Stewart Mwachiru Shadrack Madzayo

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 1961 to 1970 of 2266.

  • 31 May 2016 in Senate: Madam Temporary Speaker, first and foremost, I would like to thank all my colleagues who have contributed to this Bill. I beg to lay the following Paper on the Table of the Senate:- The Report of the Standing Committee on Labour and Social Welfare on the Anti- Doping (Amendment) Bill (National Assembly Bill No.17 of 2016). view
  • 3 May 2016 in Senate: Bw. Spika wa Muda, asante kwa kuniita kwa majina hayo yote ambayo nayakubali kabisa. Asante kwa kunipa nafasi hii ili niweze kuchangia Mswada huu unaohusu walemavu. Kama tunavyojua, kila kinachozaliwa hakikosi kasoro.Wengine wetu tulibahatika kazaliwa bila ulemavu.Kuna watu walemavu katika familia nyingi katika taifa la Kenya.Ni lazima tukubali maumbile ya mwenyezi Mungu. Kuna watu wanaozaliwa na ulemavu and wale wanaopata ulemavu kutokana na ajali mbalimbali. Tuko na ndugu zetu kama vile Sen. Leshore, ambaye alizaliwa bila ulemavu lakini alipata ajali iliyomuweka katika hali ya ulemavu. Vile vile, watu wengine hupata ulemavu kutokana na magonjwa mbalimbali. Bw. Spika wa Muda, Serikali ... view
  • 3 May 2016 in Senate: Senate Majority Leader, please reply. view
  • 3 May 2016 in Senate: Hon. Senators, as you may be aware, on Wednesday 4th May, 2016, Sen. Wetangula sought a Statement from the Senate Majority Leader regarding the compensation of Internally Displaced Persons (IDPs). Further, on Thursday, 21st April 2016, the House resolved to invite the Cabinet Secretary for Devolution and Planning through the Sessional Committee on Devolved Government to address the matter. Hon. Senators, I wish to inform you that the Cabinet Secretary for Devolution and Planning has requested to come and address the matter on 25th May, 2016 and not tomorrow as earlier communicated. Thank you. view
  • 3 May 2016 in Senate: What is your point of order, Sen. M. Kajwang? view
  • 3 May 2016 in Senate: Very well. As I communicated earlier, the Cabinet Secretary for Devolution and Planning has indicated that he will be available on 25th May, 2016 and not tomorrow. I will endeavor to get an explanation as to why he is not able to come tomorrow. Hon. Senators, we will defer Order Nos.13, 14 and 15. view
  • 3 May 2016 in Senate: Order, Senators. I defer Order Nos.16, 17, 18 and 19. THE NATIONAL HOSPITAL INSURANCE FUND (AMENDMENT) BILL (SENATE BILL NO.9 OF 2015) view
  • 3 May 2016 in Senate: The electronic version of theSenate Hansard Report is for information purposes only. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate. view
  • 3 May 2016 in Senate: There being no other Business, the Senate now stands adjourned until Wednesday, 4th May, 2016, at 2.30 p.m. The Senate rose at 5.55 p.m. The electronic version of theSenate Hansard Report is for information purposes only. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate. view
  • 27 Apr 2016 in Senate: Bw. Spika, kwa mujibu wa Kifungu 45 (2) (b) cha Kanuni za Seneti, naomba taarifa kutoka kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Kilimo kuhusu mtambo wa korosho wa Shirika la Kenya Cashew Nuts Limited. Katika taarifa hiyo ningependa Mwenyekiti wa Kamati kueleza:- (1) Je, ni kwanini mtambo wa shirika la Kenya Cashew Nuts Limited uliokuwa kwa mikono ya vyama vya ushirika wa ukulima wa zao la korosho katika Kaunti ya Kilifi ulipewa kampuni ya Millennium Management Limited? (2) Je, ni nani aliyechukuaa asilimia 35 ya hisa walizokuwa nazo wakulima wa korosho wa Kaunti ya Kilifi kwenye shirika la Kenya ... view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus