Mohamed Faki Mwinyihaji

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 1221 to 1230 of 2123.

  • 22 Sep 2021 in Senate: Wengi waliotangulia wamejaribu kulaumu mapatano baina ya Rais Uhuru Kenyatta na Mhe. Raila Odinga. Lakini Hoja kama hii hausiani na majukumu ya waliowengi na waliowachahe katika Bunge hili. Mbunge ama Seneta yeyote alikuwa na uwezo na fursa ya kuleta Hoja hii katika Seneti na ingejadiliwa vilivyo. Bw. Spika wa Muda, mengi yamezungumzwa kuhusiana na utovu wa nidhamu wa Mawaziri hao kwa kupuuza kikao cha Bunge ambacho kilikuwa kimeitwa rasmi na mwongozo wa Spika ambao aliutoa wiki iliyopita. Yamezungumzwa kwamba ipo haja ya mawaziri hawa kulaumiwa kwa kukosa kuja katika kikao cha Bunge ambacho kilikuwa kimeitwa hususan kujadili kuongezeka kwa bei ... view
  • 22 Sep 2021 in Senate: The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate. view
  • 22 Sep 2021 in Senate: The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate. view
  • 22 Sep 2021 in Senate: Bw. Spika wa Muda, swali la kuuliza ni je Waziri wanapotangaza hizi nyongeza kila tarehe 15, wameweza kufanya ushauriano na wananchi ama mashirika yale ambayo yanahusika na bei za petroli katika nchi yetu ya Kenya na matumizi ya petroli hiyo? Naunga mkono Mswada huu. Hili liwe funzo kwa Mawaziri ambao wanapuuza mwito wa Seneti. Ni lazima hatua kali lichukuliwe. Asante kwa kunipa fursa hii. view
  • 22 Sep 2021 in Senate: Bw. Spika wa Muda, swali la kuuliza ni je Waziri wanapotangaza hizi nyongeza kila tarehe 15, wameweza kufanya ushauriano na wananchi ama mashirika yale ambayo yanahusika na bei za petroli katika nchi yetu ya Kenya na matumizi ya petroli hiyo? Naunga mkono Mswada huu. Hili liwe funzo kwa Mawaziri ambao wanapuuza mwito wa Seneti. Ni lazima hatua kali lichukuliwe. Asante kwa kunipa fursa hii. view
  • 16 Sep 2021 in Senate: Thank you, Mr. Speaker, Sir, for giving me this opportunity. These regulations have not been officially gazetted. What was gazetted was a proposed regulation. Even the Petitioners say that the regulations are being proposed. Mr. Speaker, Sir, Paragraph 9 says: “Special attention is drawn to the Legal Notice No.168 in which the CS in charge of Water, Sanitation and Irrigation has published the proposed Water Resources Regulations (2021), whose proposal provides significant changes in the obligations of water users and particularly in increasing the nominal cost of obstruction of water from various sources.” Mr. Speaker, Sir, the regulations have not ... view
  • 16 Sep 2021 in Senate: The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate. view
  • 16 Sep 2021 in Senate: In the event that they do not get that opportunity, when the regulations are laid before the House and committed to the Committee on Delegated Legislation, they can also make presentations before that Committee and they will be considered. Therefore, the regulations either annulled or returned back to the Ministry will have their input having been considered. At this point in time, I do not want to preclude the Committee from considering them, but we will be considering regulations that have not been officially gazzetted and laid before the House in accordance with Section 5 of the Statutory Instruments Act, ... view
  • 15 Sep 2021 in Senate: Thank you, Mr. Speaker, Sir. I rise, pursuant to Standing Order 48 (1), to seek a Statement from the Standing Committee on National Security, Defence and Foreign Relations regarding the rise in cases of abductions, detention and forced disappearance of people the Country, in general, and in Mombasa County, in particular. In the statement the Committee should- (1) Explain the whereabouts of businessman Mr. Abdulhakim Sagar, who was abducted by national security agents in Old Town area of Mombasa County on 18th August, 2021, allegedly for sponsoring terrorism; (2) State why Mr. Sagar has not been presented before any court ... view
  • 15 Sep 2021 in Senate: Thank you, Mr. Speaker, Sir. I rise, pursuant to Standing Order 48 (1), to seek a Statement from the Standing Committee on National Security, Defence and Foreign Relations regarding the rise in cases of abductions, detention and forced disappearance of people the Country, in general, and in Mombasa County, in particular. In the statement the Committee should- (1) Explain the whereabouts of businessman Mr. Abdulhakim Sagar, who was abducted by national security agents in Old Town area of Mombasa County on 18th August, 2021, allegedly for sponsoring terrorism; (2) State why Mr. Sagar has not been presented before any court ... view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus