Stewart Mwachiru Shadrack Madzayo

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 211 to 220 of 2266.

  • 20 Feb 2024 in Senate: Asante, Bw. Spika. Kwanza ni kutoa kongole kwa Kamati hii ya Kitaifa kwa sababu ya mazungumzo yaliyofanyika baina ya pande zote mbili; Upinzani na wale wa Serikali. Ripoti hii inaashiria maoni kutoka kwa Wakenya kwani wengi waliichangia. Si kazi rahisi baada ya uchaguzi, watu kuketi kutoka pande zote mbili na kukubaliana jinsi ya kuendeleza nchi yao. Jambo ambalo liliwekwa kipaumbele ni uhamiaji wa wanasiasa kutoka kwenye vyama vyao na kuenda katika vyama vingine. Hili jambo limekuwa likitendeka sana kwenye siasa. Wanasiasa wanakimbilia vyama fulani, alafu baadaye wanaondoka na kuenda vyama vingine. Makubaliano haya ni ya muhimu sana. Wakenya walikubaliana kwamba ... view
  • 20 Feb 2024 in Senate: The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard Services,Senate. view
  • 20 Feb 2024 in Senate: Kwa hivyo, zile siku 21 ambazo zimepeanwa ili mawakili na korti ziweze kutafakari ama kuangalia ile kesi na hatimaye kuamua kesi ambayo itakuwa ni ile ya Raisi, tunaona kwamba hii itakuwa ni vyema zaidi. Bw. Spika, nataka pia kuwapatia kongole zaidi kwa ule muda na wakati ambao wale ambao tulikuwa tumewapatia nafasi hii, ilikuwa si kazi rahisi. Waliweza kusaidia hii nchi. Waliweza kutuokoa sisi katika vile vita ambavyo vilikuwa vinaweza kutokea ama vilitokea na baada ya hapo tukapata amani. Kwa hivyo, kuja na taarifa kama hii, katika kamati hii iliyoketi katika mazungumzo, nataka kuwapa kongole zaidi sana. Mwenyezi Mungu tunajua ... view
  • 20 Feb 2024 in Senate: Bi. Spika wa Muda, Bunge la Seneti ni Bunge linalo heshimiwa sana na hivi sasa kwa Taifa nzima, macho yote yame elekezwa hapa. Itakuwa si heshima, mtu kuwataja viongozi, Maseneta waseme atangulishe vile anavyo ongea kisha wewe useme, hiyo ni sawa na anaweza kwenda kuketi na kwenda zake nyumbani. Bi Spika wa Muda, hayo ni makosa kabisa kwa sababu hairuhusiwi katika Kanuni za Kudumu za Seneti mtu kutajwa hapa asiyekuwa ndani ya Bunge, asiyeweza kujitetea. view
  • 20 Feb 2024 in Senate: Bi Spika, ni lazima ufafanue sheria kisawasawa. Kanuni za Bunge ziko wazi kabisa. view
  • 13 Feb 2024 in Senate: Asante, Bw. Spika. Kwanza, naungana na wewe kuwakaribisha ndugu zetu Maseneta kwa mwaka huu. Nawatakia kila la heri, fanaka na ukarimu kama tunavyo omba. Jambo la kwanza, huu utakuwa muhula wetu wa tatu. Wale Maseneta ambao wamechaguliwa kukaa katika Kamati hii ambayo ndio Kamati ya kwanza kwa Kamati zote za Bunge, wengi wao ni wale walikuwa kwa kipindi cha pili. Hakuna yeyote aliyetolewa. Wote wako sawa. Ningependa kusema ya kwamba hawa Maseneta wako na ujuzi sana. Kwa hivyo, mimi niko na imani tutalenga vile inavyotakikana kwenda kulingana na biashara yetu ya Seneti katika mikutano na kwa kuendesha Seneti vilivyo. Ninayo ... view
  • 7 Dec 2023 in Senate: Asante, Bw. Spika. Naunga mkono hii Taarifa ambayo imeletwa na Sen. Oketch Gicheru, kuhusu uhusiano katika utawala wa ufalme wa Morocco na Kenya. Ni jambo la muhimu sana kuona kwamba Kenya itakuwa na uhusiano mwema na mataifa mengine. Uhusiano kama huo hua na mazao mengi. Kwa mfano, hufungua njia za watu kupata kazi na biashara. Uhusiano mwema hua unaleta mambo ya biashara kuendelea katika nchi zetu za Afrika, hususan, uhusiano baina ya Kenya na Usultan wa Morocco. Nilikua katika Bunge la Pan-African Parliament. Katika Bunge hilo, nchi ambayo imetambuliwa na Pan-African Parliament inaitwa Western Sahara. Nchi ya Morocco bado haijakua ... view
  • 7 Dec 2023 in Senate: Asante, Bw. Spika. Naunga mkono hii Taarifa ambayo imeletwa na Sen. Oketch Gicheru, kuhusu uhusiano katika utawala wa ufalme wa Morocco na Kenya. Ni jambo la muhimu sana kuona kwamba Kenya itakuwa na uhusiano mwema na mataifa mengine. Uhusiano kama huo hua na mazao mengi. Kwa mfano, hufungua njia za watu kupata kazi na biashara. Uhusiano mwema hua unaleta mambo ya biashara kuendelea katika nchi zetu za Afrika, hususan, uhusiano baina ya Kenya na Usultan wa Morocco. Nilikua katika Bunge la Pan-African Parliament. Katika Bunge hilo, nchi ambayo imetambuliwa na Pan-African Parliament inaitwa Western Sahara. Nchi ya Morocco bado haijakua ... view
  • 7 Dec 2023 in Senate: Asante, Bw. Spika. Naunga mkono hii Taarifa ambayo imeletwa na Sen. Oketch Gicheru, kuhusu uhusiano katika utawala wa ufalme wa Morocco na Kenya. Ni jambo la muhimu sana kuona kwamba Kenya itakuwa na uhusiano mwema na mataifa mengine. Uhusiano kama huo hua na mazao mengi. Kwa mfano, hufungua njia za watu kupata kazi na biashara. Uhusiano mwema hua unaleta mambo ya biashara kuendelea katika nchi zetu za Afrika, hususan, uhusiano baina ya Kenya na Usultan wa Morocco. Nilikua katika Bunge la Pan-African Parliament. Katika Bunge hilo, nchi ambayo imetambuliwa na Pan-African Parliament inaitwa Western Sahara. Nchi ya Morocco bado haijakua ... view
  • 7 Dec 2023 in Senate: The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus