Stewart Mwachiru Shadrack Madzayo

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 1971 to 1980 of 2266.

  • 26 Apr 2016 in Senate: Asante, Bw. Naibu Spika wa Muda. Pia, mimi natoa rambirambi zangu binafsi na familia yangu, watu wa Kaunti ya Kilifi na vile vile watu wa Shirika la Wakulima nchini Kenya – Agricultural Society of Kenya. Pole kubwa kwa Mzee Kibaki na familia yake kwa kumpoteza mama wa tatu wa taifa katika Jamhuri yetu ya Kenya, Mama Lucy Kibaki. Tunaomba Mwenyezi Mungu ampe Mzee Kibaki na familia yake faraja, ili kukabiliana na msiba huu mkubwa uliompata. Watu wa Kilifi tunasema pole sana kwa Mzee Kibaki. Nilimfahamu Mama Lucy Kibaki nilipokuwa Mwenyekiti was Shirika la Wakulima Nchini. Wakati mwingi alipokuwa na uzito ... view
  • 20 Apr 2016 in Senate: Asante, Bw. Spika wa Muda, kwa kunipa nafasi hii ili nichangie Mswada huu wa kupambana wa madawa ya kusisimua misuli. Ningependa kuwapongeza na kuwapa heko ndugu zetu, wanamichezo, wote katika nchi hii. Inajulikana ulimwenguni kwamba Kenya inajivunia riadha. La muhimu zaidi pia ni kuwapongeza wachezaji wetu wa mchezo wa raga ambao una wachezaji saba kila upande. Nawapongeza sana kwa ushindi walioletea taifa letu la Kenya. Wachezaji hao wanafaa kuigwa na vijana wetu wote kwa kushinda timu ya Fiji na kuiletea sifa nchi yetu katika mchezo wa raga. Si vyema kuona Serikali yetu ya Jubilee ikishurutishwa na kitengo kinachosimamia mambo ya ... view
  • 19 Apr 2016 in Senate: Mr. Speaker, Sir, it is in the public domain or common knowledge that the Kenya Airways has been making losses for a long time. What particular action has been taken against the former management that actually led to these losses before the new management came in? What kind of prosecution or action has been taken by the Government in making sure that the management is held to account and, moreso, people like Mr. Titus Naikuni, who was the Chief Executive Officer (CEO) at that time? view
  • 22 Mar 2016 in Senate: Asante, Bw. Spika wa Muda kwa kunipa nafasi hii. Kwanza, namshukuru yule aliyechapisha Mswada huu na kuuleta katika Bunge ili tuweze kujadiliana. Mswada huu ni muhimu sana kwa watu wa Pwani na pengine watu wa Nyanza kwa sababu wao pia wana Ziwa Victoria. Bw. Spika wa Muda, Mswada huu unazingatia zaidi uvuvi na kuangalia hali ya samaki itakayoleta faida katika nchi yetu. Kwanza, tunashukuru kwa sababu kwa miaka mingi, watu wa Pwani wametegemea uvuvi ili kuishi. Uvuvi ni kama chakula kwa watu wa Pwani. Sisi huwa tunapata chakula kutokana na uvuvi. Pia, tunafurahia tunapoangalia bahari na kuona kweli hatukumuomba Mwenyezi ... view
  • 22 Mar 2016 in Senate: Tuko na msemo kule kwetu unaosema: “Wavuvi wa pweza hukutana mwambani.” Maana ya msemo huu ni kwamba hata tukifanya nini sisi ni watu wa pwani, tutakutana mwambani tujue faida za uvuvi wa pweza. Mswada huu unapendekeza kuundwa kwa shirika ambalo litahakikisha kuwa wavuvi wanapata faida. Kwanza, tunajua kwamba vitu kama ngozi ya samaki wale wakubwa vina manufaa. Samaki kama papa na nguru pia wana faida yao kwa sababu nyama yao ikiuzwa, mvuvi anafaidika. Ulimwenguni kuna utalii wa aina tofauti. Kuna utalii wa kwenda baharini na hata wa mbuga za wanyama. Utalii unaofanyika Pwani ni wa baharini ambapo kuna mashindano ya ... view
  • 16 Mar 2016 in Senate: Asante Bi Spika wa Muda kwa nafasi hii. Nashukuru kwa wafanyakazi wa Bunge la Kaunti ya Kilifi kufika hapa ili kujifundisha jinsi kazi inavyo endelea katika Bunge hili la Seneti. Bunge letu la Kaunti liko Malindi. Ningependa kuwashukuru watu wa Malindi kwa ushujaa wao waliouonyesha wakati wa uchaguzi mdogo wa juzi. Walionyesha msimamo wao na kwamba hawatakubali kununuliwa kwa pesa. Mwisho, wafanyakazi hawa wataendelea kujifunza ili wakirudi nyumbani waendeleze shughuli za serikali zetu za ugatuzi. view
  • 16 Mar 2016 in Senate: Asante Bi Spika wa Muda kwa nafasi hii. Nashukuru kwa wafanyakazi wa Bunge la Kaunti ya Kilifi kufika hapa ili kujifundisha jinsi kazi inavyo endelea katika Bunge hili la Seneti. Bunge letu la Kaunti liko Malindi. Ningependa kuwashukuru watu wa Malindi kwa ushujaa wao waliouonyesha wakati wa uchaguzi mdogo wa juzi. Walionyesha msimamo wao na kwamba hawatakubali kununuliwa kwa pesa. Mwisho, wafanyakazi hawa wataendelea kujifunza ili wakirudi nyumbani waendeleze shughuli za serikali zetu za ugatuzi. view
  • 16 Mar 2016 in Senate: Madam Temporary Speaker, the distinguished Senator who sought that Statement is not in. The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposes only. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate view
  • 16 Mar 2016 in Senate: Madam Temporary Speaker, the distinguished Senator who sought that Statement is not in. The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposes only. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate view
  • 16 Mar 2016 in Senate: I am sorry, Madam Temporary Speaker, I was looking at a different copy. We had a discussion with the Senator who sought this Statement and I told her I am not comfortable with the response that I had received from the Ministry, in view of the fact that the figures that were given, and given the fact that the Youth Enterprise Fund management board had been suspended, we are not sure whether the figures given are correct. I had told her that I had contacted the Ministry responsible to confirm whether the figures stated are the same ones that caused ... view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus