu inasema ya kwamba usimbague mtu kwa sababu ya dini, rangi au mahali anapozaliwa. Ikiwa mtu huyo anatetewa na Katiba, sioni sababu ya wafanyikazi katika ofisi zile kuleta shida. Tulipokuwa na shambulizi katika DusitD2, Wakenya waliwatetea wale ambao walikuwa pale. Hatukubaguana kwa msingi wa ukristo ama uislamu; na hatukusema ya kwamba, “Huyu hana dini ama ni Muhindi.” Wakenya walijitokeza na kuhakikisha ya kwamba ... view
  • 19 Mar 2019 in Senate: Ahsante sana, Bw Naibu Spika. Naona huyo ambaye yuko na wewe anakunung’unizia. Kama hajui Kiswahili ama anakielewa lakini hawezi kutafakari vile inavyotakikana, asije hapo akakuambia ya kwamba, “Wakati wake huyu umekwisha.” view
  • 19 Mar 2019 in Senate: Bw Naibu Spika, nashukuru kwa muda ulionipa. Ndugu yangu Sen. Cheruiyot ni mdogo wangu, na ninampenda. Yeye ni Seneta wa Kericho, na pia anaangalia masilahi yetu hapa ndani ya Bunge kama kamishna. view
  • 19 Mar 2019 in Senate: On a point of order, Mr. Deputy Speaker, Sir. view
  • 19 Mar 2019 in Senate: Bw. Naibu Spika, kulenga na kuangalia juu ni maneno mawili tofauti. Sio haki kwa Seneta wa Kaunti ya Mombasa, ambaye ni ndugu yangu mdogo, The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate. view
  • 19 Mar 2019 in Senate: kutumia neno ambalo sio sahihi. Sio haki kwake kusema maneno haya ni sawa mbele ya wanafunzi kutoka Kaunti ya Makueni, ambao Seneta wao yuko hapa, na amesifiwa kwa kuvaa vizuri. Haya maneno mawili ni tofauti kabaisa. Mfano hawa watoto wa Kaunti ya Makueni watakaouiga ni wa Sen. Mutula Kilonzo Jnr., Seneta wa Makueni. view
  • 19 Mar 2019 in Senate: Shukrani Bi. Spika wa Muda. Ni jambo la aibu sana kwa nchi yetu ya Kenya na Serikali ya Kenya, kwamba, leo Mkenya anaweza kufa kwa sababu ya baa la njaa. Taifa la Israeli linaweza kuenda mahali popote katika ulimwengu kuona ya kwamba, yule mwnanchi wa Israeli ambaye anapata shida ya aina yeyote, mojawapo The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate. view
  • 19 Mar 2019 in Senate: ikiwa ni chakula - na wao wanaishi katika jangwa huko Israeli - hakuna anayepoteza maisha. Ilhali sisi udongo wetu ni udongo ambao unaweza kuleta chakula na tukapata chakula kingi na hatuoni ni kwa sababu gani, ndani ya nchi yetu ya Kenya, kwamba Mkenya anaweza kupoteza maisha yake kule Turkana. Bi Naibu Spika wa Muda, hatuulizi ya kwamba sisi kama wakenya, hatubahatishi, ama hatuwezi kusema ya kwamba tuna bahati ya kuishi Kenya ama tunaomba tuishi Kenya, ili tufe. Hao hao mabwanyenye ambao wanafanya mambo ya ufisadi, ndio hao hao, hivi sasa wenye mabloki ya mafuta uko; sijui yanaitwa Ngamia block, wamerurumana ... view
  • 19 Mar 2019 in Senate: Sawa nimekubali kukosolewa hapo. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus