Stewart Mwachiru Shadrack Madzayo

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 1941 to 1944 of 1944.

  • 3 Jul 2013 in Senate: Asante sana, Bi. Spika wa Muda, kwa kunipatia nafasi nichangia Hoja hii. Pia ningetaka kuchukua nafasi hii kumshukuru Sen. Obure kwa kuleta Hoja hii inayowahusu wafanyakazi. Kama sote tunavyojua, mfanyakazi ni mtu muhimu sana katika uendelezaji wa uchumi wa nchi yetu. Lakini ni jambo la kusikitisha tukiona kwamba baada ya mfanyakazi kustaafu anapatikana barabarani, ofisini na nyumbani za marafiki akiomba omba ili apate namna ya kuweza kujikimu kimaisha. Ningetaka kuhimiza mapato ambayo yanapewa na mahakama yalipwe mara moja kwa sababu ni haki ya mfanyikazi. Mfanyakazi aliyefanya kazi au kwa bahati mbaya amepoteza kazi yake, ni sharti alipwe ikiwa mahakama imeamua ... view
  • 3 Jul 2013 in Senate: On a point of information, Madam Temporary Speaker. His Excellency the President referred to children joining class one and not those that are one year old. view
  • 24 Apr 2013 in Senate: Asante, Bw. Spika, kwa kunipa nafasi hii. Kwanza, ningependa kuwashukuru watu wa Kilifi Kaunti kwa kunichagua kama Seneta wao wa kwanza. La pili, pia vile vile ningependa kukupongeza kwa kuchaguliwa kama Spika wa Seneti. Pia, ningependa kuwapongeza Maseneta wenzangu kwa kuchaguliwa kuwa Maseneta. Katika Hotuba ya Rais, alizungumzia kuhusu kutofautiana kwa maoni na kuheshimiana. Ningependa kuongea juu ya mambo ya utalii. Ile Kaunti ambayo ninawakilisha hapa Seneti ina hoteli nyingi kuanzia Mtwapa mpaka Tana River. Hoteli hizo hutembelewa na watalii wanaotoka katika sehemu nyingi sana za nchi za ng’ambo. Watalii wanaokuja katika nchi yetu, baadhi ya wale wanaotembelea mbuga za ... view
  • 24 Apr 2013 in Senate: Asante, Bw. Spika. Naunga mkono. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus