Shariff Athman Ali

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 311 to 320 of 512.

  • 7 Mar 2023 in National Assembly: Thank you, Hon. Deputy Speaker. view
  • 21 Feb 2023 in National Assembly: Asante, Spika wa Muda kwa kunipatia nafasi nichangie jambo hili la masomo ya CBC . Jambo lolote jipya hupata upinzani. Kwa hakika, CBC iko na mapungufu mengi – mapungufu ya upande wa walimu, upande wa wazazi, na kwa majengo kwenye junior secondary school. Tena mapungufu yamezidi kwenye maeneo Bunge mengine. Maeneo Bunge kama Lamu ni visiwa. Hata kama kina wanafunzi wachache, kisiwa ni lazima kiwe na shule na walimu. Ukisema unawatoa wanafunzi kwa kisiwa kizima uwapeleke kwingine, ni shida kwa sababu usafiri ni taabu. Walioanzisha CBC hawakuzifikiria sehemu nyingine. Hatusemi CBC ni mbaya, lakini kuna sehemu haiwezekani. CBC ina uzuri ... view
  • 21 Feb 2023 in National Assembly: Haya mahangaiko tuliyonayo sasa pia yatarudi vile vile. Ikiwa itawezekana, tushirikiane tuweke Bajeti tuongezee walimu wapatikane zaidi. Kama alivyosema Mbunge The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor. view
  • 21 Feb 2023 in National Assembly: mwenzangu, Mhe. Nyikal, saa zingine utaona hapa hata hizi sheria zinawekwa hazifanyi kwingine. Hizo sheria ziliwekwa ni nyingi. Sheria ingine inasema eti ni lazima walimu wawe na gredi ya C+ ambayo ni masikitiko katika Eneo Bunge langu. Hata tunaweza kuisema kama ni janga la kitaifa, kwa sababu sisi tulipata alama ya B- moja katika Eneo Bunge nzima. Tuna alama za C plain mbili. Nilipata shule hazina mikakati ya watoto kusoma. Sasa sheria zikitungwa hivyo na CBC iwekwe na haijaangalia mtu wa Lamu Mashariki, atafanya vipi? Atapata walimu kutoka wapi? Huwa ni changamoto. view
  • 21 Feb 2023 in National Assembly: Kwa hivyo, nawasihi wenzangu hapa kuna kazi. Nilazima tufikirie kama viongozi ili tupate suluhisho. Ahsante, Mhe. Spika wa Muda. view
  • 30 Nov 2022 in National Assembly: Ahsante, Mheshimiwa Spika kwa kunipatia nafasi hii ya kuchangia swala hili la janga la ukatili wa kijinsia. Kwa hakika, tunajua kuwa janga hili lipo na limekuwa donda sugu. Watu wengi wamepitia shida hizi na Serikali imetumia njia nyingi kujaribu kupigana na janga hili lakini bado hatujafikia pale tunapotakikana kuwa. Kila kituo cha polisi kinapaswa kiwe na kitengo ambacho kinahudumia mambo ya kijinsia lakini hadi sasa, vitengo hivi havijakuwa na nguvu za kusaidia zaidi. Wamejaribu lakini tunaomba wapewe nguvu zaidi ili tuwe na polisi wa kike watakaokuwa kwenye vitengo hivi ili wasaidie akina mama ambao wanakumbwa na shida hizi za ukatili ... view
  • 17 Nov 2022 in National Assembly: Ahsante Mhe. Naibu Spika kwa kunipatia nafasi. Moja kwa moja ningependa kupongeza wote tisa waliochaguliwa. Ninawapongeza sana Mhe. Shahbal, Omar na wengine wote. Hapa usawa umefanyika. Vyama vimewakilishwa vizuri, hata walemavu wamewakilishwa kwa hivyo sasa ni wakati wao wa kufanya kazi. Nilikuwa Mwenyekiti wa Regional Integration Committee Bunge lililopita. Nilikuwa nawaomba sana wale waliochaguliwa, ndugu zetu mliochaguliwa, wakienda wajue kuna kazi nyingi. Jumuiya hii iko na taasisi karibu kumi. Katika taasisi hizi kuna mambo mengi ambayo wanafaa kwenda kuyafanya. Taasisi ya kwanza ni Community Civil Aviation Safety and Security Oversight Agency (CASSOA), East African Community Competition Authority (EACA), East African ... view
  • 15 Nov 2022 in National Assembly: Hon. Temporary Speaker, thank you for giving me this opportunity to ask the Cabinet Secretary for Roads, Transport and Public Works the following Question: (i) Could the Cabinet Secretary outline the Government policy measures being undertaken to develop marine transport in the country, and particularly in Lamu County? (ii) What immediate plans has the Ministry put in place to provide modern marine transport facilities such as ferries, among others, to Lamu residents and tourists? (iii) What policy measures are in place to facilitate private enterprises to develop marine transport facilities in the country, and in Lamu County in particular? view
  • 12 Oct 2022 in National Assembly: Hon. Deputy Speaker, I already have the microphone. view
  • 12 Oct 2022 in National Assembly: Asante Naibu Spika kwa kunipa nafasi hii ili nami niweze kuchangia Mswada huu muhimu wa ukame kuwa janga la kitaifa. The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus