Shariff Athman Ali

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 451 to 460 of 512.

  • 10 Mar 2016 in National Assembly: Bunge linapopitisha masuala kama haya, linatatua matatizo ambayo yapo. Matatizo haya yapo na hayajatatuliwa hususan tukizungumzia Pwani. Mbali na hayo, walikuwa na imani kubwa katika Tume ya Kitaifa ya Ardhi. Mpaka wakati huu, Tume hii bado haijatatua matatizo kwa kisingizio kuwa Wizara ya Ardhi haijawapa mamlaka kamili au inawanyima haki yao ya kufanya kazi. Ikiwa kisingizio hicho kitaendelea kwa namna hii, ina maana kuwa yale malengo ya Wakenya kuipigia Katiba kura yatakuwa hayajapatikana. Tukizingatia muda ambao umepita tangu Wakenya waipigie Katiba kura mpaka leo ambapo Mswada huu umefika Bungeni ili tujadili jinsi tutawasaidia Wakenya kama viongozi na wawakilishi wa kila ... view
  • 9 Mar 2016 in National Assembly: Ahsante Mhe. Naibu Spika wa Muda. Ningependa kuandamana na wenzangu kuunga mkono huu Mswada ambao uko mbele yetu leo. Jambo muhimu ambalo nataka tujiulize ni kwamba umuhimu wa huu Mswada ni nini katika nchi yetu ya Kenya? Ni yapi ambayo tumeweza kuyafaidi ama tumeyaona katika nchi yetu ya Kenya kuhusiana na Mswada huu? view
  • 9 Mar 2016 in National Assembly: Ahsante Mhe. Naibu Spika wa Muda. Ningependa kuandamana na wenzangu kuunga mkono huu Mswada ambao uko mbele yetu leo. Jambo muhimu ambalo nataka tujiulize ni kwamba umuhimu wa huu Mswada ni nini katika nchi yetu ya Kenya? Ni yapi ambayo tumeweza kuyafaidi ama tumeyaona katika nchi yetu ya Kenya kuhusiana na Mswada huu? view
  • 9 Mar 2016 in National Assembly: Kwa kweli kumekuwa na tatizo kubwa katika suala la umeme katika nchi yetu. Tunajua vizuri kwamba kampuni ya Kenya Power and Lighting Company ndiyo iliyokuwa ikishughulika sana na suala hili na wao ndio washikadao katika suala la kusambaza umeme katika nchi yetu ya Kenya. Wachache ndio walikuwa wakipata huduma hii na wengi hawakuwa wakiipata. Kumekuwa na matatizo makubwa sana kwa sababu ukilinganisha na matumizi, utaona kwamba malipo ya huduma hiyo yako juu. Kutokana na hali hii, kumekuwa na utata mkubwa lakini nimeshukuru pakubwa kwamba jambo hili limeweza kusambazwa kwa njia nyingine kiasi kwamba kumekuwa na mashirika mengine ambayo yanasambaza umeme. view
  • 9 Mar 2016 in National Assembly: Jambo ambalo tunahitaji kulizingatia ni kwamba ni lazima kuwe na mwelekeo wa kupunguza umaskini katika nchi yetu. Naamini kwamba umeme utakapokuwepo, viwanda vingi ambavyo vinatumia umeme vitalipa pesa kidogo ili bidhaa kutoka kwa viwanda hivyo ziweze kuuzwa kwa bei nafuu na wananchi wapate huduma ambazo zitawasaidia kujitoa kutoka kwa umaskini. Bidhaa nyingi hivi sasa zimekuwa na bei ya juu kwa sababu zinatumia umeme ambao ni wa bei ya juu sana. Hayo ndiyo matarajio makubwa ambayo tunahitaji kuwa nayo tunapolizingatia suala hili. view
  • 9 Mar 2016 in National Assembly: Kwa kweli kumekuwa na tatizo kubwa katika suala la umeme katika nchi yetu. Tunajua vizuri kwamba kampuni ya Kenya Power and Lighting Company ndiyo iliyokuwa ikishughulika sana na suala hili na wao ndio washikadao katika suala la kusambaza umeme katika nchi yetu ya Kenya. Wachache ndio walikuwa wakipata huduma hii na wengi hawakuwa wakiipata. Kumekuwa na matatizo makubwa sana kwa sababu ukilinganisha na matumizi, utaona kwamba malipo ya huduma hiyo yako juu. Kutokana na hali hii, kumekuwa na utata mkubwa lakini nimeshukuru pakubwa kwamba jambo hili limeweza kusambazwa kwa njia nyingine kiasi kwamba kumekuwa na mashirika mengine ambayo yanasambaza umeme. view
  • 9 Mar 2016 in National Assembly: Jambo ambalo tunahitaji kulizingatia ni kwamba ni lazima kuwe na mwelekeo wa kupunguza umaskini katika nchi yetu. Naamini kwamba umeme utakapokuwepo, viwanda vingi ambavyo vinatumia umeme vitalipa pesa kidogo ili bidhaa kutoka kwa viwanda hivyo ziweze kuuzwa kwa bei nafuu na wananchi wapate huduma ambazo zitawasaidia kujitoa kutoka kwa umaskini. Bidhaa nyingi hivi sasa zimekuwa na bei ya juu kwa sababu zinatumia umeme ambao ni wa bei ya juu sana. Hayo ndiyo matarajio makubwa ambayo tunahitaji kuwa nayo tunapolizingatia suala hili. view
  • 9 Mar 2016 in National Assembly: Ukweli ni kwamba hivi sasa katika nchi yetu, suala la stima linaonekana kuwa afadhali. Nikizungumzia eneo la Bunge langu la Lamu Mashariki, kwa mara ya kwanza tangu tupate The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor. view
  • 9 Mar 2016 in National Assembly: Uhuru, wananchi wa sehemu hii sasa watafurahia kuwa na umeme. Huduma hiyo imepelekwa kule na Serikali ya Jubilee kupitia shirika la Rural Electrification Authority. Hivi karibuni, tutapeana huduma hii kwa wananchi na KP watachukua usukani. Hili ni jambo ambalo Serikali ya Jubilee imeweza kulipea kipaumbele. Hakuna lolote linaloweza kufanyika katika nchi hii ikiwa kutakuwa na matatizo ya stima. Maendeleo mengi yanayofanyika katika nchi yetu na kwote ulimwenguni yanatokana na kuwepo kwa stima. Iwapo tutafanya hivyo, basi, ninaamini kwamba tutaweza kuendelea sana. view
  • 9 Mar 2016 in National Assembly: Ukweli ni kwamba hivi sasa katika nchi yetu, suala la stima linaonekana kuwa afadhali. Nikizungumzia eneo la Bunge langu la Lamu Mashariki, kwa mara ya kwanza tangu tupate The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus