Stewart Mwachiru Shadrack Madzayo

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 161 to 170 of 2263.

  • 26 Jun 2024 in Senate: Every time we have something like this, we have to see them on the screen. We cannot do this. This is dangerous. view
  • 26 Jun 2024 in Senate: On a point of order, Mr. Speaker, Sir. view
  • 29 May 2024 in Senate: Asante Bw. Naibu Spika. Cha kwanza, naunga mkono Mswada huu ambao unahusu mageuzi ya Tume huru ya kusimamia kura na mipaka katika Kenya. Cha muhimu ni kuwa Mswada huu ulitengenezwa na Kamati ya NADCO na hatimaye, ikaletwa katika Bunge. Tulisikizana ya kwamba, ikitoka katika Bunge la Kitaifa, wataileta katika Bunge la Seneti ili iweze kujadiliwa na kukubaliana. Kwa mda mrefu sana, hii nchi yetu ya Kenya imeketi bila kuwa na Tume ya kusimamia mambo ya kura. Ni jambo la kusikitisha sana kwa sababu hakuna nchi ambayo inaweza kuwa haina tume huru ya kusimamia mambo ya kura. Kwa hivyo, naunga sana ... view
  • 29 May 2024 in Senate: Kipengele cha (d) kinasema kwamba watu watatu watateuliwa kutoka kwenye kamati ya vyama vya kisiasa. Miongoni mwa watu hao watatu, mmoja atatoka katika view
  • 29 May 2024 in Senate: isiyo na Wabunge wengi. Mwingine atatoka katika party ya walio wengi ndani ya Bunge. view
  • 29 May 2024 in Senate: Asante, Bw. Naibu Spika kwa kunisahihisha. Mmoja atatoka chama cha walio wengi na mwingine atatoka chama cha walio wachache. Pia Mswada huu unapendekeza Law Society of Kenya (LSK) kuteua mtu mmoja. Vile vile, kutakuwa na mtu mmoja kutoka Institute of Certified Public Accountants of Kenya (ICPAK). Pia kuna watu wawili watakaoteuliwa na Inter- Religious Council of Kenya (IRCS). Mapendekezo ya kamati ya NADCO yamejumuishwa na sasa tuna Mswada kutoka Bunge la Taifa. Kulingana nami, hii ni sheria ambayo itatoa mwelekeo mzuri katika nchi yetu. Pia Mswada unapendekeza kuteuliwa kwa katibu atakayesimamia jopo hili. Katibu huyo atafanya kazi kwa kandarasi ya ... view
  • 9 May 2024 in Senate: Bw. Spika wa Muda, hili ni jambo la aibu sana katika taifa kwa sababu Bunge haliwezikuwa--- view
  • 9 May 2024 in Senate: Bw. Spika wa Muda, hili ni jambo la aibu sana kutendeka katika Bunge la kitaifa. Hili ni Bunge linalotakikana kuheshimiwa. Hii ni aibu kubwa. Tangu nije hapa kuanzia 2013, hii ni mara ya kwanza kuona kitendo kama hiki kikitendeka ndani ya Bunge hili. Tungependa kujua kwa nini hakuna umeme katika Seneti. Ningependa Kenya Power itueleze kwa nini Bunge halina stima hadi saa hii. Tungependa kujua kama hatujalipa bili ya stima. Hiyo itakukwa aibu kubwa kwa Serikali. Bw. Spika wa Muda, tunataka kuwe na umeme hapa, la sivyo uahirishe kikao hiki kwa muda fulani. view
  • 8 May 2024 in Senate: Bandari FC view
  • 8 May 2024 in Senate: On a point of information, Mr. Temporary Speaker, Sir. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus