Shariff Athman Ali

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 311 to 320 of 515.

  • 7 Mar 2023 in National Assembly: Hawajui wanaowaua ni nani? Kwa nini watu wetu wakimbie na wateswe kwa sababu ya AlShabaab na kumbe kuna kiongozi anayejua wanavyouawa? Nimefurahia hili ombi. Hata mimi itabidi niifanye iwe kauli au dua ili Serikali ituambie ni nani anawaua watu Lamu. Hilo ni jambo ambalo limetatiza watu sana. Siku nyingi tumekuwa tukifikiri ni Al Shabaab kumbe siyo wao bali ni mambo ya ardhi. Aliyoyasema Kiongozi wa Wengi Bungeni, inamaanisha anawajua wanaowaua watu huko Lamu Kaunti. Na itakuwa vizuri kuwataja kwa sababu imetutatiza sana. Kule, tunategemea utalii. Watalii sasa hawakuji maana kuna askari wengi na msafara wa magari mengi. Wakikuja kama watalii ... view
  • 7 Mar 2023 in National Assembly: Ahsante, Mhe. Naibu Spika. Swali hili limengojewa sana, mpaka wenyewe wamekuja hapa. Dadangu ambaye ni rafiki yangu, Thweba, amekuja kuona vile nitauliza Swali hili kwa sababu wao wanaathiriwa sana. view
  • 7 Mar 2023 in National Assembly: Hon. Deputy Speaker, I rise to ask the Cabinet Secretary for Information, Communication and the Digital Economy the following Question: (a) Could the Cabinet Secretary explain why the people of Siu, Shanga and Mkokoni in Lamu East Constituency are suffering from digital exclusion by not being connected to the mobile phone network? (b) Could the Cabinet Secretary further explain why the entire Lamu East Constituency is still served by 2G Network when the rest of the country is on 4G Network and is soon transitioning to 5G Network? (c) What plans does the Ministry have to ensure that Siu, Shanga ... view
  • 7 Mar 2023 in National Assembly: Thank you, Hon. Deputy Speaker. view
  • 21 Feb 2023 in National Assembly: Asante, Spika wa Muda kwa kunipatia nafasi nichangie jambo hili la masomo ya CBC . Jambo lolote jipya hupata upinzani. Kwa hakika, CBC iko na mapungufu mengi – mapungufu ya upande wa walimu, upande wa wazazi, na kwa majengo kwenye junior secondary school. Tena mapungufu yamezidi kwenye maeneo Bunge mengine. Maeneo Bunge kama Lamu ni visiwa. Hata kama kina wanafunzi wachache, kisiwa ni lazima kiwe na shule na walimu. Ukisema unawatoa wanafunzi kwa kisiwa kizima uwapeleke kwingine, ni shida kwa sababu usafiri ni taabu. Walioanzisha CBC hawakuzifikiria sehemu nyingine. Hatusemi CBC ni mbaya, lakini kuna sehemu haiwezekani. CBC ina uzuri ... view
  • 21 Feb 2023 in National Assembly: Haya mahangaiko tuliyonayo sasa pia yatarudi vile vile. Ikiwa itawezekana, tushirikiane tuweke Bajeti tuongezee walimu wapatikane zaidi. Kama alivyosema Mbunge The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor. view
  • 21 Feb 2023 in National Assembly: mwenzangu, Mhe. Nyikal, saa zingine utaona hapa hata hizi sheria zinawekwa hazifanyi kwingine. Hizo sheria ziliwekwa ni nyingi. Sheria ingine inasema eti ni lazima walimu wawe na gredi ya C+ ambayo ni masikitiko katika Eneo Bunge langu. Hata tunaweza kuisema kama ni janga la kitaifa, kwa sababu sisi tulipata alama ya B- moja katika Eneo Bunge nzima. Tuna alama za C plain mbili. Nilipata shule hazina mikakati ya watoto kusoma. Sasa sheria zikitungwa hivyo na CBC iwekwe na haijaangalia mtu wa Lamu Mashariki, atafanya vipi? Atapata walimu kutoka wapi? Huwa ni changamoto. view
  • 21 Feb 2023 in National Assembly: Kwa hivyo, nawasihi wenzangu hapa kuna kazi. Nilazima tufikirie kama viongozi ili tupate suluhisho. Ahsante, Mhe. Spika wa Muda. view
  • 30 Nov 2022 in National Assembly: Ahsante, Mheshimiwa Spika kwa kunipatia nafasi hii ya kuchangia swala hili la janga la ukatili wa kijinsia. Kwa hakika, tunajua kuwa janga hili lipo na limekuwa donda sugu. Watu wengi wamepitia shida hizi na Serikali imetumia njia nyingi kujaribu kupigana na janga hili lakini bado hatujafikia pale tunapotakikana kuwa. Kila kituo cha polisi kinapaswa kiwe na kitengo ambacho kinahudumia mambo ya kijinsia lakini hadi sasa, vitengo hivi havijakuwa na nguvu za kusaidia zaidi. Wamejaribu lakini tunaomba wapewe nguvu zaidi ili tuwe na polisi wa kike watakaokuwa kwenye vitengo hivi ili wasaidie akina mama ambao wanakumbwa na shida hizi za ukatili ... view
  • 17 Nov 2022 in National Assembly: Ahsante Mhe. Naibu Spika kwa kunipatia nafasi. Moja kwa moja ningependa kupongeza wote tisa waliochaguliwa. Ninawapongeza sana Mhe. Shahbal, Omar na wengine wote. Hapa usawa umefanyika. Vyama vimewakilishwa vizuri, hata walemavu wamewakilishwa kwa hivyo sasa ni wakati wao wa kufanya kazi. Nilikuwa Mwenyekiti wa Regional Integration Committee Bunge lililopita. Nilikuwa nawaomba sana wale waliochaguliwa, ndugu zetu mliochaguliwa, wakienda wajue kuna kazi nyingi. Jumuiya hii iko na taasisi karibu kumi. Katika taasisi hizi kuna mambo mengi ambayo wanafaa kwenda kuyafanya. Taasisi ya kwanza ni Community Civil Aviation Safety and Security Oversight Agency (CASSOA), East African Community Competition Authority (EACA), East African ... view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus