Stewart Mwachiru Shadrack Madzayo

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 51 to 60 of 2266.

  • 25 Feb 2025 in Senate: Kila binadamu hufanya makossa. Vile vile huwa anaweza kuomba msamaha ama kukataa kuomba msamaha. Dada yetu Orwoba Gloria aliomba msamaha. Kwa hivyo, sioni jambo gumu ya kwamba kutakuwa na mushkil ambao hatuwezi kumsamehe. Nimeona siku alizopewa, 79, za kuadhibiwa. Alipooamba msamaha, sisi wote tulikuwa na mioyo mikunjufu na tukakubaliana. Naona ya kwamba kuzipunguza siku hisi ili dada na Seneta mwenzetu arudi, hakuna shida. Naunga mkono hii Hoja ya kugeuza kutoka siku 79 hadi 30, ili dada yetu arudi katika Bunge hili la Senate aendelee kama kawaida yake, kusaidia Wakenya katika maisha yao. Asante, Bw. Spika wa Muda. Naunga mkono Hoja ... view
  • 18 Feb 2025 in Senate: Asante, Bw. Naibu Spika. Kwanza, nataka kutoa rambi rambi zangu za dhati kwa familia iliyopoteza Mhe. Injendi ambaye ni Mbunge wa Kitaifa wa eneo Bunge la Malava. Jambo la kusikitisha ni kwamba Mheshimiwa alikuwa kijana sana na amepoteza maisha yake akiwa anawatumikia watu wake wa Malava. Hili ni jambo la kusikitisha, kwamba kwa wakati na muda huu tumepoteza Seneta na vile vile tumempoteza Mbunge wa Kitaifa. Hili ni jambo la kusikitisha na ambalo si la kufurahisha. The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, ... view
  • 18 Feb 2025 in Senate: Vile vile ni kwamba, hawa wote ambao hivi sasa wanaomboleza ni kwamba wanaomboleza hisia ya familia zao, jinsi waliweza kumpenda marehemu na hatimaye Mwenyezi Mungu alimpenda zaidi. Sisi hatuna la kusema ila tu ni kumwombea Mwenyezi Mungu aiweke roho ya marehemu Injendi mahali ambapo amelela wema. Asante. view
  • 12 Feb 2025 in Senate: Asante, Bw. Spika wa Muda. Kwanza nampa kongole Seneta wa Nairobi, ndugu yangu Edwin Sifuna, kwa kuleta Taarifa hii ambayo ni muhimu sana kwa watu walio mashinani kote nchini. Jambo la kwanza, ninaiunga hoja hii mkono kwa dhati kwa sababu, wale wanaofanya kazi kule vijijini ni watu muhimu sana na inatakikana waangaliwe na kaunti zao. Ni jambo la aibu kuona hapa Nairobi, ambapo ni jiji kubwa hapa nchini, lina watu wanaojitolea kufanya kazi katika jamii lakini hawangaliwe sawa sawa. Lakini tunasikia kwamba hawaangaliwi, leo watu wanaenda na miguu kavu, hata hawana slippers ama zile viatu ndugu zetu wa Kikamba huwa ... view
  • 12 Feb 2025 in Senate: na walikuwa wanazalisha au wakunga. Bw. Spika wa Muda, siyo kila mama alikuwa anaweza kwenda hospitali kuzaa. Wakunga walikuwa wanalipwa na manispaa zao. Kwa hivyo, tunataka jukumu kama hilo pia litekelezwe kiukamilifu zaidi katika serikali zetu za gatuzi. Ninaunga mkono Taarifa hii ya Katibu wetu wa Chama Cha ODM ndugu yetu, Sen. Sifuna. Asante sana. view
  • 12 Feb 2025 in Senate: Thank you, Mr. Temporary Speaker, Sir. I second. view
  • 12 Feb 2025 in Senate: The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate. view
  • 12 Feb 2025 in Senate: Similarly, Hon. Members this being a Procedural Motion and in the absence of Members keen on contributing to it, I make a determination pursuant to Standing Order No.84(2) that this is a matter that does not affect counties and, therefore, proceed to put the question. view
  • 12 Feb 2025 in Senate: Mr. Temporary Speaker, Sir, I beg to second. view
  • 12 Feb 2025 in Senate: Mr. Temporary Speaker, Sir, I beg to second. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus