Shariff Athman Ali

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 471 to 480 of 512.

  • 1 Jul 2015 in National Assembly: Wakenya wanaumia. Ni lazima iwapo tumekubaliana kupitisha mambo kama haya, ufuatilizaji na uwajibikaji ni lazima upatikane kwa sababu tunaweza kuyapitisha mambo haya lakini yakabaki vilevile kwamba hayana maana yoyote kama inavyosemwa na wenzangu. Inaonekana ni kama ndoto tunajaribu kupanga hivi sasa. Lakini ninaamini pakubwa hakuna jambo ambalo haliwezekani. Utapata kwamba, kwa mfano, hapa tulipo wakati mmoja palikuwa ni kiwanja tu. Waliofikiria kujenga Jumba hili walikuwa na mpango wakalijenga. Hivi sasa tukisema tutatoa huduma hizi sharti tuhakikishe kwamba kila mmoja amewajibika katika kulitekeleza jambo hili. Hivi sasa tumepeana majukumu ya afya kwa serikali za kaunti. Ingawa hivyo kuna malalamishi mengi.Ni kwa ... view
  • 1 Jul 2015 in National Assembly: Ninaunga mkono Hoja hii. Lakini kubwa ambalo nataka tuangazie kama viongozi ni kuwajibika, kutekelza na kujua kwamba wananchi wa Kenya wanaumia popote walipo kwa ajili ya masuala ya afya. Asante. view
  • 25 Nov 2014 in National Assembly: Ahsante, Mhe. Naibu Spika wa Muda. Kwa kweli swala hili kuzungumzia kwa dakika mbili hata sijui niache kuzungumza ama nizungumze vipi kwa The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor. view
  • 25 Nov 2014 in National Assembly: sababu sisi ni miongoni mwa wale ambao tumeathirika pakubwa katika swala hili. Lakini pengine moja ama mawili ambayo nitazungumzia ni kwamba hivi sasa, nafikiri sote twafahamu ya kwamba hata wale wachezaji katika mpira wakiwa ni wazuri, lakini wanapofanya makosa, lawama zote zinaenda kwa coach . Hali halisi ilivyo katika Kenya yetu kwa maswala ya usalama, imekua ni swala ambalo lazungumzwa kila siku lakini halionekani kupata suluhisho. Ni vyema tukiwa kama viongozi, kama wajumbe, tulitafutie suluhisho jambo hili. Kwa kweli, tulitafutie suluhisho jambo hili. Iwapo tutaliacha kuendelea namna hivi na kulijadili ama kupeana lawama hapa na pale, hatutafika katika zile suluhisho ... view
  • 12 Aug 2014 in National Assembly: Hon. Deputy Speaker, pursuant to Standing Order No.44(2)(c), I wish to request a Statement from the Chairperson of the Departmental Committee on Finance, Planning and Trade regarding the transfer of the Ministry of East African Community, Commerce and Tourism offices from Lamu Town in Lamu County to Malindi Town in Kilifi County. view
  • 6 Aug 2014 in National Assembly: Asante sana, Bw. Naibu Spika wa Muda. Ningependa kupata maelezo kutoka kwa mwenyekiti wa kamati ya utawala na usalama wa kitaifa kuhusu mikakati ambayo Serikali imeweka kuzuia janga jingine kwa kuwa imesema kwamba tatizo hili, ama yale yaliyotokea Mpeketoni, lilitokana na Al Shabaab. Tukizingatia kwamba eneo la Ubunge la Lamu Mashariki linapakana na Somalia pale Kiunga, Serikali imeweka mikakati gani kuhakikisha mpaka ule wa Kiunga umekuwa na usalama? Hii ni kwa sababu tunadhani kwamba Al-Shabaab wanatoka Somalia. Mpaka ule wa Kiunga hivi sasa uko hali gani ya kiusalama? Usalama uko Mpeketoni pekee kwa sababu ya yale yaliyotokea ama Serikali imeweka ... view
  • 10 Jun 2014 in National Assembly: Thank you, hon. Speaker. I wish to request for a Statement from the Chairperson of the Departmental Committee on Defence and Foreign Relations with regard to the Kiunga-Somalia Border. Hon. Speaker, the Operation Linda Nchi that was initiated more than two years ago led to the closure of the Kiunga-Somalia Border, which has still not been re-opened and has affected the economy of the people. It has also been observed that the other The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor. view
  • 10 Jun 2014 in National Assembly: borders which are prone to more insecurity - like Wajir-Somali border, Garissa-Somalia border and others - are still operating. In the Statement, the Chairperson should inquire into and report on:- (i) when that border will be re-opened and allow the resumption of the benefits to the Lamu East constituents similar to the other borders; (ii) plans by the Government to assist the people of Kiunga and the entire region in fishing and agricultural sectors. view
  • 10 Jun 2014 in National Assembly: Hon. Speaker, the people of Somalia used to go fishing in the Somalia areas, but as we speak now, they are not allowed to go there because that border has been closed. They are not allowed to go fishing. So, this issue has really affected them. It is not only the fishing issue, but the border has been closed and so, there is no business going on between the Kiunga-Somalia Border. Other borders, as I said, are operating as usual. view
  • 10 Jun 2014 in National Assembly: No! The Kiunga people used to go fishing in the Somalia areas but, nowadays, they are not allowed to go there as they used to. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus