Stewart Mwachiru Shadrack Madzayo

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 1681 to 1690 of 2266.

  • 19 Mar 2019 in Senate: Bi Spika wa Muda, ni sawa makamu wa Rais ikiwa anafanya jambo kama hilo, ninampa kongole kwa kufanya hivyo, lakini hiyo imekuja muda baada ya watu wameshapata hasara ya maisha na wengine wamekufa. Angechukua hiyo hatua The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate. view
  • 19 Mar 2019 in Senate: hapo awali kuweza kutekeleza wajibu wa kuona ya kwamba maisha ya Mkenya hayatapotea. Vile vile, ninataka kusema ya kwamba, huu ukorofi wa mambo ya Galana Kulalu; tuliua Galana Kulalu ambapo sisi tuliweza kuweka pesa nyingi ndani yake kuona ya kwamba kila Mkenya---. view
  • 19 Mar 2019 in Senate: Asante ndugu yangu Sen. Malalah kwa kuwa wakili wangu. Umenisaidia sana. Wafisadi walioshiliki katika mradi wa Galana-Kulanu ndio wamefanya Kilifi Kaunti iwe na njaa. Hao ndio wamepeleka ufisadi katika Kaunti za Turkana na Baringo na hatimaye watu wamepoteza maisha. Kwa hivyo, mimi namuunga mkono ndugu yangu, Sen. Wetangula, kwa kuleta taarifa kama hii Bungeni. Namshukuru sana. view
  • 13 Mar 2019 in Senate: Ahsante, Bw. Spika. Sen. (Dr.) Ali ni ndugu yangu na rafiki yangu. Tusiweze kuwa na sintofahamu kwa sababu hivyo ndivyo anavyo ongea akiwa kule anakotoka. Sio hasira ama kutukana mtu. Hiyo amesema ni sawasawa kabisa. view
  • 13 Mar 2019 in Senate: Hoja ya nidhamu, Bw. Spika. Hili ni Bunge ambalo tunaweka stakabadhi ya yote yanayosemwa hapa. Itakuwa hatari kubwa kwa mmoja wetu hapa kusema kwamba kuna mmoja wa magavana---. view
  • 13 Mar 2019 in Senate: Bw. Spika, yuko chama fulani ambacho amekitaja hapa; cha Jubilee, ambaye ameshindwa kutekeleza vile anavyotakikana kupeleka madawa katika hospitali. Hiyo hoja ni muhimu sana na itakuwa matusi kwa Wakenya ikiwa hatuwezi kuambiwa ni gavana yupi. view
  • 13 Mar 2019 in Senate: Ni nani huyo? Hilo ndilo swali tunalotaka kuuliza. Ni nani huyo? Atoboe hapa hapa. view
  • 13 Mar 2019 in Senate: Aseme hapa ili tupate kujua kinaga ubaga. view
  • 13 Mar 2019 in Senate: Asante sana, Bw. Spika kwa kunipa nafasi hii. Pia, nataka kuunga mkono taarifa ambayo imetolewa na Sen. Mutula Kilonzo Jnr. view
  • 13 Mar 2019 in Senate: Kwanza, natoa rambirambi kwa familia za watu wote ambao waliathiriwa na ajali hiyo ya ndege. Kuna Wakenya na watu wengine kutoka mataifa mbalimbali ambao walipoteza wapendwa wao katika ajali hiyo ya ndege. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus