8 May 2024 in Senate:
Bw. Spika wa Muda, ningependa kumjulisha ndugu yangu kwamba jina la Gavana wa Mombasa ni Abdulswamad Sherrif Nassir. Amesema jina lingine ambalo halipo.
view
8 May 2024 in Senate:
Bw. Spika wa Muda, najua ndugu yangu anakielewa Kiswahili sana, lakini sio sawa alivyosema kuwa “macho huingia takataka”. Macho huingia vumbi ama mchanga. Akisema macho inaingia takataka, makaratasi yataingia kwenye macho? Je, ni sawa kwa ndugu yangu kusema takataka zinaweza kuingia kwenye macho?
view
30 Apr 2024 in Senate:
Mr. Speaker, Sir, we were discussing and agreed that 10 minutes would be okay.
view
30 Apr 2024 in Senate:
Mr. Speaker, Sir, we were discussing and agreed that 10 minutes would be okay.
view
30 Apr 2024 in Senate:
I have said it earlier that 10 minutes should be quite okay.
view
30 Apr 2024 in Senate:
I have said it earlier that 10 minutes should be quite okay.
view
24 Apr 2024 in Senate:
Bw. Naibu wa Spika, nachukua nafasi hii kama Seneta wa Kilifi nikijua kwamba Waziri aliye hapa ni dada kutoka Kilifi. Sikua nimempa kongole. Kama Seneta wa Kilifi, nampa kongole rasmi kwa kuchaguliwa kama Waziri wa Gender, Culture, the Arts and Heritage. Hio ni nafasi kubwa ambayo watu wa Kilifi walipewa. Namshukuru Mhe. Rais kwa kumchagua dadangu, Hon. Aisha Jumwa. Tumetoka mbali naye. Alikuwa womenrepresentative, kabla ya kuchaguliwa kama Member of Parliament (MP). Amefanya mambo mengi. Nina uhakika anaweza kazi kwa kuwa alikuwa na ujasiri wakati wa kujibu maswali.
view
24 Apr 2024 in Senate:
Bw. Naibu wa Spika, nachukua nafasi hii kama Seneta wa Kilifi nikijua kwamba Waziri aliye hapa ni dada kutoka Kilifi. Sikua nimempa kongole. Kama Seneta wa Kilifi, nampa kongole rasmi kwa kuchaguliwa kama Waziri wa Gender, Culture, the Arts and Heritage. Hio ni nafasi kubwa ambayo watu wa Kilifi walipewa. Namshukuru Mhe. Rais kwa kumchagua dadangu, Hon. Aisha Jumwa. Tumetoka mbali naye. Alikuwa womenrepresentative, kabla ya kuchaguliwa kama Member of Parliament (MP). Amefanya mambo mengi. Nina uhakika anaweza kazi kwa kuwa alikuwa na ujasiri wakati wa kujibu maswali.
view
23 Apr 2024 in Senate:
Thank you, Mr. Speaker, Sir. I enjoin myself with you to welcome the delegation from Malawi, being led by my brother Kondwani. He is the Leader of the Opposition there. I have had a word with him and we had lunch together. They are here for purposes of learning and knowing how Kenyans do their parliamentary duties. I am glad that he has come to the Senate and he will see how we operate. As we were talking, he told me that they only have the National Assembly and they do not have the Senate. Therefore, he wanted to know ...
view
23 Apr 2024 in Senate:
Asante, Bw. Spika wa Muda, kwa kunipa fursa hii kuchangia. Ninaunga mkono alivyosema ndungu yangu, Sen. Faki. Ni kweli kwamba michezo ina faida yake. Michezo inawezakufanyika iwapo kuna uwanja mkubwa ama uwanja wa kimataifa. Kaunti kama Nandi anakotoka Sen. Cherarkey kuna wakimbiaji na wachezaji wa mpira. Hawachezi mpira sana kwa sababu kazi yao ni kukimbia. Kukimbia kwao kunaleta sifa katika nchi yetu ya Kenya. Hiyo inachangiwa na kuwepo kwa miundomsingi ama viwanja vya kukimbilia ni jambo la muhimu sana.
view