Stewart Mwachiru Shadrack Madzayo

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 1741 to 1750 of 2266.

  • 26 Sep 2018 in Senate: you know that a Kenyan is winning the race. I praise Mr. Eliud Kipchoge for winning the Berlin Marathon. Secondly, it is unfortunate that after the athletes have brought glamour and pride to this country, nobody cares about them once they retire from athletics. I plead with the Government that our sportsmen and women should not be left to suffer even here in the “City of Champions.” There are athletes who brought honour and glory to this country but today they are languishing in poverty. I have read stories of some of them. I urge the Government that at least ... view
  • 25 Sep 2018 in Senate: Mr. Speaker, Sir, once you have made a ruling on a particular subject that is on the Floor, that is final. I do not see the reason my colleagues keep on going to and fro, whereas you have made a ruling on this matter. Is it in order? Can we move on? view
  • 20 Jun 2018 in Senate: Mr. Deputy Speaker, Sir, you have just said something, but I do not know whether that was an overview of this debate. view
  • 20 Jun 2018 in Senate: Thank you, Mr. Deputy Speaker, Sir. view
  • 19 Jun 2018 in Senate: Asante, Bw. Naibu Spika, kwa kunipa nafasi hii ili nitoe rambirambi zangu kwa familia ya mwenda zake, haswa kwa mjane, watoto, jamii yote ya Kaunti ya Migori, marafiki na watu wote wa Nyanza kwa jumla. Nilimwona Sen. Ben Oluoch wiki tatu zilizopita akiwa kwa hali mbaya lakini tulitumaini kwamba ndugu yetu atarudi katika Bunge la Seneti aweze kutusaidia kwa The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposes only. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate view
  • 19 Jun 2018 in Senate: Asante Bw. Naibu Spika. Ninafuraha ukiwa kwenye kiti kwa sababu utanipa nafasi nyingine. Kama vile Waziri Matiang’I alisema, sukari haramu ina mercury. Nimeona watu kutoka Kaunti moja ya Kisii wakisema wameletewa sukari bali hii sio sukari peke yake. Sukari hii ilingia katika Port ya Mombasa na imeuzwa Busia na kila mahali. Inawezwa kuwa iko Kilifi pia. Kwa nini wanabiashara kama wale wanaharibu maisha ya Wakenya wote bila kujali kwa sababu wanapata pesa kupitia uuzaji wa sukari ambayo wameleta kwa njia ya nyuma? Mahakama inafaa iwachukuliwe hatua wale wote wanashtakiwa kwa makosa kama hayo. Tunataka Waziri Matiang’I afanye bidii ili watu ... view
  • 19 Jun 2018 in Senate: Asante, Bw. Naibu Spika, kwa kunipa nafasi hii. Ni jambo la kusikitisha sana katika Jamhuri yetu ya Kenya, hususan wakati huu ambapo watu wamefanya ‘handshake’ na kuna uwiano mwema ya kwamba kuwe na amani na uchumi wetu upande juu ili watu wapate manufaa ya maisha bora. Bw. Naibu Spika, kitu cha kwanza ni kumshika Mkenya mwenye kosa na kumweka ndani ya korokoro aidha akiwa ni askari au raia. Wakenya wote ama watu wa nchi yoyote tunajua kwamba lazima sheria ifuate mkondo wake. Kwanza nataka kuwapaa kongole maafisa wa jeshi waliokuwa wakitetea nchi yetu na tumeona kuwa wengi wao wamekufa wakiitetea ... view
  • 19 Jun 2018 in Senate: Ndio; kutii agizo la mahakama. Bw. Naibu Spika, nakushukuru kwa kunikosoa. Ijapokuwa ulizaliwa kule Milimani, lakini naona Kiswahili kidogo--- view
  • 19 Jun 2018 in Senate: Asante, Bw. Naibu Spika. Kama nilivyokuwa nikisema hapo awali, ni lazima Serikali yetu ijukumike ili kuhakikisha kwamba malipo haya yamefanyika. Lakini bado uchunguzi utafanywa na kamati yetu, ikiwa itawezekana, na waje na recommendations, lakini mimi nayaangalia mambo haya kama jaji katika mahakama ya wafanyi kazi. Ni jambo la kisikitisha katika Kenya hivi leo, tukiona ya kwamba Serikali yenyewe ndiyo inachukua mkondo wa kwanza kukataa kutii amri ya korti. Asante, Bw. Naibu Spika. view
  • 19 Jun 2018 in Senate: On a point of order, Mr. Deputy Speaker, Sir. The Attorney- General Emeritus knowing very well there are quite a number of lawyers including the Leader of Minority, myself and the rest---. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus