18 Sep 2019 in National Assembly:
Itakuwa vyema wakati kila jambo linaanza liwe na utaratibu. Linapoanza na makosa basi hata huko mbele mambo mengi yataenda mrama. Ni dharura kubwa kwa nchi hii kuangazia mwelekeo na mwongozo wa wananchi wake hususan vijana hapa nchini kwa sababu namna inavyoenda ni kwamba wengi wamekosa imani kabisa na nchi yao. Unapata wengine wanafanya mambo ambayo hayastahili, wengine wanajiingiza katika mambo mabaya na tabia ambazo si njema katika jamii. Kwa hivyo, kuna dharura kubwa hapa nchini ya kuweza kuangazia na kuwa na mipangilio kamilifu katika suala hili kwa wananchi na jamii.
view
18 Sep 2019 in National Assembly:
Kwa hayo machache, naunga mkono Mswada huu. Asante.
view
10 Sep 2019 in National Assembly:
Thank you, Hon. Speaker. Pursuant to the provisions of Standing Order No. 42A, I wish to ask the CS for Transport, Infrastructure, Housing, Urban Development and Public Works:
view
10 Sep 2019 in National Assembly:
(i) What is the status of compensation to persons affected by the acquisition of land for the development of the Lamu Port – South Sudan – Ethiopia - Transport (LAPSSET) Corridor Project in Lamu?
view
10 Sep 2019 in National Assembly:
(ii) What plans has the Ministry put in place to ensure that the affected persons in Kwasasi Area in Lamu East Constituency are compensated?
view
10 Sep 2019 in National Assembly:
Thank you, Hon. Speaker.
view
19 Jun 2019 in National Assembly:
Mhe. Naibu Spika wa Muda, ni “Lamu East”, na si “Amu”. Kwanza, ningependa kumpongeza Mhe. Osoro kwa kuleta Hoja hii hapa Bungeni. Kwa kweli suala la barabara ni suala nyeti sana. Tunazungumzia uchumi nzima wa nchi. Kwa masikitiko makubwa, barabara zetu za Kenya… Kwanza, kabla hatujaingia katika suala la namna tutakavyo fundisha vijana wetu wakiwa shule, barabara zetu ni tofauti na za nchi zingine. Kwa hivyo, hata unapomfundisha mtu kuhusu barabara, zile barabara anazofundishwa na zile anaenda kukumbana nazo ni tofauti. Kitu muhimu ni Serikali kupitia wizara ihakikishe kwamba barabara zetu zimejengwa kulingana na mwelekeo na mwongozo unaotakikakana. Utapata mambo ...
view
13 Mar 2019 in National Assembly:
Thank you, Hon. Temporary Deputy Speaker. I join my colleagues in congratulating Hon. Ruweida, Woman Representative, Lamu County for bringing this important Motion to the House.
view
13 Mar 2019 in National Assembly:
As many Members have spoken, this is one of the silent killing diseases. The effect of the disease is that many Kenyans cannot afford its cost. One must control his or her diet or nutrition if one has the disease. You will agree with me that many communities in the country cannot afford to choose what to eat. At the same time, medication for the disease is very expensive.
view
13 Mar 2019 in National Assembly:
I urge the Government to ….
view